Kuna mtu kasema huyo alieandika ndio wale ambao mmoja wao kasema wanachuo wafutiwe boom kwasababu hawasomi wanastarehe tu.Habari kamaa hii ya kizushi ambayo mtu ameamka na kula kiporo kwa shemeji na bando lake la mchongo utashangaa haifutwi.......
Wanataka waishi kama mashetani.Mnataka waishije??
Acheni Mchawi aishi msimpige MaweUnakuta chumba cha mwanafunzi kiko safi, kimejaza vitu vyenye thamani ya zaidi sh. 2000000 simu ghali, computer, tv ghali, kitanda, carpet, misosi ghali, music system mpaka demu pisi kali kinyama. Ni ufahari wa hali ya juu.
Kivipi mchawi haishi? au ulitaka kusema ''Aishi?''Acheni Mchawi haishi msimpige Mawe