DOKEZO Wanafunzi wanaagizwa kupeleka matofali ikiwa kama adhabu wanapofanya makosa shuleni

DOKEZO Wanafunzi wanaagizwa kupeleka matofali ikiwa kama adhabu wanapofanya makosa shuleni

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Watoto wakichapwa, mnalalamika! Wakipewa adhabu mbadala, mnalalamika! Wakiachwa halafu baadaye wakafeli mitihani, mnalalamika!

Ukiona mambo huyawezi, mhamishie shule nyingine! Sawa mzazi.
Nakuona Tate unasimamia kidete maadili ya ualimu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kila sehemu kuna sheria na taratibu zinazofuatwa! Huo siyo mwongozo. Ila kwa vyovyote vile bidi ya shule itakuwa imeridhia kutolewa kwa adhabu ya aina hiyo ili kujenga uzio wa shule, baada ya serikali ya ccm kuwekeza nguvu kubwa kwenye kununua Ma V8 ya kutembelea viongozi wake!

Kama huwezi kuvumilia, mhamishie mtoto wako shule nyingine! Maana hakuna namna. Kinyume na hapo, mfunde mtoto wako kufuata sheria za shule kwa ukamilifu.
inakusaidia nini wakati unalipwa mshahara laki mbili kwa mwezi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Walimu vichaa sana.
 
inakusaidia nini wakati unalipwa mshahara laki mbili kwa mwezi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Walimu vichaa sana.
Wanafanya hivyo ili wajenge uzio wa shule. Maana wakifelisha kwa sababu ya utoro sugu wa mitoto yenu, mnaenda tena kuwalalamikia hawafundishi!
 
Hivi kazi ya shule ni nini? Kufundisha na kutumia akili au kutumia nguvu kusolve matatizo madogo badala ya kutumia akili?
Alafu utakuta mtu mnalalamika toto lake limemaliza shule lakini halijui nini cha kufanya tofauti na ajira, je kazi ya shule iko wapi hapo?
Huu ni mzunguko usioisha sababu hata walimu walipitia huko hivyo wanaona sawa tu, I wonder why watanzania ni waoga na wajinga kupitiliza.

Huu uzi unaonyesha majority ya akili mbovu za kitumwa za waafrica ni kutumia nguvu nyingi na akili zero.
Mwanangu simpeleki akasome shule za ajabu kama hizi.
Walimu vilaza, ndio maana wanalipwa laki kwa mwezi na wanakenua tu. [emoji1787][emoji1787]

Duh.
 
Acha kulela watoto kama mayai kwann wachelewe shule? Sisi tumepitia hayo mpaka tukamaliza.
Sisi shule yetu ilikua nje ya mji kidogo sasa Mimi nilifyatuaga tofali 300 kisa tulitoroka saa 4 ijumaa!! Sasa wakati tunasepa na wanangu kumbe mkuu wa shule alituona akiwa kwenye boda boda, yeye muda huo akiwa ndo anaenda shule.

Akamkariri jamaa mmoja sasa j3 tumekaa class akaingia, akasema kuna majambazi ijumaa walitoroka waje mbele wote kabla sijawainua mwenyewe, tukakausha wahuni sasa yule aliyekuwa amekaririwa akainuliwa na kofi taja wenzako akabisha, yule ticha alikua anapendaga kusema "nimelikuta msituni hili jambazi" wakampeleka ofsin akatutaja huko.

Kwanza tulipigwa alafu tukaambiwa kesho mje na wazazi bila hivo hamna shule.. mwisho wa siku kila mtu alifyatua tofali 300 kama adhabu.
imekusaidia nini mbona uko hapo unalipwa kalaki kamoko unakenua tu!
 
Pasua kichwa hiyo hatari ,lazima wanafunzi watuibie tofali tulizozitunza!!! ,

Walimu wanajenga Nini!? ,nishule za kayumba au!?
Ndizo athari nilizoziona nikaamua kuleta hili dokezo, nilielewa kwamba si watoto wote watasema nyumbani ili wasaidiwe, wengine wataenda kuiba katika site za watu, mwisho tunaongeza tatizo la maadili ila kuna watu hawaelewi, mtoto akianza kuiba tofali leo kupeleka shule kesho ataiba ili akauze, tutamalizaje hawa panya road kama shule zinawabusti
 
Kawaida sana, nakumbuka shule niliyosoma primary kila siku lazima uende na jiwe, hapo una kidumu cha maji, mfagio, maua na kila jumatano lazima ubebe jembe na mbolea na mfuko wako wa madaftari uko pale pale
Kwahiyo haya ndio unaona maisha sawa sawa?

Mtoto kubeba madumu na kuni? Kwako raha?

Akili za mwalimu wa primary hatari san?
 
Hapa sasa umenipa mwanga kumbe ni Waalimu!, maana nilikua nasoma comments huku nimebaki kinywa wazi, utumwa wa fikra hauwezi kuisha Tanzania halafu ndio tuna ndoto za kufika Dunia ya kwanza,
Mawazo finyu sana hawaangalii vitu kwa jicho la tatu,

Mtoto akifanya kosa ukamwambia alete Tofali na yeye hataki nyumbani wajue si ndio mwanzo wa kua mwizi au afanye uhuni ili apate pesa ya kununua hizo tofali,

Haya kosa la Mtoto kwanini Mzazi wake atoleshwe Pesa za kununua Tofali? Huyo Mzazi ana mangapi yanayomsibu na Tofali tena!!

Hiyo Tabia yapaswa kukemewa haijalishi ipo Shule nyingi (Shule nilizosoma sikuwahi kukumbana na hayo mauza uza) na haijalishi kwa kua wewe Mtu mzima uliwahi kupitia hayo basi kila kizazi kipitie,
Tubadilike.
Walimu vichwa maji hawa.

Ni hatari tumekabidhi taifa kwa watu vibaka kama hawa.
 
Kwahiyo haya ndio unaona maisha sawa sawa?

Mtoto kubeba madumu na kuni? Kwako raha?

Akili za mwalimu wa primary hatari san?
Wewe Dokta Uchwara, kama huwezi kuvumilia changamoto za St. Kayumba, mpeleke mtoto wako Feza kama jamaa yako Lameck.

Hao walimu wa hizo shule, wanavumilia changamoto nyingi sana kutoka serikali yako isiyo jielewa.
 
Nakuona Tate unasimamia kidete maadili ya ualimu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unamtuma mtoto akaibe tofali site za watu akuletee, si umpe mchanga na cement akupigie tofali kama unataka kumfundisha au kumpa adhabu, akiiba leo akaleta hizo tofali kesho atakukaba akupore maana ulimfundisha, lazima ujiulize ninavyomtuma tofali atapata wapi? Mwingine hatasema nyumbani asaidiwe, atakwenda kuiba kwa Tate mkuu. Fikiri nje ya box
 
Mjinga wewe Kila kitu unalia Lia.

You're irresponsible and coward father ever seen
 
Kuna ujuzi wa kununua tofali soma vizuri, au unazungumzi ujuzi wa kuiba hela unafikiri watoto wrote watasema nyumbani kuwa wanatakiwa kununua tofali? Unamwambia mtoto akanunue tofali akuletee? Mpe mchanga na cement apige uone kama tutaongea,
Tuna tatizo kubwa la uelewa, hakuna anaepinga mtoto kufanya kazi kama kupiga tofali tunapinga kumwambia akuletee tofali 5 wakati mchanga wala cement hujampa, acha vibao na mashine au unataka akaibe tofali mwisho wamchome, watu wengi wanjibu bila kuelewa logic behind
Mmekuwa walaini sana. Mwalimu anachotaka ni tofali ukiweza kuzinya kunya zipeleke..mnakuwa mashoga sababu ya kuwa nale nale. Tena walimu waongeze ziwe tofali 20. Asiyetaka aache akajiuze wabaki watu serious. Pussy nyie. Mnalalamika vitu vya kipumbavu. Kusoma hamtaki na maadili hamna.
 
Wewe Dokta Uchwara, kama huwezi kuvumilia changamoto za St. Kayumba, mpeleke mtoto wako Feza kama jamaa yako Lameck.

Hao walimu wa hizo shule, wanavumilia changamoto nyingi sana kutoka serikali yako isiyo jielewa.
Badala kujenga hoja serikali iweke miundombinu ya maji mashuleni, wewe unashabikia watoto kubeba vidumu na kuni!

Tate umepotoka
 
Unamtuma mtoto akaibe tofali site za watu akuletee, si umpe mchanga na cement akupigie tofali kama unataka kumfundisha au kumpa adhabu, akiiba leo akaleta hizo tofali kesho atakukaba akupore maana ulimfundisha, lazima ujiulize ninavyomtuma tofali atapata wapi? Mwingine hatasema nyumbani asaidiwe, atakwenda kuiba kwa Tate mkuu. Fikiri nje ya box
Hatari sana....

Ndio walimu wetu hawa wa primary school.
 
Back
Top Bottom