KERO Wanafunzi wa UDSM, tumezuiliwa kufanya mitihani kwa kushindwa kukamilisha Ada

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
ingekuwa miaka iyo uyo lecture muda huu hapo angebebwa kichwa chini miguu juu,ofisi ya makamu wa chuo Ffu washafika mlangoni wanamtoa kwa mlango wa dharura
 
Nikiwa IFM mwaka 2014 sem ya pili sikuwa nimelipa ada pia nikazuiwa kufanya test one ikanibid nipostpone sababu hali ilizidi kuwa tight ikanibidi nidrop chuo. Sikuwahi kurudi mpaka leo
 
Iv ukijiajiajir wanakukataje loan ya board ya mkopo.
Mfano ukisajiri kampuni au ukitoka katika ujasiriamali na kuwa mfanya biashara kuna TIN number ambayo inataarifa zako kama mzalishaji na katka ulipaji wa kodi kama mfanya biashara lazima ukatwe chao kupitia hiyo TIN number yako...usishangae watu wanasajiri hizo mbaga kwa majina ya watoto wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…