Wanafunzi Saba wahofiwa kupoteza Maisha baada ya School Bus kuanguka kwenye korongo (Sinoni, Arusha)

Wazazi tubadilike

Mvua imenyesha usiku kucha...unatoa mtoto asbh aende wapi???

Kuna vitu vinaweza kuepukika
Unaweza kuepuka ukuta utakaonguka usiku ukiwa umelala ukaua?
 
Huko nchi za watu kuna ajali pia. Upo sahihi kwenye maboresho ili kuzipunguza.
Yesss,yaan tunatakiwa kuwajibika kwa juhudi zote kuepusha madhara yoyote.
 
Reactions: Tsh
Pole sana kwa wazazi inauma sana magari yenyewe hayaeleweki ukaguzi hakuna polisi wanakula tu hela barabarani, ukiunganisha na hao machalii wanaoendeshs hizo gari basi unapata jibu kuwa Tanzania sio sehemu salama tena kwa kitu chochote kile.Ukiuliza sana utasikia tunamshukuru mama kwani wangekufa wengi zaidi.
 
Everthing ni GOD plan
Kila mtu atakuwa na njia yake kikubwa mwisho mwema pia kupunguza vifo visivyokuwa na lazima kama hivi “
Pia uboreshaji wa miundombinu ni muhimu kwenye barabara zetu ata kama upo kwenye pikipiki kuna barabara zingine zinakuita tu kaburini muda wote
 
pole kwa wazazi, vp bashite anasemaje
 
Unaweza kuepuka ukuta utakaonguka usiku ukiwa umelala ukaua?
Ndo mana nilisema kuna vitu vinaweza kuepukika. (Tahadhari)
Huyo dereva si alionywa na ma bodaboda kuwa usipite hapo maji ni mengi...alilazimisha ya nini??

KWa namna maji yalivyo mengi hakuna mzazi mwenye akili anaweza kutoa mtoto aende shule.
Mkuu we nyamaza tu
 
= wasamaria
 
Daah kumbe dereva alipita mtoni kabisa harafu gari ikazima katikati ya mto akakimbia kwenda kuomba msaada daah kama watoto kijinga sana pamoja na mwalimu wa kike...
 
Kwa hiyo hii ajali ni God Plan?

Huyo God pamoja na wewe ni pumbavu kabisa..
 
Wazazi nao hawajifikirii kweli!? Na mvua hizi bado unaruhusu mwanao aende shule? Siku yenyewe moja tu halafu weekend mimi nisingemruhusu angesubiria jtatu na penyewe ingetegemea na hali ya hewa
Ulimbukeni wa wazazi ndio unaghalimu maisha ya watoto waoWatoto wangu Leo nimewazuia wasiende
 
Huyo dereva hata kama ana leseni, hana busara, anadharau, hastahili kuendesha gari ya abiria. Angesikiliza maneno ya bodaboda janga halingetokea.
 
Dereva ,wakumkanda ,hajui kwamba maji yanaweza pungua au ongezeka kutokana na mvua imenyeshaje
 
Wazazi nao hawajifikirii kweli!? Na mvua hizi bado unaruhusu mwanao aende shule? Siku yenyewe moja tu halafu weekend mimi nisingemruhusu angesubiria jtatu na penyewe ingetegemea na hali ya hewa
Punguza ujuaji
 
Daah kumbe dereva alipita mtoni kabisa harafu gari ikazima katikati ya mto akakimbia kwenda kuomba msaada daah kama watoto kijinga sana pamoja na mwalimu wa kike...
Poleni sana!
Isanga wewe pia una shida ya L na R !?
Harafu = Halafu.
 
mvua imenyesha nadhani krb nchi nzima usiku...
Mungu awasaidie wapatikane wakiwa hai...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…