Wanafunzi Jenipher na Caren wa Iringa girls wanahitaji ushauri wenu,enyi GREAT THINKERS

Wanafunzi Jenipher na Caren wa Iringa girls wanahitaji ushauri wenu,enyi GREAT THINKERS

Wanafunzi Jenipher na Caren wa Iringa girls wanahitaji ushauri wenu,

Wanafunzi Hawa walichaguliwa kujiunga kidato Cha 5 iringa girls mwaka huu,

Wameshareport lakini swala lao kubwa ni kwamba hawataki kusoma A level na hawakuijaza ktk machaguo ,waliopt chuo tu

Lakini wizara ikawatupa Iringa girls masomo ya sayansi.

Nikiwa kama Madam wao wa part-time, wamenifata na kuniambia kwamba hawataki kabisa A level wanataka waende chuo diploma 3 years,na wamejaribu kuongea na wazee wao wamesema Kama wanataka chuo wajisomeshe,

Sasa wamenifata kuniomba ushauri wafanye nn,maana wanaona kukaa huku A level ni kupoteza muda tu,

Hawa Watoto wanafikiria mpaka kutoroka shule,wapo dillema

NB: Jenipher baba ake ni komando JW

Caren mama ake ni Moja ya walinzi cruel ya Hangaya

MATOKEO YAO: Jenipher Ana Div I Pts 16

Caren Ana Div I-14

Ushauri kwenu wakuu GREAT THINKERS
Hao watoto ni wajinga na wewe mwalimu wao ni mjinga
 
Kama wana umri wa miaka 18 na kuendelea wako huru kuamua chochote watakacho (kwenda chuo na kujilipia ada wao wenyewe), lakini kama wako under 18 years, hawana uhuru wa kuamua moja kwa moja, itabidi wakubali maamuzi ya wazazi wao.

Note
Inaonekana hao mabinti wana kiburi kimtindo, na huenda future yao itakuwa mbaya tu. Sio rahisi kwa binti wa kitanzania kuwa na ujasiri huo wa kupingana na baba yake kwa kiwango cha kuleta mambo hayo mpaka mtandaoni.
 
sababu yao haina msingi kama wanataka slope wambie waache ujinga wapiga kitabu kikali waje wasome bachelor ya hicho wanataka kusoma
 
Sayansi sio theory uongo

Mainjinia wa ujenzi mbona wanachora majengo na kujenga? Kusema wamekariri uongo

Mainjinia wa umeme mbona wanafanya mifumo ya umeme kuanzia majumbani,viwandani nk uongo kusema mainjinia wa umeme wanakariri masomo sio kweli


Madaktari na theory wapi na wapi
Operation hazifanani mbona wako vizuri?
Migodi mikubwa nchini wanaoendesha ni watanzania sio wazungu huyo.mtu wako hopeless

Mechanical engineers wa TRC nenda pale vijana wadogo na wako.fit

Nenda wizara ya Maji water Engineers vijana wadogo na wako fit


Hizo theory zenu za makaratasi za kukariri ziko masomo ya Arts sio ya sayansi

Field mtukachukua Civil Engineering halafu hajui chochote nani atampokea? Hayupo

Unajiliwaza kwa vitu hewa
Ama kweli kueleweka ni kugumu kweli
 
Naona Madam kama una kiwango kikubwa cha HEKIMA
Yuko zero

Usicheze na ku compromise masomo ya advanced sayansi unachezea maisha ya mtoto mwache aende

Advance sio ya kutania kisa mtu anaenda Viajira vya ngazi za chini vya diploma na certificate anajiriwa afanye vikazi vya low cadre vya mradi mkono uende kichwani
Dunia imebadilika usiangalie Tanzania tu ohh mimi nilikuwa na ki certificate na ki diploma nikajiendeleza miwazo ya kimaskini dunia ya sasa huko imehama

Mtoto atakuwa maskini.Mpeleke mtoto high level ndio maana inaitwa high school.
 
Afu watoto wa siku hizi uhuru umepitiliza[emoji28][emoji28][emoji28] sisi selection zikitoka tu unaambiwa jiandae unaripoti hata kabla shule yenyewe hawajafungua [emoji28][emoji28]

Tuna safari ndefu ya kwenda
Haya maisha haya na hasa ukitoka

Familia duni lazima upite A level maana hakuna wa kukusomesha chuo

Lengo lako ufaulu upewe mkopo



Kama wazazi zipo kama mtoa mada alivyosema waende chuo tu

Advance ni kama shortcut tu
 
Haya ni mawazo ya kijima na yanawakilisha mawazo ya vijana wengi wa kibongo wasiojua maana ya elimu. Kusoma theory kunafanya mtu ajue mambo kwa deep zaidi na kuweza kuendeleza pale sayansi ilipoishia. Hebu fikiria kitu kama electronics. Bila kuchimba theory yake na kuelewa mambo kwa undani pasingekuwepo maendeleo kwenye utengengengezaji wa vifaa advanced vinavyoendana na tecknology kama ilivyo sasa. Sasa ndugu zangu ninyi mliozoea elimu ya kukariri na kufanya kwa kukariri ndiyo mnakuja na mawazo fyongo ya kutaka kila mtu afanye kitu kwa kuangalia na kukariri badala ya kuwa na knowledge pana ya kufanya na kuendeleza pale sayansi ilipofikia.
Kweli nimeamini unaweza ukakatwa kichwa ukabakiza mgongo na kiuno tu na bado ukawaza.... case study ni wewe!!

Hebu niambie Wright brothers wa marekani walichimbua notes za nani (theory) ndipo wakabuni ndege ya kwanza?

Mbunifu mbobezi wa umeme unaouzungumzia bwana tesla alimeza lini hizo theory unazozihusudu wewe?

Ni aibu nzito kudhani kwamba ehiyo historia ya sayansi tunayofundishwa mashuleni ndio sayansi yenyewe....!

Mara mia wanangu wa VETA na SIDO wanaweza kua kwenye right track, kuliko hizo takataka unazozipigia debe humu

Ni aibu lukuki kijana kama wewe kuusifia mfumo wa elimu ulioasisiwa na wakoloni tena kwa lengo la kutudumaza fikra zetu

Mfumo ambao viongozi wako wa fisiemu wameurithi na kuwabrainwash watoto wetu, matokeo yake nafasi moja ya ajira inagombaniwa na vijana "wasomi" 500

Na mimi nasema acha wagombanie kwa kua mfumo umewaandaa kugo.bania "white collar jobs" kwa kumezeshwa mi theory ya watu waliokufa
 
Kweli nimeamini unaweza ukakatwa kichwa ukabakiza mgongo na kiuno tu na bado ukawaza.... case study ni wewe!!

Hebu niambie Wright brothers wa marekani walichimbua notes za nani (theory) ndipo wakabuni ndege ya kwanza?

Mbunifu mbobezi wa umeme unaouzungumzia bwana tesla alimeza lini hizo theory unazozihusudu wewe?

Ni aibu nzito kudhani kwamba ehiyo historia ya sayansi tunayofundishwa mashuleni ndio sayansi yenyewe....!

Mara mia wanangu wa VETA na SIDO wanaweza kua kwenye right track, kuliko hizo takataka unazozipigia debe humu

Ni aibu lukuki kijana kama wewe kuusifia mfumo wa elimu ulioasisiwa na wakoloni tena kwa lengo la kutudumaza fikra zetu

Mfumo ambao viongozi wako wa fisiemu wameurithi na kuwabrainwash watoto wetu, matokeo yake nafasi moja ya ajira inagombaniwa na vijana "wasomi" 500

Na mimi nasema acha wagombanie kwa kua mfumo umewaandaa kugo.bania "white collar jobs" kwa kumezeshwa mi theory ya watu waliokufa
Unachanganya madesa mazee! You are talking about unrelated things!
 
kwangu mm ,naona wamefanya maamuzi sahh kabisaa, wakipiga 3 yrs wanapata professional zao ,wakati wenzao watakua wanakipiga chuo mwaka wa kwanza ,baada ya hapo Wana join degree wakiwa hawana kikwazo Cha matokeo ya six,wakat hao wenzao walikiunga alevel watakuwa bado hawana uhakika wa ku join degree maana matokeo Yao ya six ndo hatma Yao ya kuvhonyoosha moja kwa moja au kurudi nyuma kuaoma diploma. So to me they're correct,and wise girls, they're after time .
 
Wanafunzi Jenipher na Caren wa Iringa girls wanahitaji ushauri wenu,

Wanafunzi Hawa walichaguliwa kujiunga kidato Cha 5 iringa girls mwaka huu,

Wameshareport lakini swala lao kubwa ni kwamba hawataki kusoma A level na hawakuijaza ktk machaguo ,waliopt chuo tu

Lakini wizara ikawatupa Iringa girls masomo ya sayansi.

Nikiwa kama Madam wao wa part-time, wamenifata na kuniambia kwamba hawataki kabisa A level wanataka waende chuo diploma 3 years,na wamejaribu kuongea na wazee wao wamesema Kama wanataka chuo wajisomeshe,

Sasa wamenifata kuniomba ushauri wafanye nn,maana wanaona kukaa huku A level ni kupoteza muda tu,

Hawa Watoto wanafikiria mpaka kutoroka shule,wapo dillema

NB: Jenipher baba ake ni komando JW

Caren mama ake ni Moja ya walinzi cruel ya Hangaya

MATOKEO YAO: Jenipher Ana Div I Pts 16

Caren Ana Div I-14

Ushauri kwenu wakuu GREAT THINKERS
Si waende chuo tu,? Parents can pay even in private colleges,so far wamefaulu vizuri!
 
Wanafunzi Jenipher na Caren wa Iringa girls wanahitaji ushauri wenu,

Wanafunzi Hawa walichaguliwa kujiunga kidato Cha 5 iringa girls mwaka huu,

Wameshareport lakini swala lao kubwa ni kwamba hawataki kusoma A level na hawakuijaza ktk machaguo ,waliopt chuo tu

Lakini wizara ikawatupa Iringa girls masomo ya sayansi.

Nikiwa kama Madam wao wa part-time, wamenifata na kuniambia kwamba hawataki kabisa A level wanataka waende chuo diploma 3 years,na wamejaribu kuongea na wazee wao wamesema Kama wanataka chuo wajisomeshe,

Sasa wamenifata kuniomba ushauri wafanye nn,maana wanaona kukaa huku A level ni kupoteza muda tu,

Hawa Watoto wanafikiria mpaka kutoroka shule,wapo dillema

NB: Jenipher baba ake ni komando JW

Caren mama ake ni Moja ya walinzi cruel ya Hangaya

MATOKEO YAO: Jenipher Ana Div I Pts 16

Caren Ana Div I-14

Ushauri kwenu wakuu GREAT THINKERS
Waende chuo waachane na advance maana wanaweza poteza muda kama wakizingua, watu wengi wamepoteza muda wa miaka mi 2 advance mwisho wa siku wakaanza diploma chuo, dunia imebadilika zamani watu walikuwa wanaenda advance ili kupata sifa za mtaa
 
Waende chuo waachane na advance maana wanaweza poteza muda kama wakizingua, watu wengi wamepoteza muda wa miaka mi 2 advance mwisho wa siku wakaanza diploma chuo, dunia imebadilika zamani watu walikuwa wanaenda advance ili kupata sifa za mtaa
Nashukuru Sana great thinker RoadLofa
 
Back
Top Bottom