Law School wako sawa kabisa! Hatutaki mawakili vila.za mtaani!
Wanafunzi wengi ni vila.za sana, hawasomi, wanakariri mambo tu!
Kujenga hoja hawajui na hata Kiingereza tu ni shida kwao!
Kuna mawakili mtaani uwezo wao uko chini kiasi kwamba unajiuliza wamepita Shule ipi ya Sheria!
Wanafunzi wa sikuizi hata mwalimu afanyejeee hamna kituuu. Unafundishaa mwanafunzi huku Yuko anachati na na kuangalia picha za x. Dhalau Kwa WALIMU kibao, kibuli ndo usisemeee, mwanafunzi anaingia darasani na huku KICHWANI amebugia k vant za kutoshaaa. Kwa maaadili ya wanafunzi Kwa Sasa ni ngumu saana kumfaulishaaaa.Kuna muda mwanafunzi anapofeli na mwalimu naye anapaswa ajitathimini kiukweli kwenye ufundishaji wake kama kweli anaeleweka
Kwa manenoo yako mabovu kama haya mfano uwemwanafunzi utafaulujee. Hovyo kabisaaWengi wako kwenye mfumo gani ndugu? Mnazipata wapi takwimu hizi Ili kumpotosha nani?
Zaidi ya 90% ya wanafunzi wote Law School ni fresh from universities.
Tuacheni wivu, choyo, husuda, fitna, ujinga, upumbavu na ujuaji uliopitiliza dhidi ya wengine.
Nakumbuka wosia wa Professor Makene.... ( R.I.P.)..Faculty of Medicine UDSM,now MUHAS kwa first year 1985 kuhusu ufaulu wa mitihani...."Our aim is not to train Angeles but to minimize mistakes".
Kwa manenoo yako mabovu kama haya mfano uwemwanafunzi utafaulujee. Hovyo kabisaa
Vyuo vikuu vingi tz vinatoa wanasheria maboya tu wala hilo sio siri. Wanafunzi sheria wanabebwa kishikaji tu kwa kuhonga. Hapo law school ndio wanaadhirika.
Hapo nyuma law school imekua inazalisha mawakili wenye ujuzi wa kununua haki tu. Wanajua namna na nani wa kumuona kushinda kesi ila sheria hawajui.
Unaongea usichokijua.
Kwa taarifa yako vyuo vingi hasahasa vilivyopo Dar Es Salaam wanamlipa mtu kabisa aandike research, Sasa watu kama hao unategemea law school atatusua?
Siandiki povu NAANDIKA nachokiona vyuoni Kwa wanaosoma sheria kwa Sasa, na Kuna mmoja tayari kashaandikiwa research proposal Kwa sh. 50000/= bado research report yenyewe, na wapo wengi tu wapo tayari kutoa Hadi 120-240K.....Sasa sijajua wanajifunza nini huko chuoni.Kwa nini unayeandika usichojua usiwe wewe? Hawa hapa ni wasomi nguli kwenye field hiyo:
Kadhia ya Law School "Wasomi Nguli" wasikilizwe
Wewe unatoka povu hilo ukitokea kijiwe kipi cha boda boda ndugu?
Wanafunzi wa sikuizi hata mwalimu afanyejeee hamna kituuu. Unafundishaa mwanafunzi huku Yuko anachati na na kuangalia picha za x. Dhalau Kwa WALIMU kibao, kibuli ndo usisemeee, mwanafunzi anaingia darasani na huku KICHWANI amebugia k vant za kutoshaaa. Kwa maaadili ya wanafunzi Kwa Sasa ni ngumu saana kumfaulishaaaa.
Viko vyuo vingi ndugu. Vipo hata vyuo vikuu vingi tu vinavyofundisha sheria. Kote huko wasomi nguli wenye CV zao wanatofautiana na wewe:Siandiki povu NAANDIKA nachokiona vyuoni Kwa wanaosoma sheria kwa Sasa, na Kuna mmoja tayari kashaandikiwa research proposal Kwa sh. 50000/= bado research report yenyewe, na wapo wengi tu wapo tayari kutoa Hadi 120-240K.....Sasa sijajua wanajifunza nini huko chuoni.
Ukitazama kwa upande mwingine; matokeo hayo pua yanaakisi kwa usahihi na ukubwa hali ya ubora/ubovu na mfumo wa elimu yetu kwa sasa.
Yaani elimu yetu ni mbovu au dhaifu kiasi gani.
Narudia tena tunatakiwa kuanzia kwenye Katiba Mpya.
Mtu yeyote asikudanganye; Katiba ni muhimu mno. Inagusa KILA KITU, aidha moja kwa moja au indirectly. Sasa lazima tuanzie hapo.
Sote tunafahamu vema, na wengine kuathitika na "tabia/utamaduni" wa kila awamu na mara nyingine hata kila Waziri wa Elimu kuja na "lwake". Hilo tutalikomesha kwenye Katiba Mpya, na tutaliwekea utaratibu mzuri kule.
Majuzi tu hapo, kwenye Awamu ya Tano, hayati Magufuli na Bi. Ndalichako nao walikuja na "lwao".
Ndio hayo sasa matokeo yake. Au hamtaki??
Sawa kama ni ujinga mtupu ila uhalisia unaonekana kwenye matokeo ya lawschool, mi naongea nachokiona sio nachosimulia, uzuri wake nimepitia chuo kikuu kimoja kikubwa hapa so najua nachokiandikaViko vyuo vingi ndugu. Vipo hata vyuo vikuu vingi tu vinavyofundisha sheria. Kote huko wasomi nguli wenye CV zao wanatofautiana na wewe:
Kadhia ya Law School "Wasomi Nguli" wasikilizwe
Kwani wewe nani mjomba kutushawishi vinginevyo kutokea kwenye fake ID bila hata ka CV tuutambue umahiri wako ndugu?
Huoni kuwa unachobwabwaja ni ujinga mtupu?
Huyu mtoa mada hajui chochote Hali ni mbaya mavyuoni, watu wanatulipa hela tuwaandikie research unaexpect ataperform lawschool?Wewe mleta uzi pamoja na wachangiaji wengine wenye mrengo wa kuwatetea wanafunzi wanaofail LAW SCHOOL OF TANZANIA(LST) wote mnaonekana ni wajinga na hamjui LST inaendeshwaje na mitihani yake inafanyikaje ila kwa ujinga mlionao mnaweza kujivika unguli wa kujadili hoja ya law school of Tanzania huku mkidhihaki walimu wa shule hiyo ya Sheria kwa msiofahamu napenda kuwapa taarifa za shule hio jins inavyofanya kazi hasa kwenye kipengere cha mitihani yake na jins mwanafunz anaweza kufauli mitihani yake.
1. Law school hufundishwa kwa categories mbili;
a) Theories kidogo huku kukiwa na practical training kiasi na mafunzo hayo hufundishwa na walimu wa shule hio na wakati mwingine majaji mfani, Judge Twaib na Judge Dr.Luhangisa na hii hufanyika MULTI-PURPOSE HALL kwa waliofika au kupitapita pale law school watakuwa wanalifahamu hili jenge mahala lilipo.
b)SEMINARS, hapa ndipo mafunzo kwa vitendo hutawala yakiambatana na scenarios mbalimbali za masomo husika yanayofundishwa kwenye shule hiyo na husimamiwa na walimu wa shule hio pamoja na mahakimu au waendesha mashtaka kutoka sehemu tofauti tofauti
2. Mitihani ya law school imegawanyika kwenye vipengele vinne(Four components) kwa zile core subjects,
a) Individual Contineous Assessment(ICA).
b)Written Practical Exercise(WPE).
c) Final Exercise(FE).
d) Oral Practical Exercise(OPE).
3. Mitihani hii yote ina marks 100% kila component na hugawanywa kwa nne ili kuletea uwiano wa marks mia kwa kila somo kwenye masoma ambayo ni core subjects kama, commercial aspects,civil procedure,criminal procedure,probate and administration, ethics na conveyancing(kwenye masomo haya kila component kama nilivyosema hapo juu ina 100% hivyo somo moja huwa na 400% kugawa kwa 4=100%)
4. Pia kuna masomo matatu ambayo mtihani wake ni mmoja tu nayo ni, Legal drafting, Human Rights and Accounting for lawyers.
5. kwenye yale masomo ya components nne kuna mtihani wa WPE wanafunz huingia na kila kitu hata kama una tela la trekta la vitabu unavyofikiria vitakusaidia unaruhusiwa kuingia navyo kuanza asubuhi saa tatu hadi saa saba kisha mnatoka nje kula baada ya hapo unaenda sasa kuufanya huo mtihani maana hio asubuhi unapewa maswali unajisomea huku ukiwa na material yako kama nilivyosema hapo juu.
4. Mtihani wa OPE ni wa mahojiano kama enterview unaingia kwenye pannel ya watu watatu unahojiwa maswali mbalimbali ya kisheria kisha unatoka na mtihani huu husimamiwa na mwalimu mmoja wa law school na hakimu mmoja pamoja na wakili wa serikali mmoja kutoka sehemu mbalimbali hapa nchini,
HAPA SWALI LA KUJIULIZA nani atakufelisha maana hakimu na wakili wa serikali hawana favour wala kuonea mtu hata kama utasema yule mwalimu wa law school anaweza kufanya makusudi kukufelisha.
KWENYE HOJA ya mitihani mwisho kabisa ile ya components hugawanywa kama nilivyosema na yale masomo matatu huwa na mtihani mmoja tu ukishindwa unaenda kufanya supplementary examination maarufu kama sup.
POINT TO NOTE ili usidisco unatakiwa ufaulu angalau masomo manne ya core subjects SASA ukiwa mwanafunz serious unashindwaje kufaulu hapo law school, wanafunzi wengi wanaenda law school wakiwa na akili za kukariri kama walivyozoea kwenye degree zao huko vyuon na hicho ndio wengi huwaponza maana law school haitoi mitihani ya kujibiwa kwa kukariri inatoa practical examinations as if wewe ni wakili uko mahakamani kupambania kesi yako na maswalu yake ni very technical ukicheza kidogo tu swali lote kama linamarks 40% unazikosa na walimu hawana huruma unawekewa sifuri bila hiyana.
USHAURI; wanafunzi wa law school wasome waache kulialia mitandaon maana walizoea kuhonga ngono na kujipendekeza kule vyuoni hapo law school ni uelewa wako ndio utakuokoa vinginevyo NCHI HII tutajikuta tunakuwa na majaji,mahakimu,waendesha mashtaka na mawakili vipanga jambo ambalo ni hatari.
Fresh from universite hapa ndo tatizo.. law school ni practical school ya ulichosoma under graduate so hpo ndo Kazi ilipo.. pambanen mtoboe sio kila siku mnalalamika.. kati ya hao 23 ni mmoja tu ambaye amefanya first sitting na katoboaWengi wako kwenye mfumo gani ndugu? Mnazipata wapi takwimu hizi Ili kumpotosha nani?
Zaidi ya 90% ya wanafunzi wote Law School ni fresh from universities.
Tuacheni wivu, choyo, husuda, fitna, ujinga, upumbavu na ujuaji uliopitiliza dhidi ya wengine.
Fresh from universite hapa ndo tatizo.. law school ni practical school ya ulichosoma under graduate so hpo ndo Kazi ilipo.. pambanen mtoboe sio kila siku mnalalamika.. kati ya hao 23 ni mmoja tu ambaye amefanya first sitting na katoboa
Umeandika Content nzuri ila hpo kwenye vipanga ndo sijaelewa... Vipanga ai vilazaaa.....Wewe mleta uzi pamoja na wachangiaji wengine wenye mrengo wa kuwatetea wanafunzi wanaofail LAW SCHOOL OF TANZANIA(LST) wote mnaonekana ni wajinga na hamjui LST inaendeshwaje na mitihani yake inafanyikaje ila kwa ujinga mlionao mnaweza kujivika unguli wa kujadili hoja ya law school of Tanzania huku mkidhihaki walimu wa shule hiyo ya Sheria kwa msiofahamu napenda kuwapa taarifa za shule hio jins inavyofanya kazi hasa kwenye kipengere cha mitihani yake na jins mwanafunz anaweza kufauli mitihani yake.
1. Law school hufundishwa kwa categories mbili;
a) Theories kidogo huku kukiwa na practical training kiasi na mafunzo hayo hufundishwa na walimu wa shule hio na wakati mwingine majaji mfani, Judge Twaib na Judge Dr.Luhangisa na hii hufanyika MULTI-PURPOSE HALL kwa waliofika au kupitapita pale law school watakuwa wanalifahamu hili jenge mahala lilipo.
b)SEMINARS, hapa ndipo mafunzo kwa vitendo hutawala yakiambatana na scenarios mbalimbali za masomo husika yanayofundishwa kwenye shule hiyo na husimamiwa na walimu wa shule hio pamoja na mahakimu au waendesha mashtaka kutoka sehemu tofauti tofauti
2. Mitihani ya law school imegawanyika kwenye vipengele vinne(Four components) kwa zile core subjects,
a) Individual Contineous Assessment(ICA).
b)Written Practical Exercise(WPE).
c) Final Exercise(FE).
d) Oral Practical Exercise(OPE).
3. Mitihani hii yote ina marks 100% kila component na hugawanywa kwa nne ili kuletea uwiano wa marks mia kwa kila somo kwenye masoma ambayo ni core subjects kama, commercial aspects,civil procedure,criminal procedure,probate and administration, ethics na conveyancing(kwenye masomo haya kila component kama nilivyosema hapo juu ina 100% hivyo somo moja huwa na 400% kugawa kwa 4=100%)
4. Pia kuna masomo matatu ambayo mtihani wake ni mmoja tu nayo ni, Legal drafting, Human Rights and Accounting for lawyers.
5. kwenye yale masomo ya components nne kuna mtihani wa WPE wanafunz huingia na kila kitu hata kama una tela la trekta la vitabu unavyofikiria vitakusaidia unaruhusiwa kuingia navyo kuanza asubuhi saa tatu hadi saa saba kisha mnatoka nje kula baada ya hapo unaenda sasa kuufanya huo mtihani maana hio asubuhi unapewa maswali unajisomea huku ukiwa na material yako kama nilivyosema hapo juu.
4. Mtihani wa OPE ni wa mahojiano kama enterview unaingia kwenye pannel ya watu watatu unahojiwa maswali mbalimbali ya kisheria kisha unatoka na mtihani huu husimamiwa na mwalimu mmoja wa law school na hakimu mmoja pamoja na wakili wa serikali mmoja kutoka sehemu mbalimbali hapa nchini,
HAPA SWALI LA KUJIULIZA nani atakufelisha maana hakimu na wakili wa serikali hawana favour wala kuonea mtu hata kama utasema yule mwalimu wa law school anaweza kufanya makusudi kukufelisha.
KWENYE HOJA ya mitihani mwisho kabisa ile ya components hugawanywa kama nilivyosema na yale masomo matatu huwa na mtihani mmoja tu ukishindwa unaenda kufanya supplementary examination maarufu kama sup.
POINT TO NOTE ili usidisco unatakiwa ufaulu angalau masomo manne ya core subjects SASA ukiwa mwanafunz serious unashindwaje kufaulu hapo law school, wanafunzi wengi wanaenda law school wakiwa na akili za kukariri kama walivyozoea kwenye degree zao huko vyuon na hicho ndio wengi huwaponza maana law school haitoi mitihani ya kujibiwa kwa kukariri inatoa practical examinations as if wewe ni wakili uko mahakamani kupambania kesi yako na maswalu yake ni very technical ukicheza kidogo tu swali lote kama linamarks 40% unazikosa na walimu hawana huruma unawekewa sifuri bila hiyana.
USHAURI; wanafunzi wa law school wasome waache kulialia mitandaon maana walizoea kuhonga ngono na kujipendekeza kule vyuoni hapo law school ni uelewa wako ndio utakuokoa vinginevyo NCHI HII tutajikuta tunakuwa na majaji,mahakimu,waendesha mashtaka na mawakili vipanga jambo ambalo ni hatari.
Haijalishi yuko inservice or fresh from school,.. nyinyi msifocus kuwalaumu hao walimu pekee ninyi Hamna madhaifu... Wanafunzi zaidi ya 400 wana supp means wananafasi ya kutoboa mitihan ijayo so Hali ya ufaulu kupanda... Nina Mwana mmoja bimeskul naye alikuwa mvivu Vivu hta kusoma nikasikia kaenda law baadaye law school Leo nazungumzia mwaka wa 8 anastruggle kutoboa supp hapo law school...Mwingine alisema tatizo ni kuwa wengi ni kutoka kazini ali mradi kila mwenye roho ya korosho angependa wanafunzi wafeli.
Kwani law school ndiyo chuo peke duniani chenye kupima ubora wa wanafunzi?
Kwa nini law school tu? Mbona wengine wanaona vingine?
Kadhia ya Law School "Wasomi Nguli" wasikilizwe
Kulikoni wewe kutaka kutulazimisha maoni yako?