Waache wawalegeze watoto wao matokeo hasi maishani watayaona.Wataliwa sana kibogaMimi niseme tu ukweli isingekua adhabu za shuleni na mzazi kuwa na mimi sambamba kwenye kutengeneza nidhamu !! Ningekua mtu wa ovyo sana! Nisingekua hapa
Kwenye kulea watoto tumia njia zote bakora kiasi, ushauri wa kutosha na adhabu za kumjenga !!
Halafu ukiwa maskini ,umeshindwa kuwapa watoto maisha bora basi , komaa na nidhamu yao wawe watu wa kueleweka maishani !! Watakusifu baadae
Sio kosa lako ni malezi mabovu uliyopitia ukiwa mdogo, umeishi kwa kuamini kupigwa na kunyanyaswa ndio ukakamavu kumbe unazidi kuharibiwa akili.Waache wawalegeze watoto wao matokeo hasi maishani watayaona.Wataliwa sana kiboga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna shule ukichelewa kumchukua mtoto wakati wa kufunga ni 50,000 kwa saa .Saa kumi na mbili asubuhi wazazi wote tupo getini[emoji28][emoji28][emoji28]
kwa hiyo ni kufuata Sheria bila shuruti.
Alfajiri yote hiyo kwani hapo shule ni stendi ya mabasi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
AminaSio kosa lako ni malezi mabovu uliyopitia ukiwa mdogo, umeishi kwa kuamini kupigwa na kunyanyaswa ndio ukakamavu kumbe unazidi kuharibiwa akili.
Mtoto akikosea kubali aadhibiwe , uzuri africa kwa sasa tunaelewa sio bakora tu ! Tuna mbinu zaidi !! Tunakataa ukatili ila adhabu kwa mtoto muhimu !!Waache wawalegeze watoto wao matokeo hasi maishani watayaona.Wataliwa sana kiboga
🤣🤣🤣🤣🤣🙌Mtoto akikosea kubali aadhibiwe , uzuri africa kwa sasa tunaelewa sio bakora tu ! Tuna mbinu zaidi !! Tunakataa ukatili ila adhabu kwa mtoto muhimu !!
Eti toto unalisema kidogo linasusia chakula kabisa !
Mkae mezani uanze kujadiliana nalo 😁😁 wamama wa kinyakyusa ashaligongesha ukutani na unakula uzungu hatuuwezi ! Sisi ni maskini
Ndomana watoto wengi wanakuwa siyo...rzkMnalea watoto wenu kimayai
Vitoto vimekuwa mayai mayai mno.Watu tumesoma shule ya msingi tumelima
Nyie sshv hamtaki watoto wenu waguswe....ndomana sahv matatizo ya ushg yanaongezeka
Ova
Kuna ujuzi wa kununua tofali soma vizuri, au unazungumzi ujuzi wa kuiba hela unafikiri watoto wrote watasema nyumbani kuwa wanatakiwa kununua tofali? Unamwambia mtoto akanunue tofali akuletee? Mpe mchanga na cement apige uone kama tutaongea,Nyie vijana wa siku hizi ndo maana mnakuwa mashoga. Tofali 5 tu unalalamika na kuja anzisha uzi? Kama hutaki hama hiyo shule. Mi nawapongeza sana walimu wa hiyo shule kwa kujenga nidhamu na kugawa ujuzi. So mwanafunzi achague kufyatua au kununua ni juu yake. Na awe na nidhamu pia. Hapo hata hamu ya kuwa shoga inamuisha. Nyie mmekuwa nyolonyolo sana mnajiona kama wanawake na mwishowe ndo mnaliwa.
Kumtoza mtoto hela kunamsaidiaje asiwe shoga? Mpe cement na mchanga apige tofali si kumwambia akanunue, pesa atapata wapi au ndio aanze ushoga ili apate pesa maana hafanyi kazi fikiri nje ya boxVitoto vimekuwa mayai mayai mno.
Wewe mzazi wake ndio umpe huo mchanga na simenti afyatue hayo matofali. Usimpe hela.Kumtoza mtoto hela kunamsaidiaje asiwe shoga? Mpe cement na mchanga apige tofali si kumwambia akanunue, pesa atapata wapi au ndio aanze ushoga ili apate pesa maana hafanyi kazi fikiri nje ya box
Lini baba yako aliadhibiwa kwa kosa lako kuchelewa darasani au kuchelewa kumaliza kazi ya darasani?Wewe mzazi wake ndio umpe huo mchanga na simenti afyatue hayo matofali. Usimpe hela.
imekusaidia nini zaidi ya kuwa hohehahe unayetanga tanga mitandaoni?Tumesomba mawe, kuponda kokoto, kufyatua tofali, kuchimba na kusawazisha maeneo kama greda.
Wewe umesomea wapi? Au bas inawezekena ni wa kishua
Mzazi ndio kafanya kosa?Mzazi akatafte si kinachotakiwa ni tofali we utajua unalipataje, kikubwa ni kuepuka adhabu, tofali tatu ni chache sana tafuteni hela muache kulalama kila kitu aseee
Acha kiherehere.Sawa kujenga shule ni kazi ya Serikali ila uongozi wa shule hauzuiwi kufanya maendeleo yanayoinufaisha shule ndio maana zamani kulikua na mashamba ya shule na miradi mingine mbalimbali. Narudia tena kama hiyo adhabu haimnufaishi mwalimu binafsi idadi za matofali ziongezeka tena kwa sasa naoendekeza ziwe 58 kwa kila adhabu