GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Hata EastAfricaTv wenyewe hawakuweka.Kapicha tafadhali ili kunogesha aibu.
Sio hao tu wanaosafiri na ndege leo kuna mmoja nimesoma mahali kaagiza NHC kumalizia majengo ya Morocco square ni kama aliandaliaa mapema kuja kudwal na hiyo oroject.Sasa kuja kuwakumbuka wananchi wa huko mvomero sijui ni linkli ndg yangu.ila tusichoke siku moja watasikia.Wanafunzi wanaosoma katika shule ya msingi Kododo Tarafa ya Mgeta wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, wapo katika hatari ya kuangukiwa na madarasa wanayoyatumia kufuatia madarasa hayo ambayo yamejengwa kwa mawe tangu mwaka 1970 kuanza kupasuka kisha kudondosha mawe.
Chanzo: EastAfricaTv
Sijui na kwa hili pia GENTAMYCINE nitachukiwa na kuonekana nina Chuki na Mwanasiasa Queen Antoinette wa Kiswahili na Mwambaoni?
Sorry mkuu RELAX...Tafadhali kama huna cha Kuchangia ni heri tu ukaficha Uwendawazimu na Upumbavu wako wa Kurithishwa na waliopoteza muda Wao kukusogeza hapa duniani na kuwaachia Great and Critical Thinkers Kuchangia Mada zangu zinahitaji Akili Kubwa, Uchokonozi na Udadavuaji wa Kimantiki.
Pesa za covid was for secondary schoolsInaoneka zile pesa za covid 19 au pesa za tozo za mihamala huko Mvomero hazijafika kabisa au uongozi wa wilaya wapo usingizini
Can you go to Secondary School without passing Primary School which is the foundation base for every Student?Pesa za covid was for secondary schools
Mzee hiko ndicho kilichokua kipaumbele kikuu cha mama na ccm yenu.Can you go to Secondary School without passing Primary School which is the foundation base for every Student?
Do you know the importance of Primary School towards Nurturing our feature Academicians and Intellectuals?
Kiingilishi changu nilichojipinda na chako Wewe cha Standard Three ni sawa? Nimekujibu kwa Kiingereza baada ya Wewe kuandika kwa Kiingereza ukidhani hapa JamiiForums hakuna 'Wordsmiths' kama akina GENTAMYCINE na Wengineo.Mzee hiko ndicho kilichokua kipaumbele kikuu cha mama na ccm yenu.
- mimi nimemjibu Prince Kunta lengo la pesa..
Sasa hiko kiinglish chako ulichojipinda kuandika unataka mimi ndie ningebadili msimamo wa serikali?
Na pesa za tozo za miamala ya simu was for chui jike a.k.a chifu hangaya's travelling across the bordersPesa za covid was for secondary schools
Mbona tumeambiwa Mama kajenga Shule ya Ghorofa 3Wanafunzi wanaosoma katika shule ya msingi Kododo Tarafa ya Mgeta wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, wapo katika hatari ya kuangukiwa na madarasa wanayoyatumia kufuatia madarasa hayo ambayo yamejengwa kwa mawe tangu mwaka 1970 kuanza kupasuka kisha kudondosha mawe.
Chanzo: EastAfricaTv
Sijui na kwa hili pia GENTAMYCINE nitachukiwa na kuonekana nina Chuki na Mwanasiasa Queen Antoinette wa Kiswahili na Mwambaoni?
Mwendazake hakuiona hii shule?Wanafunzi wanaosoma katika shule ya msingi Kododo Tarafa ya Mgeta wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, wapo katika hatari ya kuangukiwa na madarasa wanayoyatumia kufuatia madarasa hayo ambayo yamejengwa kwa mawe tangu mwaka 1970 kuanza kupasuka kisha kudondosha mawe.
Chanzo: EastAfricaTv
Sijui na kwa hili pia GENTAMYCINE nitachukiwa na kuonekana nina Chuki na Mwanasiasa Queen Antoinette wa Kiswahili na Mwambaoni?