Wanafunzi Jenipher na Caren wa Iringa girls wanahitaji ushauri wenu,enyi GREAT THINKERS

Wanafunzi Jenipher na Caren wa Iringa girls wanahitaji ushauri wenu,enyi GREAT THINKERS

kwangu mm ,naona wamefanya maamuzi sahh kabisaa, wakipiga 3 yrs wanapata professional zao ,wakati wenzao watakua wanakipiga chuo mwaka wa kwanza ,baada ya hapo Wana join degree wakiwa hawana kikwazo Cha matokeo ya six,wakat hao wenzao walikiunga alevel watakuwa bado hawana uhakika wa ku join degree maana matokeo Yao ya six ndo hatma Yao ya kuvhonyoosha moja kwa moja au kurudi nyuma kuaoma diploma. So to me they're correct,and wise girls, they're after time .
Thanks so much, nawapambania Sana Hawa watoto
 
Kweli nimeamini unaweza ukakatwa kichwa ukabakiza mgongo na kiuno tu na bado ukawaza.... case study ni wewe!!

Hebu niambie Wright brothers wa marekani walichimbua notes za nani (theory) ndipo wakabuni ndege ya kwanza?

Mbunifu mbobezi wa umeme unaouzungumzia bwana tesla alimeza lini hizo theory unazozihusudu wewe?

Ni aibu nzito kudhani kwamba ehiyo historia ya sayansi tunayofundishwa mashuleni ndio sayansi yenyewe....!

Mara mia wanangu wa VETA na SIDO wanaweza kua kwenye right track, kuliko hizo takataka unazozipigia debe humu

Ni aibu lukuki kijana kama wewe kuusifia mfumo wa elimu ulioasisiwa na wakoloni tena kwa lengo la kutudumaza fikra zetu

Mfumo ambao viongozi wako wa fisiemu wameurithi na kuwabrainwash watoto wetu, matokeo yake nafasi moja ya ajira inagombaniwa na vijana "wasomi" 500

Na mimi nasema acha wagombanie kwa kua mfumo umewaandaa kugo.bania "white collar jobs" kwa kumezeshwa mi theory ya watu waliokufa
Correct Sir, hapa naona tubadili mfumo mzima wa elimu
 
Kama wana umri wa miaka 18 na kuendelea wako huru kuamua chochote watakacho (kwenda chuo na kujilipia ada wao wenyewe), lakini kama wako under 18 years, hawana uhuru wa kuamua moja kwa moja, itabidi wakubali maamuzi ya wazazi wao.

Note
Inaonekana hao mabinti wana kiburi kimtindo, na huenda future yao itakuwa mbaya tu. Sio rahisi kwa binti wa kitanzania kuwa na ujasiri huo wa kupingana na baba yake kwa kiwango cha kuleta mambo hayo mpaka mtandaoni.
Received with thanks
 
Yuko zero

Usicheze na ku compromise masomo ya advanced sayansi unachezea maisha ya mtoto mwache aende

Advance sio ya kutania kisa mtu anaenda Viajira vya ngazi za chini vya diploma na certificate anajiriwa afanye vikazi vya low cadre vya mradi mkono uende kichwani
Dunia imebadilika usiangalie Tanzania tu ohh mimi nilikuwa na ki certificate na ki diploma nikajiendeleza miwazo ya kimaskini dunia ya sasa huko imehama

Mtoto atakuwa maskini.Mpeleke mtoto high level ndio maana inaitwa high school.
Viajira....,aisee sawa #great thinker
 
Wanafunzi Jenipher na Caren wa Iringa girls wanahitaji ushauri wenu,

Wanafunzi Hawa walichaguliwa kujiunga kidato Cha 5 iringa girls mwaka huu,

Wameshareport lakini swala lao kubwa ni kwamba hawataki kusoma A level na hawakuijaza ktk machaguo ,waliopt chuo tu

Lakini wizara ikawatupa Iringa girls masomo ya sayansi.

Nikiwa kama Madam wao wa part-time, wamenifata na kuniambia kwamba hawataki kabisa A level wanataka waende chuo diploma 3 years,na wamejaribu kuongea na wazee wao wamesema Kama wanataka chuo wajisomeshe,

Sasa wamenifata kuniomba ushauri wafanye nn,maana wanaona kukaa huku A level ni kupoteza muda tu,

Hawa Watoto wanafikiria mpaka kutoroka shule,wapo dillema

NB: Jenipher baba ake ni komando JW

Caren mama ake ni Moja ya walinzi cruel ya Hangaya

MATOKEO YAO: Jenipher Ana Div I Pts 16

Caren Ana Div I-14

Ushauri kwenu wakuu GREAT THINKERS
Binafsi naona wasome Alevel ( Form V & VI).
mfano; wakisoma PCB/PCM miaka 2 wakifaulu watakwenda kusoma Chuo kikuu kwa miaka sawa na mtu aliyepitia Diploma; ina maana mwenye Diploma ndiye anapoteza mwaka mmoja kwa kuwa Dip ni miaka 3.
Uzoefu wangu:
Baada ya kusoma masomo ya A level kwa kiasi kikubwa kijana hujitambua, hujiamini na kuwa tayari kuanza kujitegemea (hata kukaa chuoni bila uangalizi mkubwa) tofauti na wanafunzi wa Form four ambapo wengi wao wana akili ya kitoto (hawana uwezo wa kujisimamia) lakini pia hufuata sana mkumbo....
 
Binafsi naona wasome Alevel ( Form V & VI).
mfano; wakisoma PCB/PCM miaka 2 wakifaulu watakwenda kusoma Chuo kikuu kwa miaka sawa na mtu aliyepitia Diploma; ina maana mwenye Diploma ndiye anapoteza mwaka mmoja kwa kuwa Dip ni miaka 3.
Uzoefu wangu:
Baada ya kusoma masomo ya A level kwa kiasi kikubwa kijana hujitambua, hujiamini na kuwa tayari kuanza kujitegemea (hata kukaa chuoni bila uangalizi mkubwa) tofauti na wanafunzi wa Form four ambapo wengi wao wana akili ya kitoto (hawana uwezo wa kujisimamia) lakini pia hufuata sana mkumbo....
Be blessed
 
Hapo wamefaulu vp wakiteleza tunaomba mchanganuo wake
Binafsi naona wasome Alevel ( Form V & VI).
mfano; wakisoma PCB/PCM miaka 2 wakifaulu watakwenda kusoma Chuo kikuu kwa miaka sawa na mtu aliyepitia Diploma; ina maana mwenye Diploma ndiye anapoteza mwaka mmoja kwa kuwa Dip ni miaka 3.
Uzoefu wangu:
Baada ya kusoma masomo ya A level kwa kiasi kikubwa kijana hujitambua, hujiamini na kuwa tayari kuanza kujitegemea (hata kukaa chuoni bila uangalizi mkubwa) tofauti na wanafunzi wa Form four ambapo wengi wao wana akili ya kitoto (hawana uwezo wa kujisimamia) lakini pia hufuata sana mkumbo....
 
Hapo wamefaulu vp wakiteleza tunaomba mchanganuo wake
Umamaanisha wakifeli Form six? nafikiri hata kwa Diploma hasa za masomo ya saiyanzi watu huwa wanafeli?
  • Lakini wakifeli Form Six bado wananafasi ya kusoma Diploma ambapo inakuwa raisi kwao hivyo kufaulu na kwenda Chuo kikuu; wakati wale waliokwenda Diploma wakifeli wanabakia na cheti (certificate)
Mimi naungana moja kwa moja na hao wazazi;
Mwanafunzi aliyefaulu Vizuri acha aende Form v & vi, na yule mwenye ufaulu wa kati acha aanzie diploma. Kuna tofauti kubwa hasa ya kujiamini kwa mwanafunzi aliyepita form v & vi.
 
Kitu huelewi, pita kimya. Nakupa mfano, mtoto kapata C ya Physics na kama kawaida Biology na Chemistry ana C au zaidi. Huyu kwenda PCB anapoteza muda maana ni ndoto za ndalia kuibuka na A ya Physics form Six ili aweze kuchukua MD. Sana sana akijitahidi atapata C au D au S. Hapo kama amekamia MD lazima arudi kuchukua CMT ambapo aliokuwa nao wakaenda Chuoni, watakuwa mwaka wa tatu wakati yeye akianza mwaka wa kwanza. Ili achukue MD atatumia miaka 5 na kama akikatisha form four atatumia miaka 3 tu. Amina68 nimekupa nondo
Umemalizaaaa?
 
Kwani siku hizi zoo hawaendi Tosa boys? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umenikumbusha story za kitambo mwe, siku za graduation hapo baada ya kula pilau tunasubiri gari ya kutoka zoo tupogkee wageni.. [emoji24]
 
WARUDI NYUMBANI TU... NI BORA KUKAA NYUMBANI KULIKO UPUUZI WA A-LEVEL.
 
Mmoja kasema anapenda Sana sanaa ,na mwingine kasema anapenda Sana mifugo ,na wakisoma hata wasipopata kazi watakuwa wamefanya wakipendacho na watamlaumu mtu
Huyu wa mifugo hata mimi namuunga mkono kusomea udaktar wa mifugo kwa level ya diploma tanzania hata usipoajiriwa huwez kufa njaa nina mwaka 5 sasa sijaajiriwa lakin naishi vizuri tu kama nimeajiriwa vilee
 
Back
Top Bottom