Wanafunzi wa vyuo vikuu wainishi maisha ya kifahari sana siku hizi kulikoni

Wanafunzi wa vyuo vikuu wainishi maisha ya kifahari sana siku hizi kulikoni

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Yaani maisha yao ni mazuri kweli na ya kifahari mno. Nyumba na vyumba wanazoishi mtaani ni za maana sana, na ndani ya nyumba zao kumekamilika kila idara, sijui wanalipwa mshahara huko vyuoni siku hizi.

Wanaishi kama wafanyakazi wa mashirika flani hivi ya kimataifa, haonekani akienda chuo kusoma, haijulikani muda anaenda kazini.

Wako kwenye standard ya kipekee sana ya maisha, wanalingana na wafanyakazi waajiriwa kabisa kwenye standard ya life.

Sasa sijui wanalipwa siku hizi huko vyuoni au maisha tu yamewanyookea na pocket money wanayopewa na wazazi wao au ndio kuelimika kwenye huko?.
 
Waache wale maisha !huo ndio mshahara pekee wao kula bata !Wanajua hakuna ajira Bora wale sasa,vyeti vimepoteza thamani take kabisa!

Hiyo serikali ndio imepoteza maana ya graduate!ajira zipo nyingi sana lakini serikali imegoma kuajiri na vijana wanasoma waajiriwe unafikiri watafanyaje!!?

Acha wajilipue wawezavyo!!!
 
Unakuta chumba cha mwanafunzi kiko safi, kimejaza vitu vyenye thamani ya zaidi sh. 2000000 simu ghali, computer, tv ghali, kitanda, carpet, misosi ghali, music system mpaka demu pisi kali kinyama. Ni ufahari wa hali ya juu.
 
Back
Top Bottom