Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
Na hajajenga mpya...
Hujakosea....[emoji3][emoji3][emoji3]
Hujakosea....[emoji3][emoji3][emoji3]
Barabara zilikuwepo hata kabla hajazaliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Barabara zilikuwepo hata kabla hajazaliwa
HaituhusuView attachment 1729018
Aliyekuwa Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. P Mlama aliwahi kuchangisha fedha za matibabu ya Dkt. John Pombe Magufuli.
Prof. Mlama alieleza kuwa Mwanafunzi wa Shahada ya Uzamili katika Sayansi, John Magufuli anasumbuliwa na Ugonjwa wa 'Hypertropic Cardiomyopathy'
Wanafunzi waliombwa michango ili mwenzao (Pombe Magufuli) akafanyiwe upasuaji nchini Uingereza.
Nakala inayosambaa kupitia Mitandao ya Kijamii inadaiwa ni ya tangazo ambalo lilichapishwa Mwaka 1992
Badilisha hiyo I'd,boss wako hayupo
Unajuaje kaumaliza salama wakati moyo umekata moto hata hakuwa kajiandaaMwendo wake kaumaliza salama!
Apumzike mahala pema[emoji1431][emoji1431]...Mimi na wewe hatujui siku wala saa ya kuondoka kwetu duniani, hatujui tutawaacha wapendwa wetu katika hali gani, zaidi na zaidi tuombeane mema, tutende mema na Mwenyezi Mungu atakuwa upande wetu[emoji1431][emoji1241]
Wewe ndio huna akili hii nchi ilishakuwa shamba LA bibi MTU anafanya kazi serikalini anajitapa Mimi kazi kufukuzwa ni ngumu Niko juu ya sheria mpaka huyo aliyeniajiri anifikie ntakuwa na kustaafu nimestaafu...kazi zinafanywa chini ya kiwango akaja simba wa vita kichaa mwanasayansi neno moja tu mstari unanyooka mlitaka awachekee kwa lipi majizi ninyi? Tena Mimi naona angeongezea huo ukichaa vzr ili tuheshimiane.....hivi kweli uko kazini unafanya kazi yako kwa usahihi siyo mpiga dili na mshahara wako unapokea vzr tu makufuli angekugusa wapi? Mnaolalamika wote mlikuwa majizi.
Unajuaje kaumaliza salama wakati moyo umekata moto hata hakuwa kajiandaa
Acha tu..... Kosa hilo limepoteza watu wengi sana.Halafu bado alikuwa anaizodoa Corona, ukiwa na maunderlying diseases lazima ujikinge.
Ndo tushamhukumu tayariSafari yake ashaimaliza, sisi si watoa hukumu.
Zilikuwepo,Ila naye kwanafasi yake amefanya kulingana na ilani inavosema,hivo na Rais mwingine baada ya Magufuli naye naye atafanya kwanafasi yake katika miundombinu kwa kutumia Kodi za wananchi kwa manufaa ya wananchi wake .Kweli wewe zumbukuku, kabla yake barabara hazikuwepo au ametoa hela zake mfukoni?
Tatizo kubwa ni watu kumsifia ujinga mpaka mtu anafikia kujiona ni mtume.. eti maombi yameondoa corona.Daah mzee wetu kumbe alikuwa ana shida ya moyo halafu hakujari kujikinga na corona kabisa..... rip
Sasa wewe si udai kinachokupendeza kuliko kuforce your narration to other peoples, ama demokrasia hamuielewi.Akigombea CCM mnadai ali sacrifice licha ya afya yake kutetea waTZ ila akigombea Lowassa/Lissu mnadai ni wagonjwa wanaotaka kufia Ikulu na kuingiza nchi kwenye gharama.
Huu unafiki ni kwa faida ya nani?
Hakuna ajuaye kesho yetu,ata angeshika ambaye unamini ni mzima wa afya angeweza kufa hata ndani ya mwaka mmoja,Tuna watu wengi ambao wana afya njema na wana qualify kuwa na iyo nafasi iyo sadaka vipi? Yeye hakua mzalendo anajua wazi hajakidhi matakwa ya kikatiba ya kuwa na afya njema na akakitaka kiti. Amekufa sasa kwani hakuna mtu ambae anakuja kuwa raisi?
Rais kazi yake ni kulinda raia wake akiwa kama amiri jeshi mkuu. Kama alishindwa simamia justice kwa raia wale basi ni kazi bure na lawana zitaenda kwake mana yote yametokea yeye amechukua hatua gani?Hakuna evidence ya ayo yote unayo mu accuse marehemu, basi tu sababu alikuwa kiongozi, basi lawama zote lazima aangushiwe.
Sawa, lakini at least ingia ukiwa na afya njemaHakuna ajuaye kesho yetu,ata angeshika ambaye unamini ni mzima wa afya angeweza kufa hata ndani ya mwaka mmoja,
Kilakitu ni mipango ya Mungu,tujifunze kushukuru kwa kilajambo
Ndo tushamhukumu tayari
Wewe ndio huna akili hii nchi ilishakuwa shamba LA bibi MTU anafanya kazi serikalini anajitapa Mimi kazi kufukuzwa ni ngumu Niko juu ya sheria mpaka huyo aliyeniajiri anifikie ntakuwa na kustaafu nimestaafu...kazi zinafanywa chini ya kiwango akaja simba wa vita kichaa mwanasayansi neno moja tu mstari unanyooka mlitaka awachekee kwa lipi majizi ninyi? Tena Mimi naona angeongezea huo ukichaa vzr ili tuheshimiane.....hivi kweli uko kazini unafanya kazi yako kwa usahihi siyo mpiga dili na mshahara wako unapokea vzr tu makufuli angekugusa wapi? Mnaolalamika wote mlikuwa majizi.
MTAZAMO Mana sijui katiba inasemaje juu ya afya ya anayetaka kugombea Urais.Sawa, lakini at least ingia ukiwa na afya njema