contask
JF-Expert Member
- Jan 3, 2021
- 780
- 1,579
@icebreaker naona huyu jamaa anamakasiriko anasoma haliyakua haelew main content ya comment anakimbilia kujibu bila kuelewaWewe inakuhusu Nini Mchawi Wewe? Unasikia raha kuwanga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
@icebreaker naona huyu jamaa anamakasiriko anasoma haliyakua haelew main content ya comment anakimbilia kujibu bila kuelewaWewe inakuhusu Nini Mchawi Wewe? Unasikia raha kuwanga?
Ushubwada wew unayo??Samsung S23 Ultra ndio ushubwada gani?
Komanyoko wewe@icebreaker naona huyu jamaa anamakasiriko anasoma haliyakua haelew main content ya comment anakimbilia kujibu bila kuelewa
Unataka wenzio waishi Maisha mabovu ili iweje Mchawi weweUshubwada wew unayo??
Inawezekana unacomment kupitia infinix alafu linakutoka povu😁
Nani kasema waishi maisha magumu mbona kama unakua kama ngedere mi so mtoa uziUnataka wenzio waishi Maisha mabovu ili iweje Mchawi wewe
Tunakazia ile hoja ya Mweshimiwa Getere hata kama aliikanushaHabari kamaa hii ya kizushi ambayo mtu ameamka na kula kiporo kwa shemeji na bando lake la mchongo utashangaa haifutwi.......
Mnataka waishi km digidigi ili iweje nyinyi na Mbunge wenu Gegura sijui Gegere yule mnawachawia wanachuo waishi Maisha magumu kila uchao Wachawi wakubwa nyinyi wanachuo wamewakosea nini Wanga nyinyiNani kasema waishi maisha magumu mbona kama unakua kama ngedere mi so mtoa uzi
Nenda kwa mtoa uzi mbona unaongea kwa kukurupuka sana mtoto wa 2000'sMnataka waishi km digidigi ili iweje nyinyi na Mbunge wenu Gegura sijui Gegere yule mnawachawia wanachuo waishi Maisha magumu kila uchao Wachawi wakubwa nyinyi wanachuo wamewakosea nini Wanga nyinyi
Unataka wenzio waishi Maisha mabovu ili iweje Mchawi wewe
Leo wachawi tunawaona mchana.Wachawi hawaishi wengine hawajijui km wao ni Wachawi Ila wanawanga mpaka JF
Sahihi mkuuTunakazia ile hoja ya Mweshimiwa Getere hata kama aliikanusha
SIO wa 2000 Mimi wewe Pimbi uwe na adabu na adabu ikushikeNenda kwa mtoa uzi mbona unaongea kwa kukurupuka sana mtoto wa 2000's
Mwenye shibe hamjui mwenye njaa.Tunakazia ile hoja ya Mweshimiwa Getere hata kama aliikanusha
Japo so wote Wengi wao ni waizi wa mitandaoni na bodies pusher's kwa wakikeYaani maisha yao ni mazuri kweli na ya kifahari mno. Nyumba na vyumba wanazoishi mtaani ni za maana sana, na ndani ya nyumba zao kumekamilika kila idara, sijui wanalipwa mshahara huko vyuoni siku hizi.
Wanaishi kama wafanyakazi wa mashirika flani hivi ya kimataifa, haonekani akienda chuo kusoma, haijulikani muda anaenda kazini.
Wako kwenye standard ya kipekee sana ya maisha, wanalingana na wafanyakazi waajiriwa kabisa kwenye standard ya life.
Sasa sijui wanalipwa siku hizi huko vyuoni au maisha tu yamewanyookea na pocket money wanayopewa na wazazi wao au ndio kuelimika kwenye huko?.
Sio kweli kaka wanafunzi wengi ni son of peasant kumbuka shule za kata zimekuwa nyingi na zinabeba wanafunzi wengin na hawa wanafunzi wengiwao ndio huenda chuo....trust me.Wanachuo wengi wa kipindi hichi wazazi wao kidogo wana kipato
Sa si ukasome na wewe utuletee majibu masnitch wenzio
Pia ukiachana na inshu ya wazazi pia wengi wao wanajishughurisha na vitu mbali kupitia network marketing.Wanachuo wengi wa kipindi hichi wazazi wao kidogo wana kipato