KERO Wanafunzi wa UDSM, tumezuiliwa kufanya mitihani kwa kushindwa kukamilisha Ada

KERO Wanafunzi wa UDSM, tumezuiliwa kufanya mitihani kwa kushindwa kukamilisha Ada

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Ni kweli asee ani kusoma kwa tabu afu ajira amna tukijiajiri bado wakate deni kupitia kodi oyaaa ni kufanya maamuzi magumu tuu ndo patatoboleka hamna namna chief
Iv ukijiajiajir wanakukataje loan ya board ya mkopo.


Ni kweli asee ani kusoma kwa tabu afu ajira amna tukijiajiri bado wakate deni kupitia kodi oyaaa ni kufanya maamuzi magumu tuu ndo patatoboleka hamna namna chief
 
View attachment 2991530
Lecturer anayefundisha kozi ya Research Methodologies akifukuza Wanafunzi ambao hawajakamilisha Ada.
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) tumezuiwa kufanya mitihani ya Test One kwa kukosa vitambulisho vilivyo hai (Valid ID) kwa sababu ya kushindwa kumalizia Ada ya Semister ya Pili.

Hii inachagizwa na Wanafunzi wengi kuwa na kawaida ya kutumia fedha za kujikimu (Boom) tunazopata kutoka Bodi ya Mkopo kwa ajili ya kulipa ada, pia mpaka sasa wengi wetu hatujapata Boom la pili na hivyo kushindwa kumalizia ada tunayaotakiwa kuilipa.

Changamoto hii imetokea kwenye Vitivo mbalimbali hasa Wanafunzi wa Mwaka wa Kwanza na Wapili mbao walilipwa kiasi kidogo.

Wanafunzi tulituma barua ya maombi kwa Mkuu wa Chuo kuomba turuhusiwe kufanya mitihani kwa kuwa malipo ya Bodi yanatarajiwa kutolewa wiki ijayo lakini majibu tuliyopata ni kuwa hilo halitawezekana.

Uongozi wa Chuo umesisitiza Wanafunzi wote wanatakiwa kulipa Ada kwa maelezo kuwa wapo ambao hawategemei Boom kulipa ada ambao hawajapata mkopo na kuwa idadi ya ambao hawajalipa ada ni kubwa, hivyo chuo kina ukwasi.
Juzi mbunge alisema mulipiwe Ada mkagoma mnataka boom..
Kaeni kwa kutulia dawa iwaingie..
Mmpewq laki Sita mkaenda kulewa badala ya kulipa Ada...
Wapigwe na viboko aoooo😃😅😀😅😀😀😅
 
View attachment 2991530
Lecturer anayefundisha kozi ya Research Methodologies akifukuza Wanafunzi ambao hawajakamilisha Ada.
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) tumezuiwa kufanya mitihani ya Test One kwa kukosa vitambulisho vilivyo hai (Valid ID) kwa sababu ya kushindwa kumalizia Ada ya Semister ya Pili.

Hii inachagizwa na Wanafunzi wengi kuwa na kawaida ya kutumia fedha za kujikimu (Boom) tunazopata kutoka Bodi ya Mkopo kwa ajili ya kulipa ada, pia mpaka sasa wengi wetu hatujapata Boom la pili na hivyo kushindwa kumalizia ada tunayaotakiwa kuilipa.

Changamoto hii imetokea kwenye Vitivo mbalimbali hasa Wanafunzi wa Mwaka wa Kwanza na Wapili mbao walilipwa kiasi kidogo.

Wanafunzi tulituma barua ya maombi kwa Mkuu wa Chuo kuomba turuhusiwe kufanya mitihani kwa kuwa malipo ya Bodi yanatarajiwa kutolewa wiki ijayo lakini majibu tuliyopata ni kuwa hilo halitawezekana.

Uongozi wa Chuo umesisitiza Wanafunzi wote wanatakiwa kulipa Ada kwa maelezo kuwa wapo ambao hawategemei Boom kulipa ada ambao hawajapata mkopo na kuwa idadi ya ambao hawajalipa ada ni kubwa, hivyo chuo kina ukwasi.
Daah, sasa hao watoto watatoa wapi ada masikini? 😭

By the way, neno sahihi hapo mwisho ni ‘Ukata’, sio ‘Ukwasi’
 
Chuo changu kinatia aibu sana!

Labda wanajua fika hakuna ajira mtaani kwahio Bora wachukue Chao mapema kabisa!!

Graduate asie na ajira atalipaje ada baada ya kumaliza masomo!!?

Poor Tanganyika!
 
View attachment 2991530
Lecturer anayefundisha kozi ya Research Methodologies akifukuza Wanafunzi ambao hawajakamilisha Ada.
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) tumezuiwa kufanya mitihani ya Test One kwa kukosa vitambulisho vilivyo hai (Valid ID) kwa sababu ya kushindwa kumalizia Ada ya Semister ya Pili.

Hii inachagizwa na Wanafunzi wengi kuwa na kawaida ya kutumia fedha za kujikimu (Boom) tunazopata kutoka Bodi ya Mkopo kwa ajili ya kulipa ada, pia mpaka sasa wengi wetu hatujapata Boom la pili na hivyo kushindwa kumalizia ada tunayaotakiwa kuilipa.

Changamoto hii imetokea kwenye Vitivo mbalimbali hasa Wanafunzi wa Mwaka wa Kwanza na Wapili mbao walilipwa kiasi kidogo.

Wanafunzi tulituma barua ya maombi kwa Mkuu wa Chuo kuomba turuhusiwe kufanya mitihani kwa kuwa malipo ya Bodi yanatarajiwa kutolewa wiki ijayo lakini majibu tuliyopata ni kuwa hilo halitawezekana.

Uongozi wa Chuo umesisitiza Wanafunzi wote wanatakiwa kulipa Ada kwa maelezo kuwa wapo ambao hawategemei Boom kulipa ada ambao hawajapata mkopo na kuwa idadi ya ambao hawajalipa ada ni kubwa, hivyo chuo kina ukwasi.
BAADA YA KIMYA CHA MUDA MREFU ....... MLIMANI KUMEKUCHA. Liliandika gazeti la majira wakati huo tukipinga kuanzishwa kwa bodi ya mikopo 2004. nyie badala ya kugoma na kupiga kelele mnakimbilia jf
alishawahi kusema prof. chachage kwamba ukiona mwanafunzi anasomma miaka mitatu au minne bila kugoma jua huyo anakariri tu anayofundishwa na haelewi kitu
 
BAADA YA KIMYA CHA MUDA MREFU ....... MLIMANI KUMEKUCHA. Liliandika gazeti la majira wakati huo tukipinga kuanzishwa kwa bodi ya mikopo 2004. nyie badala ya kugoma na kupiga kelele mnakimbilia jf
alishawahi kusema prof. chachage kwamba ukiona mwanafunzi anasomma miaka mitatu au minne bila kugoma jua huyo anakariri tu anayofundishwa na haelewi kitu
Kuna kugoma lakin sio ada...tena ada ya UDSM...madogo wanavyopata accomodation 10,000 per day wanazani ilijileta tuu...kuna watu walikaa ndani...kuna watu waliumia...kuna watu chuo walifukuzwa...vimekaa hapo dadeki ningetembeza bakora ...kizazi gani hichi wanadeka hivi?
 
Kuna kugoma lakin sio ada...tena ada ya UDSM...madogo wanavyopata accomodation 10,000 per day wanazani ilijileta tuu...kuna watu walikaa ndani...kuna watu waliumia...kuna watu chuo walifukuzwa...vimekaa hapo dadeki ningetembeza bakora ...kizazi gani hichi wanadeka hivi?
wanadeka tu na kutwa kwenye smartphone ukiwauliza hata tanzania kuna wilaya ngapi hawajui wanatamani kuwa dimond plantnums
 
Kuna kugoma lakin sio ada...tena ada ya UDSM...madogo wanavyopata accomodation 10,000 per day wanazani ilijileta tuu...kuna watu walikaa ndani...kuna watu waliumia...kuna watu chuo walifukuzwa...vimekaa hapo dadeki ningetembeza bakora ...kizazi gani hichi wanadeka hivi?
Ulivyokorofika sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio hali ya mateso chini ya wazanzibar ni dhahama kubwa kwa taifa
 
BAADA YA KIMYA CHA MUDA MREFU ....... MLIMANI KUMEKUCHA. Liliandika gazeti la majira wakati huo tukipinga kuanzishwa kwa bodi ya mikopo 2004. nyie badala ya kugoma na kupiga kelele mnakimbilia jf
alishawahi kusema prof. chachage kwamba ukiona mwanafunzi anasomma miaka mitatu au minne bila kugoma jua huyo anakariri tu anayofundishwa na haelewi kitu
Hawajuii

Hukuu kunachaaaaawa waliowafukuza wanawazoom na kucheka
 
Back
Top Bottom