Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio wasinenepe unakuta wameingia ndani uchachafyo kama huo hapo sim zinapigwa nyumbani kama mvuaWaache watoto wetu aisee!Wanavaa tuvazi wanatuita"modo".Na ile miili yao chakula chao kikuu ni maandazi mawilimawili kwa chilisosi.
Wanaita challenge 😂😂😂si mchezoNlipita udsm mwaka jana ilikuwa
Nkakuta wanafunzi wa kiume wako kikundi wanakatika mauno
Mziki wa mondi sjui konde yule huku wanarekodi kwa ajili ya tiktok
Ova
Wanasikiliza komasava, na dula dula anataka kula chapati😅Udsm ilikuwa zamani
Sahv humo wamejaa wanyoa viduku,kutwa maskioni wamevaa earphones wanasilikiza songeli amapiano mondi konde zuchu wamefanyajeee
Ova
Tafuteni tuitionView attachment 2991530Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) tumezuiwa kufanya mitihani ya Test One kwa kukosa vitambulisho vilivyo hai (Valid ID) kwa sababu ya kushindwa kumalizia Ada ya Semister ya Pili.
Lecturer anayefundisha kozi ya Research Methodologies akifukuza Wanafunzi ambao hawajakamilisha Ada.
Hii inachagizwa na Wanafunzi wengi kuwa na kawaida ya kutumia fedha za kujikimu (Boom) tunazopata kutoka Bodi ya Mkopo kwa ajili ya kulipa ada, pia mpaka sasa wengi wetu hatujapata Boom la pili na hivyo kushindwa kumalizia ada tunayaotakiwa kuilipa.
Changamoto hii imetokea kwenye Vitivo mbalimbali hasa Wanafunzi wa Mwaka wa Kwanza na Wapili mbao walilipwa kiasi kidogo.
Wanafunzi tulituma barua ya maombi kwa Mkuu wa Chuo kuomba turuhusiwe kufanya mitihani kwa kuwa malipo ya Bodi yanatarajiwa kutolewa wiki ijayo lakini majibu tuliyopata ni kuwa hilo halitawezekana.
Uongozi wa Chuo umesisitiza Wanafunzi wote wanatakiwa kulipa Ada kwa maelezo kuwa wapo ambao hawategemei Boom kulipa ada ambao hawajapata mkopo na kuwa idadi ya ambao hawajalipa ada ni kubwa, hivyo chuo kina ukwasi.
Miili ya janabi hali ngumu, kula mara moja tu kwa kutwa.Extended secondary
Hapo ni wote waliolipa na wasiolipa
Vitivo vyote mnaingia road mnakichafua balaa hadi ada inaondolewa sema kwa suruali hizo na miili ya Janabi sioni wa kufanya hivyo
Janabi kazuia sukari na nyama miili Haina mishipa imaraMiili ya janabi hali ngumu, kula mara moja tu kwa kutwa.
Baada ya kulipa ada unakula maisha...muulize mzaz wako anakula nini??Nisha lipa ada tiyali nakula maisha tu!
Nyie ndiyo mnasababisha wabunge waseme boom lifutwe. Mnapewa fedha mnatumia kwenye anasa badala ya kufanyia mambo yahusuyo elimu. Hakuna kuonewa huruma, Pambaneni na hali zenu tuView attachment 2991530Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) tumezuiwa kufanya mitihani ya Test One kwa kukosa vitambulisho vilivyo hai (Valid ID) kwa sababu ya kushindwa kumalizia Ada ya Semister ya Pili.
Lecturer anayefundisha kozi ya Research Methodologies akifukuza Wanafunzi ambao hawajakamilisha Ada.
Hii inachagizwa na Wanafunzi wengi kuwa na kawaida ya kutumia fedha za kujikimu (Boom) tunazopata kutoka Bodi ya Mkopo kwa ajili ya kulipa ada, pia mpaka sasa wengi wetu hatujapata Boom la pili na hivyo kushindwa kumalizia ada tunayaotakiwa kuilipa.
Changamoto hii imetokea kwenye Vitivo mbalimbali hasa Wanafunzi wa Mwaka wa Kwanza na Wapili mbao walilipwa kiasi kidogo.
Wanafunzi tulituma barua ya maombi kwa Mkuu wa Chuo kuomba turuhusiwe kufanya mitihani kwa kuwa malipo ya Bodi yanatarajiwa kutolewa wiki ijayo lakini majibu tuliyopata ni kuwa hilo halitawezekana.
Uongozi wa Chuo umesisitiza Wanafunzi wote wanatakiwa kulipa Ada kwa maelezo kuwa wapo ambao hawategemei Boom kulipa ada ambao hawajapata mkopo na kuwa idadi ya ambao hawajalipa ada ni kubwa, hivyo chuo kina ukwasi.
hivyo chuo kina ukwasi
Ukwasi - utajiriView attachment 2991530
....hivyo chuo kina ukwasi.