Suhendra
JF-Expert Member
- Nov 25, 2023
- 1,625
- 3,307
Kitu Kama hukijuwi usiropokeYes walitakaga mahakama ya Kadhi- ila Magereza ni haya haya yaliopo chini ya wizara ya mambo ya ndani!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitu Kama hukijuwi usiropokeYes walitakaga mahakama ya Kadhi- ila Magereza ni haya haya yaliopo chini ya wizara ya mambo ya ndani!
Uvae chu..pi ,suruali ,brazia,tshirt halafu hijab,unatembea na duka la nguo mwili,ni ushambaHizo ngou wanavaa wao ila joto unasikia wewe. Ajabu hii
Tena huko msikitini ndo mahala pake haswa pa kuvaa hijab..!!ka dini kenu kaliona fahari kujenga misikiti, wacheni wakristo wainjoy matumiz ya sadaka zao
wao walijenga mashule na vyuo ili jamii yao inufaike
so nendeni msikitini sisi tunaenda vyuo
mkiugua mje tuwapige na pesa zenu
Kama unajua huwezi kuendana na miiko yao unapeleka pua ya niniHicho chuo kimesajiliwa kwa mrengo wa kudahili wanafunzi wa kikiristo pekee?
Ajabu zaidi ni pale eneo la kanisa unataka uje manguo ya joto ambayo hayaendani kiimani, desturi na taratinu za eneo husika..!! Kwani wamezuiliwa kuvaa wakiwa wanaenda madrasa? Au kwani wamezuiliwa kuzivaa waendapo msikitini? Hivi wenzao wasio waislamu wanaosoma shule zenye mrengo wa kiislamu, wanaweza vumilia watu wakaja mesini na kitimoto?Hizo ngou wanavaa wao ila joto unasikia wewe. Ajabu hii
Waende basi kwenye vyuo vyaoUfaransa walipiga marufuku niqab sio kuvaa nguo za stara. Ushungi na baibui unavaa kama kawaida isipokuwa kufunika uso kama ninja.
Halafu usilazimishe dada zetu wavae uchi kama dada zako wafanyavyo hadi makanisani kwa kisingizio cha jua kali.
Wameumbwa sawa tofauti inakuja kwenye mafundisho .Mkristo hufunzwa mapema kudhibiti matamanio wakati kwa waislamu hilo somo halipo wanakua kama uyoga tu hasa wanaume wa kiislamu.Unakuta kitoto kichanga cha kike tayari kinavalishwa kihijabu cha kitoto wanaume wasikitamani wasioweza kudhibiti matamanioHao wakristo waliumbwa tofauti na waislamu mpaka washindwe kuzuia hayo matamanio yao.
Wewe Kama naniWatoto wasivalishwe, wasubiriwe wawe watu wazima waamue wenyewe, wanateseka sana.
Quran ilisema chuki waliyonayo mioyoni mwao ni kubwa kuliko hii wanayoidhihirisha.Naona hasa chuki za waziwazi juu ya uislam.
imani yake akajiunge na Chuo cha Biblia au madrasa. Serikali haina dini, mavazi ni neutral.Inafikirisha kiukweli.
Mavazi ambayo MTU anavaa yenye stara ni muhimu Sana. Kwa IMANI yake.
Hicho chuo chakijinga Sana
Hao wanaovaa niqabu na kuolewa mpaka wake wa nne huwa wanaanzia wapi kuwatongoza?Wewe ulisha wahi kumtongoza mwanamke mwenye niqab kwanza unaania wapi 😏 acheni chuki na uislam
Mbona Masister wa RC wanaruhusiwa kuvaa shungi zao?Chuo kinamilikiwa na kanisa, ya nini kuingiza tamaduni za kiislam ndani ya ukristo? Vyuo viko vingi hao wanafunzi waislam wakasome huko wanakovaa ushungi.
Chuo kina dressing code yake msing'ang'ane na shungi zenu vaeni wanavyotaka wenye chuo
Wakristo wote ni wapi? Unakataa vip ukweli?Sio Wakristo wote ni Wakatoliki, sio wote wanaokupinga ni Wakatoliki au Wakristo.
Halafu kama umelipenda sana sanamu la Maria basi uendelee mbele zaidi ukubali na kufurahia mashoga kubarikiwa. Usifanye cherry picking.
Ninachokuambia hap nyie mnafanya mambo ambayo hayapo kweny maandiko yenu ,halafu mnakataa mambo ambayo yapo kweny maandiko yenuWasipinge pia au kunyanyua midomo yao mashoga kubarikiwa.
Kuzaa ni sheria ila moja ya umuhimu ni kupunguza sio kuondoa kabisa ...Watu wanatongoza hadi wavaa niqab, achilia mbali ushungi. Au unafikiri huwa wanapataje mimba na kuolewa??
Chuo kinamilikiwa na kanisa, ya nini kuingiza tamaduni za kiislam ndani ya ukristo? Vyuo viko vingi hao wanafunzi waislam wakasome huko wanakovaa ushungi.
Chuo kina dressing code yake msing'ang'ane na shungi zenu vaeni wanavyotaka wenye chuo
Mimi bado mpaka leo nailaumu Serikali kwa kuruhusu vazi la Hijab kwenye shule za msingi na sekondari! Kwenye vyuo sina tatizo maana pale ni watu wazima wana uhuru wa kuchagua!
Kama sio udini hamna sababu ya kuvaa wanalalamika nini sasaHijabu siyo udini. Ndio maana nuns wa kikatoliki nao wanafunika kichwa na hawakatazwi
Ni utamaduni... Huwezi kuzuiya mtu kufuata utamaduni wake. Mfano uende Ulaya ulazimishwe kuwa shoga. Siyo sawaKama sio udini hamna sababu ya kuvaa wanalalamika nini sasa