min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bora,maana Vile vijuba wanavaa hata wanafunzi wanakuwa kama Penguin,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bora,maana Vile vijuba wanavaa hata wanafunzi wanakuwa kama Penguin,
Hapa ndo tunaona umuhimu wa Morogoro Muslim University kudahili watu wakeUfaransa walipiga marufuku niqab sio kuvaa nguo za stara. Ushungi na baibui unavaa kama kawaida isipokuwa kufunika uso kama ninja.
Halafu usilazimishe dada zetu wavae uchi kama dada zako wafanyavyo hadi makanisani kwa kisingizio cha jua kali.
Siwezi lazimisha kwa sababu mimi sio mwislamu wala sio mkristo na hata ningekua mmoja wapo wa hao pia nisingefanya hivyo.Uko sahihi huu ni mtazami wako(personal opinion), na hakuna mtu atapongana na wewe tatizo ni pale muislamu amlazimishe mtu asiye muiislamu kutaka mtazamo wake ukubakiwe na ufuatwe na waislamu wote
Usahihi ni kuwa kama unaenda kusoma kny taasisi ya kikristo uwe na uhakika kuwa utaendana na miiko na taratibu zao, vivyo hivyo kama mkristo ataamua kusoma taasisi za Kiislam lazima awe na uhakika kuwa ataendana na taratibu na miiko ya Kiislam.Hii sio sawa kabisa
Huwezi KUKUBALI kufuga simba halafu useme nyumbani kwangu hakuliwi nyama eti kwa sababu unafuga Ngombe na Kondoo wanaokula nyasi. Suluisho ni Chuo kusema hakipokei wanafunzi wa Kiislam , lakini kwa kuwa kimekubali kuwapokea chenyewe, lazima kikubaliane na taratibu zao
Wanafunzi wa imani tofauti wawapo Rome huishi kama warumiNi chuo cha masista pekee ama kinachopokea wanafunzi wa imani tofauti?
Hapana mkuu kuna vitu ambavyo ni basic mtu ambaye ni mkristo au uliye kulia kwenye ukristo unavijuaWe jamaa kama siyo padri ni mchungaji.
Yesu hakuja kwa mambo ya mwilini sijui vazi sijui kofia sijui kilemba.
Hizi ni taratibu tu za dini, hazina uhusian na mbingu.
Kwani kuna sehemu mtume kasema waislamu waongee kama waarabu lakini kila mtu ukimkuta muislamu si anataka kuongea kama muislamu?
hivyo hata waroma[dini ilitoka itali/urumi] nao wanaiga tamaduni za huko ikiwa ni pamoja na mavazi.
Kama chuo kimesajiliwa na Wuzara au mamlaka husika hakiruhusiwi kuendeshwa kidini tena. Labda uniambie kimekuwa senior seminaryChuo kinamilikiwa na kanisa, ya nini kuingiza tamaduni za kiislam ndani ya ukristo? Vyuo viko vingi hao wanafunzi waislam wakasome huko wanakovaa ushungi.
Chuo kina dressing code yake msing'ang'ane na shungi zenu vaeni wanavyotaka wenye chuo
Kwa sbb asili yake ni chuki, ulipaji visasi, na kuua watuNaona hasa chuki za waziwazi juu ya uislam.
Ni kweli wanalisujudia sanamu,Bado wanalisujudia sanamu hilo ,lile sanamu limefanya mpaka Rais wa Italy agome kukataza Hijab maana linamsuta .
Hawa wadau likifika jambo la dini yao huwa wanatumia sana hisia kuliko reasoning.Kwa sbb asili yake ni chuki, ulipaji visasi, na kuua watu
Funikeni vichwa kwenye taasisi zenu.Kwa nini kuwapangia wakatoliki?Tumieni akiliKama nchi ya kiislamu ikataka mavazi yasiyo stara ,dunia nzima inasema kwamba ni democray kila mtu avae atakavyo.
Chuoni kama hapo tumekubali ,il ukweli nyie ni wanafiki na mnafanya mambo bila ya kutumia akili ...Tangu lin kujifunika kichwa ikawa ni kosa katika ukristo?
Ebu angalia sanamu ya Maria kanisani unakuta imevaa hijabu ,hebu angalia wale ma'sisters ambao ni devoted servants pale tena hata shule za kikristo nimekaa pale Magamba Forest Lushoto naona wale matron wao wanavaa hijab kwa shule ya st Mazinde juu.
Kufunika kichwa haijawahi kuwa jambo geni ,ishu ni chuki.View attachment 2919705
Hakiendeshwi kidini ndio maana wamekataza kuvaa hijabu, kuvaa hijabu si ndio udini wenyewe au!?Kama chuo kimesajiliwa na Wuzara au mamlaka husika hakiruhusiwi kuendeshwa kidini tena. Labda uniambie kimekuwa senior seminary
Wakristo uwezo wa kuhimili matamanio ni mkubwa kuliko waislamuWakristo na waislamu wote wanajifanya washika dini, lakini katika huko kujifanya waislamu wapo bora zaidi hasa katika mavazi ya kike na kulinda haiba ya kike kwa stara ,mbona ipo wazi hiyo kama ya mbuzi mkuu?
Kuendelea kukumbatia dini yako kutakuua na sonona.Waache wakristo waende Jehanum wewe uende Janna!Simple!View attachment 2919714View attachment 2919715
Chuo sio cha kiafrica ni cha kikristo ,hizo ndio dressing code za wanaoabudu wakristo...Mwanamke wa mfano kweny ukristo mama ake yesu [emoji28] anavaa hijab
Hawa wadau hawawezi kufocus na dini yao japo ina matatizo mengi ambayo madhehebu yao yameshindwa kukubalianaNi kweli wanalisujudia sanamu,
.Wewe kinakuuma nini?
Unataka watu wote waishi utakavyo?
Wakati nyie mkipambania kuvaa mivazo mnayoiita ya stara,wenzenu wanapambana kuongeza wigo wa taasisi za huduma ya jamii nchi nzima.
Kwa sasa kila ilipo parokia yeyote nchini,nasema parokia,lazima kuwe na either shule,chuo au hospitali.Ifikapo mwaka 2035 Kanisa Katoliki litakuwa na idadi sawa za taasisi za elimu na serikali kwa sababu strategically huo ndio mpango.Kuwa na chuo Kikuu kila Mkoa na kuitawala sekta ya elimu nchini.Mkiwa bado mnapiga mazoezi ya judo misikitini wenzenu wanafikiria kuwa na academic excellence na kuamua kila kitu kwenye kila sekta ya nchi.
Usimwamshe aliyelala!
Inaonekana unapenda sana kufukuliwa mtaro.Anyway turudi kwenye mada.Kama watoto wa Kiislam hawawezi kufuata masharti ya vyuo vya wakatoliki watafute vyuo vya Kiislam.Uzuri wakristu hawaendagi kwenye taasisi zenuOnyesha joining instructions! Acha Uongo chuo hicho pakiwa na shoga ,hawawezi kumfukuza kwa tabia yake utasikia haki za binadamu.
Onyesha joining instructions ,Dressing code hakuna chuo kimechambua hakuna chuo kinakataza mavazi ya stara.
Vyuo vya kidini kwa ngazi ya chini haswa za kikristo ,hata sketi zao ni ndefu acha uongo.
Halafu mtaani wanaoongoza kuvaa madera na vijora wakiyachomekea kwenye chupi ni wanawake wa Kiislam.Wanaoongoza kukatika kwenye vigodoro ni wanawake wa Kiislam,wanaoongoza kutoa 0713 ni wanawake wa kiislam.Lakini hayo hayakemei anafuatilia kuwachokonoa wa imani isiyo yake.Temeke,Kinondoni,Mbagala yote na Ilala wamejaa wanawake wa Kiislam na wanaongoza kwa uchafu ambao anaufumbia machoHapo tu baadhi ya waislamu ndio huwa mnanichosha.
Neno stara kwako umetafasiri ni ushungi, je kama wanataka kuvaa niqabu, zile nguo zenu za kufunika tu unabakia macho!?
Huwa mnakurupuka kweli sijui ndio
dini yenu imewafundisha muache kutumia logic hata kidogo linapikuja suala la dini
Utakufa na sonona ndugu yangu fuatilia uwahubirie wenzie akina Amber Rutty waache dhambi!Wapi nimekuambia ataenda peponi kila binadamu ana dhambi ! Unafiki wenu eti ooh mnaheshimu dini za wengine [emoji28][emoji28]
Nyie ni wanafiki wakubwa kama unaheshimu dini za wengine kwa nn unakataa asivae mavazi yake ? Akija shoga hapo mnampkea maana ni ndugu yenu.[emoji28]