Ikitokea sehemu ya waislamu ikakataa mavazi yao ,hilo balaa lake ๐๐๐wala nguruwe utasikia sijui Mung anaangalia moyo.
Hapo wanatetea eti kwa vile Sheria za kikristo...kama hamruhusu basi toeni na lile sanamu lililovaa hijab pale
Hili sanamu mulitoe kabisa maana limevaa hijab๐ ๐ ๐
View attachment 2919690
Kwa hiyo stara ni kuvaa niqad tu ๐ ๐ naongelea kujifunika kichwa na sheria za kisheria .Hiyo sanamu ya Maria ni wapi umeona imeficha sura ikabakiza macho tu!?
Logic yako wakionyesha sura wanatongozwa sana, hizo niqabu zinazuia nini wasitongozwe!?
Mkuu sorry nje mada kidogo! Hv kuna kipindi nliskiaga wanadai mahakama ya kadhi๐คhivi ndo inakuaje? Wanahukumu kwa kutumia torati? Magereza yao ni hii hii ya kwetu? Hakimu ni nanKuna Mwaka pale St. Anthony Secondary School Mbagala- Wakataka kwenye Nembo ya Shule Watoto wa Kiislam Nembo yao isiwe na alama ya Msalaba !! Mkuu wa Shule akawaambia Asietaka mtoto ake Logo ya Shati yake isiwe na Msalaba , Amtafutie Mtoto shule ingine๐..... Wangekuja omba Watoto wao wapewe pa Kuswalia, Mabinti wavae majuba .... the list of Demands goes on and on
Kadhalika wanafunzi wa kikristo wanalazimishwa kuvaa ushungi MUM pamoja na serikali kutoa uhuru kwa wanafunzi kuvaa watakavyoHabari,
Wanafunzi wa kiislam katika chuo Cha mafunzo ya sayansi za afya haydom wanapata changamoto ya kuvaa stara wakati Wizara ya Afya imeruhusu wanafunzi wa kiislam kuvaa ushungi na nguo ndefu zenye maadili.
Hijab ni nn?๐ ๐ UtakataaMkuu hio sio hijabu ni vazi la kiyahudi kumbuka uyahudi upo kabla ya mudi kuanzisha uislam
Kama ilivyo MUMChuo kina dressing code yake wafuate sheria sio kila jambo ni la kulalamika
Hijab ni nn?๐ ๐ Utakataa
Hijab ni jina tu ila unatakiwa kujistiri hata kwa majani sehemu za kisheria ,ndio maana kutia wudhu kweny uislamu sio lazima utumie maji hata mchanga safi pia inaenda.
Ishu ni vazi la kujistiri sio jina la vazi kama mtu hana hela ya kununua ,je avae nn? Hata kanga unavaa ...
Sawa ipo kwenye biblia unaelewa content na context yake!?Elewa maana ya bughuzi kuanzia kichwa yaani nywele ,kuleta mvuto na ushawishi ,nywele kwa mwanamke ni pamb hata sehemu yake kubwa ya mwili ni pambo.
Kanisani palikatazwa watu kuonyesha mapambo kama nywele zao kama unabisha nakuletea andiko hapa!?
Ushawishi katika kuleta matatizo ,kumbuka mwanamke ni mtu wa aibu angalau akibaa stara inaweza kupunguza vishawishi vya kutongozwa.
Kutongozwa ni kawaida ila anapunguza pia ni kisheria ,kuvaa stara katika dini hata mila za Mtanzania.
Kama ni cha dini ni vyema wafanye mpango wahamie chuo kinachovaa kwa kufuata maadili ya dini yao.Chuo kinamilikiwa na kanisa, ya nini kuingiza tamaduni za kiislam ndani ya ukristo? Vyuo viko vingi hao wanafunzi waislam wakasome huko wanakovaa ushungu.
Chuo kina dressing code yake msing'ang'ane na shuni zenu vaeni wanavyotaka wenye chuo
Inasemekana hara huko ilikotoka dini wameanza kuachana na huo uvaaji ili kila awe huru aishi atakavyoJe hii ni kwa sababu gani, ni kulazimishwa na wazazi, walezi na vyuo vya kiimani lakini wakitoka chini ya ulezi wa mamlaka hizo basi kina dada wanaacha kuvaa ndiyo maana hatuoni hijab hizo.
Serikali ifute mambo ya Hijab,hata Egypt Wamefuta na Nchi nyingine kibao.Habari,
Wanafunzi wa kiislam katika chuo Cha mafunzo ya sayansi za afya haydom wanapata changamoto ya kuvaa stara wakati Wizara ya Afya imeruhusu wanafunzi wa kiislam kuvaa ushungi na nguo ndefu zenye maadili.
Kwa hiyo wewe umejiunga na chuo kwa kuvutiwa na mavazi ya sanamu?Ikitokea sehemu ya waislamu ikakataa mavazi yao ,hilo balaa lake ๐๐๐wala nguruwe utasikia sijui Mung anaangalia moyo.
Hapo wanatetea eti kwa vile Sheria za kikristo...kama hamruhusu basi toeni na lile sanamu lililovaa hijab pale
Hili sanamu mulitoe kabisa maana limevaa hijab๐ ๐ ๐
View attachment 2919690
Kuna, watangazaji wa, Al Jazeera, Hodar Abdel Hamid, na mwingine anahetangazia Refah,hawa kwanza, wana nywele ndeefu za, kiarab na, hawavai maushungi!Habari,
Wanafunzi wa kiislam katika chuo Cha mafunzo ya sayansi za afya haydom wanapata changamoto ya kuvaa stara wakati Wizara ya Afya imeruhusu wanafunzi wa kiislam kuvaa ushungi na nguo ndefu zenye maadili.
Walimu wengi shule za msingi wanasema wazi hakuna watu wachafu kwenye vichwa kama watoto wa kike wa kiislamu ukifungua kile kihijabu kichwani nywele kama vichaa kuna wakati walijaribu kuendesha hilo zoezi kukagua usafi wa vichwa kwa kulazimisha wakichokutana nacho ni uchafu balaa mtoto anaosha uso tu anavaa hijabuMimi bado mpaka leo nailaumu Serikali kwa kuruhusu vazi la Hijab kwenye shule za msingi na sekondari! Kwenye vyuo sina tatizo maana pale ni watu wazima wana uhuru wa kuchagua!
Waislamu nadhani mmekalilishwa utamaduni wa mudi ndio uislamu kuanzia lugha kiarabu, mavazi(kanzu na niqabu) mpaka kukosa elimu(mtume hakujua kusoma mkaita elimu ya makafiri).Kwa hiyo stara ni kuvaa niqad tu ๐ ๐ naongelea kujifunika kichwa na sheria za kisheria .
Niqab sio lazima ila kujifunika kichawa hata kwa kanga.
Hawa ndio kioo cha ukristo๐
View attachment 2919722
Mavazi ya heshima ya kanisani yap? Sasa Qur an imeeleza mavazi hayo ya heshima jinsi gani ya kujistiri.Sawa ipo kwenye biblia unaelewa content na context yake!?
Bible sio quran rafiki kuna baadhi ya vitu ni tamaduni tu wala sio Mungu anaangalia niqabu.
Makanisa mengi ya kicatholic yanasisitizs mavazi ya heshima kulingana na tamaduni zetu kuvaa nguo fupi, kuvaa suruali hairuhusiwi ila kuficha uso ni utamaduni wa wayajudi.
Hata hapo Sauti na bugando vyuoni wana mavazi yao ya heshima sauti huwezi vaa suruali kuingia kwenye vipindi