Sasa wakaze fuvu na wakati nafasi zenye stream za maokoto hazihitaji hiyo seriousness. Ukilamba watu miguu unafika mbali hata kama una uwezo hafifu
Na ukitofautiana na wateuzi hata kama umetoa wazo bora lakn liko tofauti nao unakaa kando
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa wakaze fuvu na wakati nafasi zenye stream za maokoto hazihitaji hiyo seriousness. Ukilamba watu miguu unafika mbali hata kama una uwezo hafifu
Hii system iliyopo sijui itaisha lini. Ngoja tuoneNa ukitofautiana na wateuzi hata kama umetoa wazo bora lakn liko tofauti nao unakaa kando
Hili nalo neno...miaka ijayo tutakuwa na viongozi wa hovyo sana....ila hata sasa hivi tunaona wa hovyo sanaSasa wakaze fuvu na wakati nafasi zenye stream za maokoto hazihitaji hiyo seriousness. Ukilamba watu miguu unafika mbali hata kama una uwezo hafifu
Umeongea sahihi tunahitaji Bunge kuridhia baadhi ya teuzi za Rais. Lakini shida ya Bunge letu wanajikomba kwa Rais. Bunge la Tanzania halina uwezo wa kukataa anachopendekeza Rais.Mkuu Jidu, Jidu La Mabambasi , naunga mkono hoja, Kumbe watu wa Nyerere bado wapo na wana misimamo kama Nyerere. Hongera MFA, Dr. Mahiga kwa msimamo, tusikubali kuyumbishwa
Ni kweli, naunga mkono hoja, wengine wanateuliwa ubalozi na kupostiwa nje ili tuu kupunguza kelele!, wengine wanapostiwa nje kuondoa kiwingu, wale ma DGIS!.
Hili nimelizungumza hapa Ijue Hadhi ya Ubalozi, its Rights & Privileges. Wajua Kufutwa Ubalozi Dr. Slaa Hakutokani na Ukosoaji wa Bandari na Anaweza Kurejeshewa Ubalozi Wake?
Hatuna!. Labda yule dogo kule Asia
The good one aliyepo ni Balozi Mulamula, ndio hivyo tena, alipoondolewa hatukuelezwa sababu, as if uteuzi wa a carrier diplomats ni hisani ya rais aliyepo madarakani!. It's not!. Mabalozi wa kuteuliwa kwa hisani ya rais, yes waendelee kuteuliwa lakini mabalozi wa carrier diplomats waendelee kupikwa, huwezi kuwatetegea mabalozi hisani tuu na kuwaondoa carrier diplomats kwa majungu majungu!. Nimeuliza hapa Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?
P
Mkuu simu yako imejibonyesha.Nhar sheftek 9dami, banli zhri ana
Ntaya mktabi, w nta 3ini ana
Kat7ama9ni kat7ama9ni, wmajayb khbar
Loukan bidiya, ana 9lbi nsh3l fih nar
Inasikitisha Ila ndio ukweli halisiHili nalo neno...miaka ijayo tutakuwa na viongozi wa hovyo sana....ila hata sasa hivi tunaona wa hovyo sana
Nop arabic hii mkuuMkuu simu yako imejibonyesha.
Uliwahi kumfahamu Hayati Balozi Daud Mwakawago ?Wajanja wamevuruga career pathways ili kuchomeka watu wao. Ubalozi kwa mfano umekuwa kwa kiasi kikubwa ni zawadi au "kaa mbali" badala kupanda ngazi.
Bunge ndilo linawajibu na linatakiwa kuisimamia serikali, hivyo serikali inapopeleka madudu Bungeni, Bunge linawajibu wa kuirekebisha serikali. Kama hiki kilichotokea kwenye IGA ya DPW na Bandari zetu, ni aibu kwa Bunge letu Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee!Umeongea sahihi tunahitaji Bunge kuridhia baadhi ya teuzi za Rais. Lakini shida ya Bunge letu wanajikomba kwa Rais. Bunge la Tanzania halina uwezo wa kukataa anachopendekeza Rais.
Mkuu P, umechambua kisawasawa.Mkuu Jidu, Jidu La Mabambasi , naunga mkono hoja, Kumbe watu wa Nyerere bado wapo na wana misimamo kama Nyerere. Hongera MFA, Dr. Mahiga kwa msimamo, tusikubali kuyumbishwa
Ni kweli, naunga mkono hoja, wengine wanateuliwa ubalozi na kupostiwa nje ili tuu kupunguza kelele!, wengine wanapostiwa nje kuondoa kiwingu, wale ma DGIS!.
Hili nimelizungumza hapa Ijue Hadhi ya Ubalozi, its Rights & Privileges. Wajua Kufutwa Ubalozi Dr. Slaa Hakutokani na Ukosoaji wa Bandari na Anaweza Kurejeshewa Ubalozi Wake?
Hatuna!. Labda yule dogo kule Asia
The good one aliyepo ni Balozi Mulamula, ndio hivyo tena, alipoondolewa hatukuelezwa sababu, as if uteuzi wa a carrier diplomats ni hisani ya rais aliyepo madarakani!. It's not!. Mabalozi wa kuteuliwa kwa hisani ya rais, yes waendelee kuteuliwa lakini mabalozi wa carrier diplomats waendelee kupikwa, huwezi kuwatetegea mabalozi hisani tuu na kuwaondoa carrier diplomats kwa majungu majungu!. Nimeuliza hapa Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?
P
Kidiplomasia, Salim Amed Salim alifikia viwango ambavyo ni vya juu sana kufikiwa na mtanzania yeyote so far.Pamoja na yote zama nazo zimebadilika.....
Mathalani komredi El Commandante Salim A.Salim ni kizazi cha wapigania UHURU wa Zanzibar/Tanganyika.....
Kilikuwa ni kipindi cha mapambano ya kusimama kama TAIFA.....akakutana na siasa za KIJAMAA zenye upande mkubwa tu duniani.....
Akajitupa "miguuni" mwa siasa hizo.......
Upande wa pili ,China ikataka kuondolewa UANACHAMA wa baraza la usalama la umoja wa mataifa.....El Commandante Salim A.Salim akapambana kuhakikisha kiti cha CHINA hakipokwi hiyo nafasi.....
Leo hii ni yeye pekee aliye mshindi wa tuzo ya HESHIMA YA MARAFIKI WA CHINA BARANI AFRIKA....
Hakuna mwafrika mwingine aliyetunukiwa hivyo[emoji2956][emoji7][emoji7]
#Siempre Mwanadiplomasia El Commandante Salim Ahmed Salim[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kidiplomasia, Salim Amed Salim alifikia viwango ambavyo ni vya juu sana kufikiwa na mtanzania yeyote so far.
Nakuunga mkono!Bunge ndilo linawajibu na linatakiwa kuisimamia serikali, hivyo serikali inapopeleka madudu Bungeni, Bunge linawajibu wa kuirekebisha serikali. Kama hiki kilichotokea kwenye IGA ya DPW na Bandari zetu, ni aibu kwa Bunge letu Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee!
P
OK mkuu.Nop arabic hii mkuu
Unachokisema ni kweli kabisa! Kwa mtazamo wangu, ili kumaliza tatizo hili ni muhimu kuelewa chanzo chake ni nini.Umeongea sahihi tunahitaji Bunge kuridhia baadhi ya teuzi za Rais. Lakini shida ya Bunge letu wanajikomba kwa Rais. Bunge la Tanzania halina uwezo wa kukataa anachopendekeza Rais.
Shida inakuja Rais ndo mwenyekiti wa Chama, atakae pinga ataadhibiwa. Hivyo hata Rais ateuwe na kupeleka Bungeni mtu asiyefaa, bunge litasema NDIYOOO!
Tanzania tunatakiwa kuunda mfumo mpwa wa nchi na hata wakitumishi. Nchi sikuhizi haiandai watu kama zamani. Yaani kwasasa ukiwa chawa tu haijalishi unasifa gani basi unateuliwa.
Zamani watu walipikwa. Nakumbuka hata usalama wa Taifa uliweza kufatilia watu toka wanavyokuwa shuleni hadi chuo. Na kisha kuwaandaa hawa watu hata wao bila kujua kama wanaandaliwa.
Taifa limekosa watu ambao ni makini, ukimtazama unaona utofauti, unaona uzalendo, kujituma, upevu wa uongozi, hekima na ujasiri, usikivu na unyenyekevu ndani yake. Hawa watu waweza kuwepo lakini hawapo kwenye system au mfumo.
Nyerere alifanya kazi na hata watu waliompinga, na aliwasikiliza. Lakini leo ukiongea hoja ikaonesha huko kinyume na Rais basi wewe unafurushwa, hata hoja yako iwe na umakini utaondolewa tu.
Utawala wetu unataka chawa, vijana watakao sifia hata ujinga.
Nakuvulia kofia kwa hili!Bunge ndilo linawajibu na linatakiwa kuisimamia serikali, hivyo serikali inapopeleka madudu Bungeni, Bunge linawajibu wa kuirekebisha serikali. Kama hiki kilichotokea kwenye IGA ya DPW na Bandari zetu, ni aibu kwa Bunge letu Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee!
P
Mkuu asante, hapo nitamchukua Prof Anna Tibaijuka kati ya hao wote...kuna Prof.Anna Tibaijuka aliongoza UN-Habitat sijui kwanini hamjamtaja.
..pia Dr.Stergomena Tax aliongoza SADC naye hamjamtaja.
..Balozi Anthony Nyaki muwakilishi maalum wa UN Liberia.
..Lt.Gen.Paul Mella Mkuu wa vikosi umoja wa mataifa vya kulinda amani Darfur.
..Jaji Mohamed Chande Othman muendesha mashtaka mkuu East Timor, muendesha mashtaka Tribunal ya Rwanda, na mjumbe wa tume mbalimbali za uchunguzi za UN.
..Jaji James Kateka aliyehudumu Mahakama ya kimataifa ya masuala ya bahari.
..Jaji William Sekule aliyehudumu un tribunal za Rwanda na Yugoslavia.
..Jaji Steven Bwana alipata kuwa Jaji Mkuu wa mahakama ya Rufani ya Seychelles.
Mkuu kubebwa kwa vipi tena?..hawakuwa wakibebwa na Mwalimu Nyerere?
..Watanzania wanaoweza kuwa Katibu Mkuu UN ni wale waliolelewa kitaaluma ndani ya mashirika ya kimataifa kama UN, WB, IMF, Commonwealth Secretariat, etc.