Wanafunzi wa vyuo vikuu wainishi maisha ya kifahari sana siku hizi kulikoni

Wanafunzi wa vyuo vikuu wainishi maisha ya kifahari sana siku hizi kulikoni

Nani kasema waishi maisha magumu mbona kama unakua kama ngedere mi so mtoa uzi
Mnataka waishi km digidigi ili iweje nyinyi na Mbunge wenu Gegura sijui Gegere yule mnawachawia wanachuo waishi Maisha magumu kila uchao Wachawi wakubwa nyinyi wanachuo wamewakosea nini Wanga nyinyi
 
Mnataka waishi km digidigi ili iweje nyinyi na Mbunge wenu Gegura sijui Gegere yule mnawachawia wanachuo waishi Maisha magumu kila uchao Wachawi wakubwa nyinyi wanachuo wamewakosea nini Wanga nyinyi

Unataka wenzio waishi Maisha mabovu ili iweje Mchawi wewe
Nenda kwa mtoa uzi mbona unaongea kwa kukurupuka sana mtoto wa 2000's
 
Yaani maisha yao ni mazuri kweli na ya kifahari mno. Nyumba na vyumba wanazoishi mtaani ni za maana sana, na ndani ya nyumba zao kumekamilika kila idara, sijui wanalipwa mshahara huko vyuoni siku hizi.

Wanaishi kama wafanyakazi wa mashirika flani hivi ya kimataifa, haonekani akienda chuo kusoma, haijulikani muda anaenda kazini.

Wako kwenye standard ya kipekee sana ya maisha, wanalingana na wafanyakazi waajiriwa kabisa kwenye standard ya life.

Sasa sijui wanalipwa siku hizi huko vyuoni au maisha tu yamewanyookea na pocket money wanayopewa na wazazi wao au ndio kuelimika kwenye huko?.
Japo so wote Wengi wao ni waizi wa mitandaoni na bodies pusher's kwa wakike
 
Wanachuo wengi wa kipindi hichi wazazi wao kidogo wana kipato
Pia ukiachana na inshu ya wazazi pia wengi wao wanajishughurisha na vitu mbali kupitia network marketing.

Kwa mfano maisha ya dar kwa mwanachuo kama unategemea boom haliwezi kukidhi mahitaji.

kwahiyo automatically utashift ili uendane na mazingira uweze kujikimu
 
Back
Top Bottom