Wanafunzi wanaosoma katika shule ya msingi Kododo mkoani Morogoro, wapo katika hatari ya kuangukiwa na madarasa

Wanafunzi wanaosoma katika shule ya msingi Kododo mkoani Morogoro, wapo katika hatari ya kuangukiwa na madarasa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Wanafunzi wanaosoma katika shule ya msingi Kododo Tarafa ya Mgeta wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, wapo katika hatari ya kuangukiwa na madarasa wanayoyatumia kufuatia madarasa hayo ambayo yamejengwa kwa mawe tangu mwaka 1970 kuanza kupasuka kisha kudondosha mawe.

1643180205548.png

1643180248770.png


Chanzo: EastAfricaTv

Sijui na kwa hili pia GENTAMYCINE nitachukiwa na kuonekana nina Chuki na Mwanasiasa Queen Antoinette wa Kiswahili na Mwambaoni?
 
Wanafunzi wanaosoma katika shule ya msingi Kododo Tarafa ya Mgeta wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, wapo katika hatari ya kuangukiwa na madarasa wanayoyatumia kufuatia madarasa hayo ambayo yamejengwa kwa mawe tangu mwaka 1970 kuanza kupasuka kisha kudondosha mawe.

Chanzo: EastAfricaTv

Sijui na kwa hili pia GENTAMYCINE nitachukiwa na kuonekana nina Chuki na Mwanasiasa Queen Antoinette wa Kiswahili na Mwambaoni?
Sio hao tu wanaosafiri na ndege leo kuna mmoja nimesoma mahali kaagiza NHC kumalizia majengo ya Morocco square ni kama aliandaliaa mapema kuja kudwal na hiyo oroject.Sasa kuja kuwakumbuka wananchi wa huko mvomero sijui ni linkli ndg yangu.ila tusichoke siku moja watasikia.
 
Tafadhali kama huna cha Kuchangia ni heri tu ukaficha Uwendawazimu na Upumbavu wako wa Kurithishwa na waliopoteza muda Wao kukusogeza hapa duniani na kuwaachia Great and Critical Thinkers Kuchangia Mada zangu zinahitaji Akili Kubwa, Uchokonozi na Udadavuaji wa Kimantiki.
Sorry mkuu RELAX...
ungejikita kwenye economic reforms na misingi ya mikuu ya kiuchumi kwa progress endelevu ya nchi na sekta ya elimu.

Na sio kusema "nyie wanasiasa mpunguze misafara na delegation"

Hivyo unapoanzisha mada tunduwizi na pevuka jaribu jenga hoja mtambuka kama mtu mzima uliesoma chuo bora na chenye ustawi SAUT.

Shida ya madarasa kwa shule za msingi ni mtambuka.. suala zito kama haliwezi malizwa kwa hoja ya kupunguza delegations na misafara.
Maybe labda unaifikiria kidodo tu
 
Inaoneka zile pesa za covid 19 au pesa za tozo za mihamala huko Mvomero hazijafika kabisa au uongozi wa wilaya wapo usingizini
 
Pesa za covid was for secondary schools
Can you go to Secondary School without passing Primary School which is the foundation base for every Student?

Do you know the importance of Primary School towards Nurturing our feature Academicians and Intellectuals?
 
Can you go to Secondary School without passing Primary School which is the foundation base for every Student?

Do you know the importance of Primary School towards Nurturing our feature Academicians and Intellectuals?
Mzee hiko ndicho kilichokua kipaumbele kikuu cha mama na ccm yenu.
- mimi nimemjibu Prince Kunta lengo la pesa..

Sasa hiko kiinglish chako ulichojipinda kuandika unataka mimi ndie ningebadili msimamo wa serikali?
 
Mzee hiko ndicho kilichokua kipaumbele kikuu cha mama na ccm yenu.
- mimi nimemjibu Prince Kunta lengo la pesa..

Sasa hiko kiinglish chako ulichojipinda kuandika unataka mimi ndie ningebadili msimamo wa serikali?
Kiingilishi changu nilichojipinda na chako Wewe cha Standard Three ni sawa? Nimekujibu kwa Kiingereza baada ya Wewe kuandika kwa Kiingereza ukidhani hapa JamiiForums hakuna 'Wordsmiths' kama akina GENTAMYCINE na Wengineo.

Mpuuzi na Mshamba mkubwa Wewe!!!!!
 
Wanafunzi wanaosoma katika shule ya msingi Kododo Tarafa ya Mgeta wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, wapo katika hatari ya kuangukiwa na madarasa wanayoyatumia kufuatia madarasa hayo ambayo yamejengwa kwa mawe tangu mwaka 1970 kuanza kupasuka kisha kudondosha mawe.

Chanzo: EastAfricaTv

Sijui na kwa hili pia GENTAMYCINE nitachukiwa na kuonekana nina Chuki na Mwanasiasa Queen Antoinette wa Kiswahili na Mwambaoni?
Mbona tumeambiwa Mama kajenga Shule ya Ghorofa 3

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Wanafunzi wanaosoma katika shule ya msingi Kododo Tarafa ya Mgeta wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, wapo katika hatari ya kuangukiwa na madarasa wanayoyatumia kufuatia madarasa hayo ambayo yamejengwa kwa mawe tangu mwaka 1970 kuanza kupasuka kisha kudondosha mawe.

Chanzo: EastAfricaTv

Sijui na kwa hili pia GENTAMYCINE nitachukiwa na kuonekana nina Chuki na Mwanasiasa Queen Antoinette wa Kiswahili na Mwambaoni?
Mwendazake hakuiona hii shule?
 
Back
Top Bottom