Wanafunzi wa kike wa kiislamu wanazuiliwa kuivaa stara Chuo cha Mafunzo ya Sayansi za Afya Hydom

Wanafunzi wa kike wa kiislamu wanazuiliwa kuivaa stara Chuo cha Mafunzo ya Sayansi za Afya Hydom

ka dini kenu kaliona fahari kujenga misikiti, wacheni wakristo wainjoy matumiz ya sadaka zao
wao walijenga mashule na vyuo ili jamii yao inufaike


so nendeni msikitini sisi tunaenda vyuo
mkiugua mje tuwapige na pesa zenu
Tena huko msikitini ndo mahala pake haswa pa kuvaa hijab..!!
 
Hizo ngou wanavaa wao ila joto unasikia wewe. Ajabu hii
Ajabu zaidi ni pale eneo la kanisa unataka uje manguo ya joto ambayo hayaendani kiimani, desturi na taratinu za eneo husika..!! Kwani wamezuiliwa kuvaa wakiwa wanaenda madrasa? Au kwani wamezuiliwa kuzivaa waendapo msikitini? Hivi wenzao wasio waislamu wanaosoma shule zenye mrengo wa kiislamu, wanaweza vumilia watu wakaja mesini na kitimoto?
 
Ufaransa walipiga marufuku niqab sio kuvaa nguo za stara. Ushungi na baibui unavaa kama kawaida isipokuwa kufunika uso kama ninja.

Halafu usilazimishe dada zetu wavae uchi kama dada zako wafanyavyo hadi makanisani kwa kisingizio cha jua kali.
Waende basi kwenye vyuo vyao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao wakristo waliumbwa tofauti na waislamu mpaka washindwe kuzuia hayo matamanio yao.
Wameumbwa sawa tofauti inakuja kwenye mafundisho .Mkristo hufunzwa mapema kudhibiti matamanio wakati kwa waislamu hilo somo halipo wanakua kama uyoga tu hasa wanaume wa kiislamu.Unakuta kitoto kichanga cha kike tayari kinavalishwa kihijabu cha kitoto wanaume wasikitamani wasioweza kudhibiti matamanio

Tofauti ni kwenye mafundisho tu kwa mkristo kuwa ukifunga dhibiti matamanio yako ila usimzuie mwingine asiyefunga kula tena hata kama kupika mpikie tu kwa waislamu haiwezekani hawajafunzwa hivyo toka wadogo na sasa watu wazima kudhibiti matamanio kunawashinda
 
Wewe ulisha wahi kumtongoza mwanamke mwenye niqab kwanza unaania wapi 😏 acheni chuki na uislam
Hao wanaovaa niqabu na kuolewa mpaka wake wa nne huwa wanaanzia wapi kuwatongoza?
Nyie si ndio mnatoa bikra ya nyuma mbele ndio mnatunzia mme huko zenji.
Na kwa taarifa yako hao kwa vile watu wanawaogopa kwa kudhani ni majini ukimtongoza tu amekubali
 
Chuo kinamilikiwa na kanisa, ya nini kuingiza tamaduni za kiislam ndani ya ukristo? Vyuo viko vingi hao wanafunzi waislam wakasome huko wanakovaa ushungi.

Chuo kina dressing code yake msing'ang'ane na shungi zenu vaeni wanavyotaka wenye chuo
Mbona Masister wa RC wanaruhusiwa kuvaa shungi zao?
 
Sio Wakristo wote ni Wakatoliki, sio wote wanaokupinga ni Wakatoliki au Wakristo.
Halafu kama umelipenda sana sanamu la Maria basi uendelee mbele zaidi ukubali na kufurahia mashoga kubarikiwa. Usifanye cherry picking.
Wakristo wote ni wapi? Unakataa vip ukweli?
 
Wasipinge pia au kunyanyua midomo yao mashoga kubarikiwa.
Ninachokuambia hap nyie mnafanya mambo ambayo hayapo kweny maandiko yenu ,halafu mnakataa mambo ambayo yapo kweny maandiko yenu
 
Tulienda kucheza Mpira chuo Cha MUM,ukiwa na bukta ya kawaida getini hupiti,,Hadi jezi wanataka bukta iwe inafunika magoti..na hilo si kwa watu wa nje tu,Hadi kwa wanafunzi wa pale,,point ni kwamba Kila mahala na utaratibu wake,hupendezwi nao usiji stress,nenda unapopenda..
 
Watu wanatongoza hadi wavaa niqab, achilia mbali ushungi. Au unafikiri huwa wanapataje mimba na kuolewa??
Kuzaa ni sheria ila moja ya umuhimu ni kupunguza sio kuondoa kabisa ...
 
Chuo kinamilikiwa na kanisa, ya nini kuingiza tamaduni za kiislam ndani ya ukristo? Vyuo viko vingi hao wanafunzi waislam wakasome huko wanakovaa ushungi.

Chuo kina dressing code yake msing'ang'ane na shungi zenu vaeni wanavyotaka wenye chuo

kwahiyo kanisa hua linataka wanawake wavae nguo za kuonesha uchi?
 
Mimi bado mpaka leo nailaumu Serikali kwa kuruhusu vazi la Hijab kwenye shule za msingi na sekondari! Kwenye vyuo sina tatizo maana pale ni watu wazima wana uhuru wa kuchagua!

kwani hilo vazi mumelazimishwa nyote? kwanini wagalatia munateseka sana na uislamu
 
Back
Top Bottom