Acha uongo hakuna mtanzania mwenye akili timamu anaweza kumuombea mabaya au kufulahia pale mwenzie anapatwa na matatizo, ni mwehu na mjinga anaweza kufanya hivyo ukiwemo wewe.Hii yote ni kwasababu serikali ya CCM imewaumiza Sana Watanzania,
Watanzania walikuwa wanasubiri siku ifike
Tazama waTanzania wanavyo Tema nyongo zao bila aibu.
Watanzania bado wanaandamana kweny nafsi zao,bado wana visasi Kwa viongozi wao.
Hivi ww unakitu gani ambacho hata ndugu tu watakukumbuka? Unaanzaje kuleta dharau kwa jembe letu! Tunayo machungu wengine, msisababishe tuanze kuwazaba makofi mfyuuuuu!Kweli wewe zumbukuku, kabla yake barabara hazikuwepo au ametoa hela zake mfukoni?
Hivi ww unakitu gani ambacho hata ndugu tu watakukumbuka? Unaanzaje kuleta dharau kwa jembe letu! Tunayo machungu wengine, msisababishe tuanze kuwazaba makofi mfyuuuuu!Kweli wewe zumbukuku, kabla yake barabara hazikuwepo au ametoa hela zake mfukoni?
Hivi ww unakitu gani ambacho hata ndugu tu watakukumbuka? Unaanzaje kuleta dharau kwa jembe letu! Tunayo machungu wengine, msisababishe tuanze kuwazaba makofi mfyuuuuu!Kweli wewe zumbukuku, kabla yake barabara hazikuwepo au ametoa hela zake mfukoni?
Hivi ww unakitu gani ambacho hata ndugu tu watakukumbuka? Unaanzaje kuleta dharau kwa jembe letu! Tunayo machungu wengine, msisababishe tuanze kuwazaba makofi mfyuuuuu!Kweli wewe zumbukuku, kabla yake barabara hazikuwepo au ametoa hela zake mfukoni?
Mungu akaufanya moyo wa Pharao kuwa mgumu ......Halafu bado alikuwa anaizodoa Corona, ukiwa na maunderlying diseases lazima ujikinge.
Ruge alishawahi sema haya.... NANUKUU... hapa duniani, ogopa MUNGU na TEKNOLOJIA...Dah watu wa nchi hii ni balaa kwa kufukua habari zilizopita
We unafikiri watu ambao wamestaafu halafu mafao hawalipwi kwa wakati muafaka na wanamajukumu kibao na Marehemu anasema pesa ziko za kutosha na uchumi unapanda 7% watajisikiaje,Acha uongo hakuna mtanzania mwenye akili timamu anaweza kumuombea mabaya au kufulahia pale mwenzie anapatwa na matatizo, ni mwehu na mjinga anaweza kufanya hivyo ukiwemo wewe.
Uhuru wa manyani, wasiojulikana kwishneiDah watu wa nchi hii ni balaa kwa kufukua habari zilizopita
What changes is that mlietaka afe bado yupo alive and kicking na aliyetaka kummaliza ndio katangulia. Hilo halitobadilika kamwe na ni funzo kwenu wanafiki kwamba anayepanga fate ni Mungu pekee sio binadamu kisa tu ana cheo kikubwa.Nani alietoa fedheha, mbona una generalize, why do u want people to think like you. Aya ligonjwa limekufa, kasherehekee basi, as if anything will change, minyumbu bhana
Mimi siyo mnafiki.Acha uongo hakuna mtanzania mwenye akili timamu anaweza kumuombea mabaya au kufulahia pale mwenzie anapatwa na matatizo, ni mwehu na mjinga anaweza kufanya hivyo ukiwemo wewe.
Kwani Babu hata wazima huwa hawafi?Ukiwa na huo ugonjwa mixer corona hutoboi, alitakiwa kuwa mwangalifu. Pacemaker ni kama timing bomb ila mwamba katundanganya sana na pushup zake kumbe tia maji tia maji
Kwahiyo! Mnahangaika kuharamisha Korona, Waziri Mkuu wa Uingereza, Trump na Prince Philip walipata Korona na hawakuona aibu kujulikana, huu ni ugonjwa wa kawaida hautakiwi kuharamishwa.View attachment 1729018
Aliyekuwa Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. P Mlama aliwahi kuchangisha fedha za matibabu ya Dkt. John Pombe Magufuli.
Prof. Mlama alieleza kuwa Mwanafunzi wa Shahada ya Uzamili katika Sayansi, John Magufuli anasumbuliwa na Ugonjwa wa 'Hypertropic Cardiomyopathy'
Wanafunzi waliombwa michango ili mwenzao (Pombe Magufuli) akafanyiwe upasuaji nchini Uingereza.
Nakala inayosambaa kupitia Mitandao ya Kijamii inadaiwa ni ya tangazo ambalo lilichapishwa Mwaka 1992
wameanza na kigazetiTutaona mengi, Mkapa wakati anatoka madarakani ndio tukaanza kuambiwa habari za Kiwira Coal Mine. Watch this space
Oh my,he was very vulnerable to his and our enemies.They "might"have done sometning to the heart gadget he was using hasa ukizingatia kwamba anything electrical can be manipulated by remote control.The technology is there!View attachment 1729018
Aliyekuwa Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. P Mlama aliwahi kuchangisha fedha za matibabu ya Dkt. John Pombe Magufuli.
Prof. Mlama alieleza kuwa Mwanafunzi wa Shahada ya Uzamili katika Sayansi, John Magufuli anasumbuliwa na Ugonjwa wa 'Hypertropic Cardiomyopathy'
Wanafunzi waliombwa michango ili mwenzao (Pombe Magufuli) akafanyiwe upasuaji nchini Uingereza.
Nakala inayosambaa kupitia Mitandao ya Kijamii inadaiwa ni ya tangazo ambalo lilichapishwa Mwaka 1992
Fedha ya umma sio fedha ya michango. Fedha ya umma Ina sheria na kanuni ktk matumizi. Ndio maana hata chuo pamoja na kuwa na pesa za bajeti yao hawakuwa na uwezo kutumia pesa ya hiyo, wakaongozwa kuomba mchango. Ndugai kwa kujua hili aliongoza wabunge kuchangia matibabu...mtu aliyesaidiwa matibabu namna hii akaelekeza bunge limnyime Tundu Lissu stahiki zake za matibabu.
Fedha ya umma sio fedha ya michango. Fedha ya umma Ina sheria na kanuni ktk matumizi. Ndio maana hata chuo pamoja na kuwa na pesa za bajeti yao hawakuwa na uwezo kutumia pesa ya hiyo, wakaongozwa kuomba mchango. Ndugai kwa kujua hili aliongoza wabunge kuchangia matibabu.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Daa maisha haya,hakuna mwanasiasa mvumilivu kama Lowassa.Ukiwa na huo ugonjwa mixer corona hutoboi, alitakiwa kuwa mwangalifu. Pacemaker ni kama timing bomb ila mwamba katundanganya sana na pushup zake kumbe tia maji tia maji
Sana.Enzi za uhai wake marehemu alijifukiza sana