KERO Wanafunzi wa UDSM, tumezuiliwa kufanya mitihani kwa kushindwa kukamilisha Ada

KERO Wanafunzi wa UDSM, tumezuiliwa kufanya mitihani kwa kushindwa kukamilisha Ada

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Waache watoto wetu aisee!Wanavaa tuvazi wanatuita"modo".Na ile miili yao chakula chao kikuu ni maandazi mawilimawili kwa chilisosi.
Ndio wasinenepe unakuta wameingia ndani uchachafyo kama huo hapo sim zinapigwa nyumbani kama mvua
Mzazi ni unafokewa na junior wa sociology hadi utume ada
Akimaliza Sasa😥
 
View attachment 2991530
Lecturer anayefundisha kozi ya Research Methodologies akifukuza Wanafunzi ambao hawajakamilisha Ada.
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) tumezuiwa kufanya mitihani ya Test One kwa kukosa vitambulisho vilivyo hai (Valid ID) kwa sababu ya kushindwa kumalizia Ada ya Semister ya Pili.

Hii inachagizwa na Wanafunzi wengi kuwa na kawaida ya kutumia fedha za kujikimu (Boom) tunazopata kutoka Bodi ya Mkopo kwa ajili ya kulipa ada, pia mpaka sasa wengi wetu hatujapata Boom la pili na hivyo kushindwa kumalizia ada tunayaotakiwa kuilipa.

Changamoto hii imetokea kwenye Vitivo mbalimbali hasa Wanafunzi wa Mwaka wa Kwanza na Wapili mbao walilipwa kiasi kidogo.

Wanafunzi tulituma barua ya maombi kwa Mkuu wa Chuo kuomba turuhusiwe kufanya mitihani kwa kuwa malipo ya Bodi yanatarajiwa kutolewa wiki ijayo lakini majibu tuliyopata ni kuwa hilo halitawezekana.

Uongozi wa Chuo umesisitiza Wanafunzi wote wanatakiwa kulipa Ada kwa maelezo kuwa wapo ambao hawategemei Boom kulipa ada ambao hawajapata mkopo na kuwa idadi ya ambao hawajalipa ada ni kubwa, hivyo chuo kina ukwasi.
Tafuteni tuition
 
Mkuu wa chuo chenu si ni ndugu Jakaya Kikwete? Kama hawataki mfanye test achaneni nao, endeleeni na mishe nyingine. Nina uhakika watawatafuta tu. Tuna mambo mengi sana ya kufanya
 
View attachment 2991530
Lecturer anayefundisha kozi ya Research Methodologies akifukuza Wanafunzi ambao hawajakamilisha Ada.
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) tumezuiwa kufanya mitihani ya Test One kwa kukosa vitambulisho vilivyo hai (Valid ID) kwa sababu ya kushindwa kumalizia Ada ya Semister ya Pili.

Hii inachagizwa na Wanafunzi wengi kuwa na kawaida ya kutumia fedha za kujikimu (Boom) tunazopata kutoka Bodi ya Mkopo kwa ajili ya kulipa ada, pia mpaka sasa wengi wetu hatujapata Boom la pili na hivyo kushindwa kumalizia ada tunayaotakiwa kuilipa.

Changamoto hii imetokea kwenye Vitivo mbalimbali hasa Wanafunzi wa Mwaka wa Kwanza na Wapili mbao walilipwa kiasi kidogo.

Wanafunzi tulituma barua ya maombi kwa Mkuu wa Chuo kuomba turuhusiwe kufanya mitihani kwa kuwa malipo ya Bodi yanatarajiwa kutolewa wiki ijayo lakini majibu tuliyopata ni kuwa hilo halitawezekana.

Uongozi wa Chuo umesisitiza Wanafunzi wote wanatakiwa kulipa Ada kwa maelezo kuwa wapo ambao hawategemei Boom kulipa ada ambao hawajapata mkopo na kuwa idadi ya ambao hawajalipa ada ni kubwa, hivyo chuo kina ukwasi.
Nyie ndiyo mnasababisha wabunge waseme boom lifutwe. Mnapewa fedha mnatumia kwenye anasa badala ya kufanyia mambo yahusuyo elimu. Hakuna kuonewa huruma, Pambaneni na hali zenu tu
 
Hilo suala sio la kulalamika linajulikana wajipange wataeudia na watu wa sup
 
Back
Top Bottom