Wanafunzi wa UDSM waliwahi kuchangia matibabu ya Dkt. John Magufuli

Wanafunzi wa UDSM waliwahi kuchangia matibabu ya Dkt. John Magufuli

Daah mzee wetu kumbe alikuwa ana shida ya moyo halafu hakujari kujikinga na corona kabisa..... rip
 
View attachment 1729018

Aliyekuwa Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. P Mlama aliwahi kuchangisha fedha za matibabu ya Dkt. John Pombe Magufuli.

Prof. Mlama alieleza kuwa Mwanafunzi wa Shahada ya Uzamili katika Sayansi, John Magufuli anasumbuliwa na Ugonjwa wa 'Hypertropic Cardiomyopathy'

Wanafunzi waliombwa michango ili mwenzao (Pombe Magufuli) akafanyiwe upasuaji nchini Uingereza.

Nakala inayosambaa kupitia Mitandao ya Kijamii inadaiwa ni ya tangazo ambalo lilichapishwa Mwaka 1992
Kwahiyo huyo Profesa anatutaka Watanzania tumlipe hizo Fedha kwa Kiherehere chake au ndiyo anataka Kutengeneza Mazingira ili Rais mpya Samia Suluhu Hassan amkumbuke katika Teuzi zake?
 
Mwendo wake kaumaliza salama!
Apumzike mahala pema[emoji1431][emoji1431]...Mimi na wewe hatujui siku wala saa ya kuondoka kwetu duniani, hatujui tutawaacha wapendwa wetu katika hali gani, zaidi na zaidi tuombeane mema, tutende mema na Mwenyezi Mungu atakuwa upande wetu[emoji1431][emoji1241]
 
Comment za humu baadhi zinashangaza sana najiuliza hivi:

Sisi tuliobaki ni wakamilifu sana hata mumhukumu mwenzenu?

Je afya zenu ninyi hazina tatizo lolote? Mko fit 100%.

Na je kesho yenu mnaijua itakuaje?

Mimi naamini hivi. Mwenye kutoa Hukumu ni Mungu Baba pekee. Usihukumu nawe ukaja kuhukumiwa.
 
Alikuwa anamnanga paroko wa watu eti kakosa imani kwa kuvaa barako...
Barakoa hizi zinasaidia wapi? Watu wanavaa N95, face shield na isolation gowns na bado wanapata Corona mahospitalini, nini hivyo vibarakoa vilivyo na nafasi pembeni. CDC wenyewe wamesema barakoa hata mbili bado hazisaidii. Acheni kukariri.
Paroko mpakwa mafuta akamwachia Mungu, wadudu wakashika hatamu...
Jeuri kiboko yake kusudi...
Unafikiri nani sasa anayeijua kweli kati ya Magu na Paroko?
 
Kwahiyo huyo Profesa anatutaka Watanzania tumlipe hizo Fedha kwa Kiherehere chake au ndiyo anataka Kutengeneza Mazingira ili Rais mpya Samia Suluhu Hassan amkumbuke katika Teuzi zake?

[emoji23][emoji23][emoji23]Daah Watu mko na Nyongo
 
Waliomfanyia opereshen na kuweka hicho kifaa cha shoti ya umeme ni mabeberu haohao wanaotukanwa...

Huwezi jua labda mabeberu walizima mtambo wao juu kwa juu kwa rimoti...

Usitukane mamba kabla hujavuka mto...
Alikuwa anatukana akikuwa anawaambia ukweli?

Ndio maana mabeberu wanajua afrika itaendelea kuwa shamba lao sababu kuna watu wenye akili kisoda kama nyie bado mpo
 
Hakuna evidence ya ayo yote unayo mu accuse marehemu, basi tu sababu alikuwa kiongozi, basi lawama zote lazima aangushiwe.
Ukiwa kiongozi wa juu ukifumbia macho maovu kwa vyovyote vile utakuwa unanufaika na uovu huo.
 
Ukichaa wake umenufaisha wengi hasa barabara ambazo hata few out of rafiki na ukoo wako watapita...

Magu atadumu forever kwenye nafsi za watanzania...

Ila kwa washirikina it's ok kushangilia
Wewe ndio huna akili hii nchi ilishakuwa shamba LA bibi MTU anafanya kazi serikalini anajitapa Mimi kazi kufukuzwa ni ngumu Niko juu ya sheria mpaka huyo aliyeniajiri anifikie ntakuwa na kustaafu nimestaafu...kazi zinafanywa chini ya kiwango akaja simba wa vita kichaa mwanasayansi neno moja tu mstari unanyooka mlitaka awachekee kwa lipi majizi ninyi? Tena Mimi naona angeongezea huo ukichaa vzr ili tuheshimiane.....hivi kweli uko kazini unafanya kazi yako kwa usahihi siyo mpiga dili na mshahara wako unapokea vzr tu makufuli angekugusa wapi? Mnaolalamika wote mlikuwa majizi.
 
Unaelewa maana ya kujitoa sadaka?
Amefanya kilichompasa apumzike kwa amani
Tuna watu wengi ambao wana afya njema na wana qualify kuwa na iyo nafasi iyo sadaka vipi? Yeye hakua mzalendo anajua wazi hajakidhi matakwa ya kikatiba ya kuwa na afya njema na akakitaka kiti. Amekufa sasa kwani hakuna mtu ambae anakuja kuwa raisi?
 
Kweli TISS kuna mahali waliteleza mwaka 2015 , sishangai kama watakuwa wameamua kurekebisha makosa ; hizi documents za ugonjwa na huu ushahidi wa hii chronic condition toka akiwa chuo zilikuwa kwenye faili la vetting la Magu, lakini hazikutumika kumpa kazi nyepesi ...
Ninachoweza kusema kwa hali ya Afya ya Magufuli hakuhitaji kazi yenye stress kubwa kama ya Urais , na pia watu wenye chronic condition kwa kawaida huwa wanakuwa na moyo mgumu , hasira ,moods , altutude etc yaani ni mtu ambaye anaweza kukasirika hata bila saababu za msingi , ni mtu ambaye hatabiriki na ni watu ambao muda wowote huona wanaweza kufa hivyo huwa sio waoga ....
Tumshukuru Mungu kwa miaka yake 61 kwani kwa hali yake na ugumu wa kazi aliyokuwa anafanya .....ni hatari sana
 
View attachment 1729018

Aliyekuwa Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. P Mlama aliwahi kuchangisha fedha za matibabu ya Dkt. John Pombe Magufuli.

Prof. Mlama alieleza kuwa Mwanafunzi wa Shahada ya Uzamili katika Sayansi, John Magufuli anasumbuliwa na Ugonjwa wa 'Hypertropic Cardiomyopathy'

Wanafunzi waliombwa michango ili mwenzao (Pombe Magufuli) akafanyiwe upasuaji nchini Uingereza.

Nakala inayosambaa kupitia Mitandao ya Kijamii inadaiwa ni ya tangazo ambalo lilichapishwa Mwaka 1992
Mimi siamini mitandao. Naamini maneno ya Mama Samia kua alikua akiugua since last 10 years
TAFAKAR CHUKUA HATUA
 
Pamoja na tatizo lake hilo kubwa bado Rais Magufuli aliji sacrifice kubeba jukumu zito la kuwahudumia watanzania

Apumzike kwa amani Rais John Pombe Magufuli🙏

Twinstar wangu💥💥
Akigombea CCM mnadai ali sacrifice licha ya afya yake kutetea waTZ ila akigombea Lowassa/Lissu mnadai ni wagonjwa wanaotaka kufia Ikulu na kuingiza nchi kwenye gharama.

Huu unafiki ni kwa faida ya nani?
 
Back
Top Bottom