KERO Wanafunzi wa UDSM, tumezuiliwa kufanya mitihani kwa kushindwa kukamilisha Ada

KERO Wanafunzi wa UDSM, tumezuiliwa kufanya mitihani kwa kushindwa kukamilisha Ada

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Enzi zetu hapo, kingewaka sana. Tungefunga barabara zote mpaka waziri wa Elimu aje kutatua changamoto yetu.
 
huwezi kusoma bila kulipa ada huo ni uhujumu kama mwingine, jitahidi mpate namna nyingine ya kupata Ada ili mulipe maana kisheria hakuna namna mnaqualify kuwa wanafunzi wa udsm bila ya kulipia karo ya masomo, vinginevyo ombeni huruma ya rector na bodi ya uongozi wa chuo iwape nafasi ya kufanya hizo cat 1
 
View attachment 2991530
Lecturer anayefundisha kozi ya Research Methodologies akifukuza Wanafunzi ambao hawajakamilisha Ada.
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) tumezuiwa kufanya mitihani ya Test One kwa kukosa vitambulisho vilivyo hai (Valid ID) kwa sababu ya kushindwa kumalizia Ada ya Semister ya Pili.

Hii inachagizwa na Wanafunzi wengi kuwa na kawaida ya kutumia fedha za kujikimu (Boom) tunazopata kutoka Bodi ya Mkopo kwa ajili ya kulipa ada, pia mpaka sasa wengi wetu hatujapata Boom la pili na hivyo kushindwa kumalizia ada tunayaotakiwa kuilipa.

Changamoto hii imetokea kwenye Vitivo mbalimbali hasa Wanafunzi wa Mwaka wa Kwanza na Wapili mbao walilipwa kiasi kidogo.

Wanafunzi tulituma barua ya maombi kwa Mkuu wa Chuo kuomba turuhusiwe kufanya mitihani kwa kuwa malipo ya Bodi yanatarajiwa kutolewa wiki ijayo lakini majibu tuliyopata ni kuwa hilo halitawezekana.

Uongozi wa Chuo umesisitiza Wanafunzi wote wanatakiwa kulipa Ada kwa maelezo kuwa wapo ambao hawategemei Boom kulipa ada ambao hawajapata mkopo na kuwa idadi ya ambao hawajalipa ada ni kubwa, hivyo chuo kina ukwasi.
Nyie madogo acheni kulia lia ,lipeni ada .
 
pole sana vijana...

changamoto hiyo iwaboost kufanya bidii sana katika kujisomea mambo yakikaa sawa. Mmeambiwa mtapewa special paper mtafanya.....
fanyeni namna mmalize hiyo maneno.

hata hivyo,
hakuna jambo rahisi wala jepesi humu duniani na katika maisha iwe shuleni au kazini.

ni vizuri kuzitumia kwa weledi sana fedha za ada zitokanazo na mikopo au kutoka kwa wazazi, kwa malengo na madhumuni mahususi ili kuepuka usumbufu nyakati za mitihani muhimu sana.

maisha mazuri utayakuta tu, tena kwa uhuru na jasho lako mwenyewe ukimaliza masomo, huna haja ya kua ba haraka :BASED:
 
View attachment 2991530
Lecturer anayefundisha kozi ya Research Methodologies akifukuza Wanafunzi ambao hawajakamilisha Ada.
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) tumezuiwa kufanya mitihani ya Test One kwa kukosa vitambulisho vilivyo hai (Valid ID) kwa sababu ya kushindwa kumalizia Ada ya Semister ya Pili.

Hii inachagizwa na Wanafunzi wengi kuwa na kawaida ya kutumia fedha za kujikimu (Boom) tunazopata kutoka Bodi ya Mkopo kwa ajili ya kulipa ada, pia mpaka sasa wengi wetu hatujapata Boom la pili na hivyo kushindwa kumalizia ada tunayaotakiwa kuilipa.

Changamoto hii imetokea kwenye Vitivo mbalimbali hasa Wanafunzi wa Mwaka wa Kwanza na Wapili mbao walilipwa kiasi kidogo.

Wanafunzi tulituma barua ya maombi kwa Mkuu wa Chuo kuomba turuhusiwe kufanya mitihani kwa kuwa malipo ya Bodi yanatarajiwa kutolewa wiki ijayo lakini majibu tuliyopata ni kuwa hilo halitawezekana.

Uongozi wa Chuo umesisitiza Wanafunzi wote wanatakiwa kulipa Ada kwa maelezo kuwa wapo ambao hawategemei Boom kulipa ada ambao hawajapata mkopo na kuwa idadi ya ambao hawajalipa ada ni kubwa, hivyo chuo kina ukwasi.
Poleni sana.
 
Inachekesha kama haikuhusu ilaa tunajikaza tuu life imekua tough wazee
Mkuu life rahisi lipo wapi? wazee wa fursa tuzame...alafu kwenye hii dunia wenye akili ni wengi na sio lazima wote tuishi....duniani hapa wajanja ndio panawafaa..
 
Mkuu life rahisi lipo watu...wazee wa fursa tuzame...alafu kwenye hii dunia wenye akili ni wengi na sio lazima wote tuishi....duniani hapa wajanja ndio panawafaa..
Ni kweli asee ani kusoma kwa tabu afu ajira amna tukijiajiri bado wakate deni kupitia kodi oyaaa ni kufanya maamuzi magumu tuu ndo patatoboleka hamna namna chief
 
View attachment 2991530
Lecturer anayefundisha kozi ya Research Methodologies akifukuza Wanafunzi ambao hawajakamilisha Ada.
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) tumezuiwa kufanya mitihani ya Test One kwa kukosa vitambulisho vilivyo hai (Valid ID) kwa sababu ya kushindwa kumalizia Ada ya Semister ya Pili.

Hii inachagizwa na Wanafunzi wengi kuwa na kawaida ya kutumia fedha za kujikimu (Boom) tunazopata kutoka Bodi ya Mkopo kwa ajili ya kulipa ada, pia mpaka sasa wengi wetu hatujapata Boom la pili na hivyo kushindwa kumalizia ada tunayaotakiwa kuilipa.

Changamoto hii imetokea kwenye Vitivo mbalimbali hasa Wanafunzi wa Mwaka wa Kwanza na Wapili mbao walilipwa kiasi kidogo.

Wanafunzi tulituma barua ya maombi kwa Mkuu wa Chuo kuomba turuhusiwe kufanya mitihani kwa kuwa malipo ya Bodi yanatarajiwa kutolewa wiki ijayo lakini majibu tuliyopata ni kuwa hilo halitawezekana.

Uongozi wa Chuo umesisitiza Wanafunzi wote wanatakiwa kulipa Ada kwa maelezo kuwa wapo ambao hawategemei Boom kulipa ada ambao hawajapata mkopo na kuwa idadi ya ambao hawajalipa ada ni kubwa, hivyo chuo kina ukwasi.
Hamien NIT
 
Hapo utakuja kuona serikali yao ya wanafunzi iliyojaa mapandikizi ya UVCCM inamshukuru Mama Abdul ameongeza boom eti.
 
Back
Top Bottom