View attachment 1729018
Aliyekuwa Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. P Mlama aliwahi kuchangisha fedha za matibabu ya Dkt. John Pombe Magufuli.
Prof. Mlama alieleza kuwa Mwanafunzi wa Shahada ya Uzamili katika Sayansi, John Magufuli anasumbuliwa na Ugonjwa wa 'Hypertropic Cardiomyopathy'
Wanafunzi waliombwa michango ili mwenzao (Pombe Magufuli) akafanyiwe upasuaji nchini Uingereza.
Nakala inayosambaa kupitia Mitandao ya Kijamii inadaiwa ni ya tangazo ambalo lilichapishwa Mwaka 1992
kuwa Rais ilikuwa ni kiherehere chake, mengine mbwembwe tu.Pamoja na tatizo lake hilo kubwa bado rais Magufuli aliji sacrifice kubeba jukumu zito la kuwahudumia watanzania
Apumzike kwa amani rais John Pombe Magufuli[emoji120]
Twinstar wangu[emoji95][emoji95]
Yeah... wanakumbuka michango yao...
Waliomfanyia opereshen na kuweka hicho kifaa cha shoti ya umeme ni mabeberu haohao wanaotukanwa...Hypertrophic Cardiomyopathy
Ohoo.. kwamba misuli ya moyo imetanuka!!? Hivyo moyo ukawa hausukumi damu ya kutosha!!?
Ohoo.. kwahiyo ndipo akafanyiwa operation na kuwekewa "pacemaker" ili kuusaidia moyo kusukuma damu!!?
Ndipo hatimaye... Dah! Basi sawa.. nilikuwa najaribu kuunganisha dot za kitabibu
Hilo ni gazeti gani? Toleo namba ngapi? La tarehe ngapi?View attachment 1729018
Aliyekuwa Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. P Mlama aliwahi kuchangisha fedha za matibabu ya Dkt. John Pombe Magufuli.
Prof. Mlama alieleza kuwa Mwanafunzi wa Shahada ya Uzamili katika Sayansi, John Magufuli anasumbuliwa na Ugonjwa wa 'Hypertropic Cardiomyopathy'
Wanafunzi waliombwa michango ili mwenzao (Pombe Magufuli) akafanyiwe upasuaji nchini Uingereza.
Nakala inayosambaa kupitia Mitandao ya Kijamii inadaiwa ni ya tangazo ambalo lilichapishwa Mwaka 1992
Covid19 ndiye aliyeingia kuizima pacemaker.Waliomfanyia opereshen na kuweka hicho kifaa cha shoti ya umeme ni mabeberu haohao wanaotukanwa...
Huwezi jua labda mabeberu walizima mtambo wao juu kwa juu kwa rimoti...
Usitukane mamba kabla hujavuka mto...
Inashangaza sana! Na kusikitisha...mtu aliyesaidiwa matibabu namna hii akaelekeza bunge limnyime Tundu Lissu stahiki zake za matibabu.
Lakini kumbuka kwamba angali hai, taarifa hiyo hakuna aliyethubutu kuitoa!Hakika! Tungewekeza hii nguvu ya kufukua makaburi kwenye utafiti na ugunduzi, hadi sasa tungekuwa tumeshaipa kisogo Marekani, Japan, Urusi, China, Ujerumani, nk katika maendeleo ya kiteknolojia.
Inashsngaza Sana ...alijaa vhuki idiyo kiifani!..mtu aliyesaidiwa matibabu namna hii akaelekeza bunge limnyime Tundu Lissu stahiki zake za matibabu.
Uroho wa madaraka tu kwa hali yake ilibidi akatae kazi ya urahisi mana mwenyewe alishakiri kuwa ni ngumu sanaPamoja na tatizo lake hilo kubwa bado Rais Magufuli aliji sacrifice kubeba jukumu zito la kuwahudumia watanzania
Apumzike kwa amani Rais John Pombe Magufuli🙏
Twinstar wangu💥💥
Walisoma bure na kuchangiwa hadi ela za nauli kwenda kwenye matibabu wakasahau yote na kuja kuifanya elimu biashara mkopo wa elimu ya juu umekua zaidi ya mkopo wa bankView attachment 1729018
Aliyekuwa Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. P Mlama aliwahi kuchangisha fedha za matibabu ya Dkt. John Pombe Magufuli.
Prof. Mlama alieleza kuwa Mwanafunzi wa Shahada ya Uzamili katika Sayansi, John Magufuli anasumbuliwa na Ugonjwa wa 'Hypertropic Cardiomyopathy'
Wanafunzi waliombwa michango ili mwenzao (Pombe Magufuli) akafanyiwe upasuaji nchini Uingereza.
Nakala inayosambaa kupitia Mitandao ya Kijamii inadaiwa ni ya tangazo ambalo lilichapishwa Mwaka 1992
Alipuuza sayansi na kuendekeza mambo ya kienyeji.Halafu bado alikuwa anaizodoa Corona, ukiwa na maunderlying diseases lazima ujikinge.
Atakumbukwa kwa shambulio la Lissu na upoteaji wa Ben na Azory.Magu utakumbukwa sana, ndio maana ulipigania mahospital ya viwango yajengwe nchini, na imani ulitaka tiba iwe bure pia.
Corona inapiga kwenye mshonoView attachment 1729018
Aliyekuwa Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. P Mlama aliwahi kuchangisha fedha za matibabu ya Dkt. John Pombe Magufuli.
Prof. Mlama alieleza kuwa Mwanafunzi wa Shahada ya Uzamili katika Sayansi, John Magufuli anasumbuliwa na Ugonjwa wa 'Hypertropic Cardiomyopathy'
Wanafunzi waliombwa michango ili mwenzao (Pombe Magufuli) akafanyiwe upasuaji nchini Uingereza.
Nakala inayosambaa kupitia Mitandao ya Kijamii inadaiwa ni ya tangazo ambalo lilichapishwa Mwaka 1992
Zitatoka takwimu zitakazoonyesha km za barabara zilojengwa under his watch as a presdent, mdo mdo mtamuheshimu uyu mtu na mtamkumbukaBarabara zilikuwepo hata kabla hajazaliwa