Wanafunzi wa UDSM waliwahi kuchangia matibabu ya Dkt. John Magufuli

Wanafunzi wa UDSM waliwahi kuchangia matibabu ya Dkt. John Magufuli

View attachment 1729018

Aliyekuwa Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. P Mlama aliwahi kuchangisha fedha za matibabu ya Dkt. John Pombe Magufuli.

Prof. Mlama alieleza kuwa Mwanafunzi wa Shahada ya Uzamili katika Sayansi, John Magufuli anasumbuliwa na Ugonjwa wa 'Hypertropic Cardiomyopathy'

Wanafunzi waliombwa michango ili mwenzao (Pombe Magufuli) akafanyiwe upasuaji nchini Uingereza.

Nakala inayosambaa kupitia Mitandao ya Kijamii inadaiwa ni ya tangazo ambalo lilichapishwa Mwaka 1992

..mtu aliyesaidiwa matibabu namna hii akaelekeza bunge limnyime Tundu Lissu stahiki zake za matibabu.
 
Pamoja na tatizo lake hilo kubwa bado rais Magufuli aliji sacrifice kubeba jukumu zito la kuwahudumia watanzania

Apumzike kwa amani rais John Pombe Magufuli[emoji120]

Twinstar wangu[emoji95][emoji95]
kuwa Rais ilikuwa ni kiherehere chake, mengine mbwembwe tu.
 
Hypertrophic Cardiomyopathy

Ohoo.. kwamba misuli ya moyo imetanuka!!? Hivyo moyo ukawa hausukumi damu ya kutosha!!?

Ohoo.. kwahiyo ndipo akafanyiwa operation na kuwekewa "pacemaker" ili kuusaidia moyo kusukuma damu!!?

Ndipo hatimaye... Dah! Basi sawa.. nilikuwa najaribu kuunganisha dot za kitabibu
Waliomfanyia opereshen na kuweka hicho kifaa cha shoti ya umeme ni mabeberu haohao wanaotukanwa...

Huwezi jua labda mabeberu walizima mtambo wao juu kwa juu kwa rimoti...

Usitukane mamba kabla hujavuka mto...
 
View attachment 1729018

Aliyekuwa Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. P Mlama aliwahi kuchangisha fedha za matibabu ya Dkt. John Pombe Magufuli.

Prof. Mlama alieleza kuwa Mwanafunzi wa Shahada ya Uzamili katika Sayansi, John Magufuli anasumbuliwa na Ugonjwa wa 'Hypertropic Cardiomyopathy'

Wanafunzi waliombwa michango ili mwenzao (Pombe Magufuli) akafanyiwe upasuaji nchini Uingereza.

Nakala inayosambaa kupitia Mitandao ya Kijamii inadaiwa ni ya tangazo ambalo lilichapishwa Mwaka 1992
Hilo ni gazeti gani? Toleo namba ngapi? La tarehe ngapi?
 
Waliomfanyia opereshen na kuweka hicho kifaa cha shoti ya umeme ni mabeberu haohao wanaotukanwa...

Huwezi jua labda mabeberu walizima mtambo wao juu kwa juu kwa rimoti...

Usitukane mamba kabla hujavuka mto...
Covid19 ndiye aliyeingia kuizima pacemaker.
 
Pamoja na tatizo lake hilo kubwa bado Rais Magufuli aliji sacrifice kubeba jukumu zito la kuwahudumia watanzania

Apumzike kwa amani Rais John Pombe Magufuli🙏

Twinstar wangu💥💥
Uroho wa madaraka tu kwa hali yake ilibidi akatae kazi ya urahisi mana mwenyewe alishakiri kuwa ni ngumu sana
 
View attachment 1729018

Aliyekuwa Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. P Mlama aliwahi kuchangisha fedha za matibabu ya Dkt. John Pombe Magufuli.

Prof. Mlama alieleza kuwa Mwanafunzi wa Shahada ya Uzamili katika Sayansi, John Magufuli anasumbuliwa na Ugonjwa wa 'Hypertropic Cardiomyopathy'

Wanafunzi waliombwa michango ili mwenzao (Pombe Magufuli) akafanyiwe upasuaji nchini Uingereza.

Nakala inayosambaa kupitia Mitandao ya Kijamii inadaiwa ni ya tangazo ambalo lilichapishwa Mwaka 1992
Walisoma bure na kuchangiwa hadi ela za nauli kwenda kwenye matibabu wakasahau yote na kuja kuifanya elimu biashara mkopo wa elimu ya juu umekua zaidi ya mkopo wa bank
 
View attachment 1729018

Aliyekuwa Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. P Mlama aliwahi kuchangisha fedha za matibabu ya Dkt. John Pombe Magufuli.

Prof. Mlama alieleza kuwa Mwanafunzi wa Shahada ya Uzamili katika Sayansi, John Magufuli anasumbuliwa na Ugonjwa wa 'Hypertropic Cardiomyopathy'

Wanafunzi waliombwa michango ili mwenzao (Pombe Magufuli) akafanyiwe upasuaji nchini Uingereza.

Nakala inayosambaa kupitia Mitandao ya Kijamii inadaiwa ni ya tangazo ambalo lilichapishwa Mwaka 1992
Corona inapiga kwenye mshono
 
Back
Top Bottom