Wanafunzi wa UDSM waliwahi kuchangia matibabu ya Dkt. John Magufuli

Wanafunzi wa UDSM waliwahi kuchangia matibabu ya Dkt. John Magufuli

Kurzweil

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
6,621
Reaction score
8,411
0001-18506816559_20210318_220101_0000.png


Aliyekuwa Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. P Mlama aliwahi kuchangisha fedha za matibabu ya Dkt. John Pombe Magufuli.

Prof. Mlama alieleza kuwa Mwanafunzi wa Shahada ya Uzamili katika Sayansi, John Magufuli anasumbuliwa na Ugonjwa wa 'Hypertropic Cardiomyopathy'

Wanafunzi waliombwa michango ili mwenzao (Pombe Magufuli) akafanyiwe upasuaji nchini Uingereza.

Nakala inayosambaa kupitia Mitandao ya Kijamii inadaiwa ni ya tangazo ambalo lilichapishwa Mwaka 1992
 
Hypertrophic Cardiomyopathy

Ohoo.. kwamba misuli ya moyo imetanuka!!? Hivyo moyo ukawa hausukumi damu ya kutosha?

Ohoo.. kwahiyo ndipo akafanyiwa operation na kuwekewa "pacemaker" ili kuusaidia moyo kusukuma damu?

Ndipo hatimaye... Dah! Basi sawa.. nilikuwa najaribu kuunganisha dot za kitabibu
 
Hakika! Tungewekeza hii nguvu ya kufukua makaburi kwenye utafiti na ugunduzi, hadi sasa tungekuwa tumeshaipa kisogo Marekani, Japan, Urusi, China, Ujerumani, nk katika maendeleo ya kiteknolojia.
Hii yote ni kwasababu serikali ya CCM imewaumiza Sana Watanzania.

Watanzania walikuwa wanasubiri siku ifike

Tazama waTanzania wanavyo Tema nyongo zao bila aibu.

Watanzania bado wanaandamana kweny nafsi zao,bado wana visasi Kwa viongozi wao.
 
Ukichaa wake umenufaisha wengi hasa barabara ambazo hata few out of rafiki na ukoo wako watapita...

Magu atadumu forever kwenye nafsi za watanzania...

Ila kwa washirikina it's ok kushangilia
Vetting yetu ipoje mgonjwa hivi anapewa ikulu?
Hata afya yake ya akili ni Kama haikuwa sawa.
Mara Mimi ni jiwe, Mimi ni kichaa na napenda vichaa kama mpina, mama unalia vizuri inaonekana unaliaga hivyo kwa mme wako, kaa na mavi yako nyumbani etc ni ishara kuwa tulikua tunaongozwa na mtu ambaye kichwani hakuwa timamu 100%
 
View attachment 1729018

Aliyekuwa Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. P Mlama aliwahi kuchangisha fedha za matibabu ya Dkt. John Pombe Magufuli.

Prof. Mlama alieleza kuwa Mwanafunzi wa Shahada ya Uzamili katika Sayansi, John Magufuli anasumbuliwa na Ugonjwa wa 'Hypertropic Cardiomyopathy'

Wanafunzi waliombwa michango ili mwenzao (Pombe Magufuli) akafanyiwe upasuaji nchini Uingereza.

Nakala inayosambaa kupitia Mitandao ya Kijamii inadaiwa ni ya tangazo ambalo lilichapishwa Mwaka 1992

Hakika jukwaa hili la mtandao wa kijamii Jamiiforums ni tegemeo kwa kutafuta habari-kumbukizi, majibu ya maswali au historia na kujielimisha pia.
 
Pamoja na tatizo lake hilo kubwa bado Rais Magufuli aliji sacrifice kubeba jukumu zito la kuwahudumia watanzania

Apumzike kwa amani Rais John Pombe Magufuli🙏

Twinstar wangu💥💥
 
Back
Top Bottom