Daah kama ulikuwepoTusilaumu systems za chuo, sometimes wanafunzi wenyewe nd changamoto! Chuo kitasimam kwenye upande wake wa provision ya 25% of the contents na the rest itabaki kwa mwanafunzi mwenyewe.
Hapo ndo kwenye kazi sasa màana wanafunzi wanaaminishana chuo bata! Baada ya kujifunza na kutafuta knowledge! Wanajifunza ulevi, umalaya pamoja na kukimbizana na fashions!!
Najua watu wengi waliopata kazi utumishi siyo vichwa Kama waliokosa. Utumishi wanautungaji maswali yanayohitaji kukHii data umetoa wapi?
mkuu unantia machungu nna mmoja hapa kuna kazi niko naye ni majanga matupu. yaani spelling haziungi mwanzo mwisho. sijui hata wanasoma nini huko chuoni.Aise hali sio poa kabisa.
Sijui sasa hivi huko vyuoni wanawafundisha nini hawa watoto.
Ipo hivi juzi juzi hapo kulikua kunaitajika new staff. Pendekezo lilikuza hawa staff wapya wawe graduate wapya (Walio maliza mwaka huu) au mwaka jana lengo lilikua kuwapata fresh from school ile wawe trained hapa hapa wasije kuharibu kazi.
Tukapeleka pendekezo chuo kimoja kikubwa tu hapa mjini. Tunaomba Top Performer kenye course moja inayohusiana na Mambo ya Economics, Econometrics na Actuary Analysis.
Tukapewa list na namba zao za simu. Baada ya Hapo Vijana wakatafutwa wakapewa maelezo, Ofisi zilipo na siku yakuja kwa maelezo zaidi. moja ya japo waliopewa ni kwamba saa nne kamili wawe tayari wameshafika tayari.
Siku ya tukio sasa (Tulipata vijana sita). Hapa ndio vituko vilianza (Sijui walijua wanakuja kufanya interview) tukawachukua wakapelekwa meeting room, tukawapa magazeti haya haya ya Kiswahili sijui Nipashe, Uhuru Mwananchi, Raia Mwena, MwanaSpoti etc. wakaambiwa kwenye hayo magazeti wachambue habari zinazohusu economy (Mfano labda kwenye gazeti wameandika Serikali imezindua daraja la Wami. Watuambie hii kiuchumi ni nini na ina implication gani kwenye Macreconomic).
Pia condition ilikua moja wapo ikiwa habari au concept itajirudia kwa watu watatu hiyo concept au habari inakua deducted kwa watu wote (Haihesabiki). Tukawapa na mtu wa kuwasimamia pia na wifi (Free wifi speed ilipunguzwa, network iwe nzito <ili tuangalie watapoteza muda kwenye network au wata concentrate kwenye task)
Muda Ukaenda ukaisha. Kila mtu aka submit copy ya alichopata. Wakaja kwenye panel ku-present findings zao. Aise Hali ni mbaya mtu masaa karibia 6 magezeti karibu 8 amepata habari 2 za kiuchumi, mwingine 4, mmoja alijitutumia akapata 7.
Mtu unamuuliza sasa wewe imekuje umepata habari mbili tu anaanza mara hoo, mageti langu lilikua na habari za siasa nyingi yaani bla bla tu hamna kitu. Mtu unamuuliza hii habari yaserikali imetoa fedha za kujanga madarasa kwa kutumia force account hii si monetary policy hihii? au sio habari za ki uchumi anaanza kumumunya maneno.
Kitu kilicho nishagaza ni mtu unamwambia tupe twakimu za watoto chini ya miaka 5 kwa sasa hapa nchi. Mtua anaingia google jibu la kwanza au lapili litakalo tokea ndio analitaja.
Nikawa nawaza sasa kama hawa ndio top performer sijui best students hao wengine itakuaje. Imebidi tuchukue tu baadhi sasa tutafanyaje.
Lkn kiujumla baadhi ya wasomi wengi hama kitu.
Kuna kijana alikuja saa nne Karibia na robo nikesema hapa kazi ipo.
Daaah! Kazi ipoSasa mkuu kwani ukisoma simba au yanga imejenga uwanja wa mpira hiyo sio habari ya uchumi?
Ntamwambia mkewe umemshauri nae afoji PH.d.Mwambie na baba ako afoji km rahisi
Mtihani wao ulihusu hiki kitu "Tuseme uko chuo kwenye hizo course za uchumi walisomea kuchambua habari au makala za kiuchumi kwenye magazeti?
Waajiri wa hii nchi wamejaa ujinga ujinga mwingi sana na ukweli ulio wazi ni kwamba wengi Elimu zao niza kuunga unga hivyo kuona kwamba vijana wapya kuwa tishio la nafasi zao.
HaAise hali sio poa kabisa.
Sijui sasa hivi huko vyuoni wanawafundisha nini hawa watoto.
Ipo hivi juzi juzi hapo kulikua kunaitajika new staff. Pendekezo lilikuza hawa staff wapya wawe graduate wapya (Walio maliza mwaka huu) au mwaka jana lengo lilikua kuwapata fresh from school ile wawe trained hapa hapa wasije kuharibu kazi.
Tukapeleka pendekezo chuo kimoja kikubwa tu hapa mjini. Tunaomba Top Performer kenye course moja inayohusiana na Mambo ya Economics, Econometrics na Actuary Analysis.
Tukapewa list na namba zao za simu. Baada ya Hapo Vijana wakatafutwa wakapewa maelezo, Ofisi zilipo na siku yakuja kwa maelezo zaidi. moja ya japo waliopewa ni kwamba saa nne kamili wawe tayari wameshafika tayari.
Siku ya tukio sasa (Tulipata vijana sita). Hapa ndio vituko vilianza (Sijui walijua wanakuja kufanya interview) tukawachukua wakapelekwa meeting room, tukawapa magazeti haya haya ya Kiswahili sijui Nipashe, Uhuru Mwananchi, Raia Mwena, MwanaSpoti etc. wakaambiwa kwenye hayo magazeti wachambue habari zinazohusu economy (Mfano labda kwenye gazeti wameandika Serikali imezindua daraja la Wami. Watuambie hii kiuchumi ni nini na ina implication gani kwenye Macreconomic).
Pia condition ilikua moja wapo ikiwa habari au concept itajirudia kwa watu watatu hiyo concept au habari inakua deducted kwa watu wote (Haihesabiki). Tukawapa na mtu wa kuwasimamia pia na wifi (Free wifi speed ilipunguzwa, network iwe nzito <ili tuangalie watapoteza muda kwenye network au wata concentrate kwenye task)
Muda Ukaenda ukaisha. Kila mtu aka submit copy ya alichopata. Wakaja kwenye panel ku-present findings zao. Aise Hali ni mbaya mtu masaa karibia 6 magezeti karibu 8 amepata habari 2 za kiuchumi, mwingine 4, mmoja alijitutumia akapata 7.
Mtu unamuuliza sasa wewe imekuje umepata habari mbili tu anaanza mara hoo, mageti langu lilikua na habari za siasa nyingi yaani bla bla tu hamna kitu. Mtu unamuuliza hii habari yaserikali imetoa fedha za kujanga madarasa kwa kutumia force account hii si monetary policy hihii? au sio habari za ki uchumi anaanza kumumunya maneno.
Kitu kilicho nishagaza ni mtu unamwambia tupe twakimu za watoto chini ya miaka 5 kwa sasa hapa nchi. Mtua anaingia google jibu la kwanza au lapili litakalo tokea ndio analitaja.
Nikawa nawaza sasa kama hawa ndio top performer sijui best students hao wengine itakuaje. Imebidi tuchukue tu baadhi sasa tutafanyaje.
Lkn kiujumla baadhi ya wasomi wengi hama kitu.
Kuna kijana alikuja saa nne Karibia na robo nikesema hapa kazi ipo.
Ndugu yangu mtoa post, wewe ndio hujui maana ya elimu. Ukiniuliza kwanini, nitafafanua.Aise hali sio poa kabisa.
Sijui sasa hivi huko vyuoni wanawafundisha nini hawa watoto.
Ipo hivi juzi juzi hapo kulikua kunaitajika new staff. Pendekezo lilikuza hawa staff wapya wawe graduate wapya (Walio maliza mwaka huu) au mwaka jana lengo lilikua kuwapata fresh from school ile wawe trained hapa hapa wasije kuharibu kazi.
Tukapeleka pendekezo chuo kimoja kikubwa tu hapa mjini. Tunaomba Top Performer kenye course moja inayohusiana na Mambo ya Economics, Econometrics na Actuary Analysis.
Tukapewa list na namba zao za simu. Baada ya Hapo Vijana wakatafutwa wakapewa maelezo, Ofisi zilipo na siku yakuja kwa maelezo zaidi. moja ya japo waliopewa ni kwamba saa nne kamili wawe tayari wameshafika tayari.
Siku ya tukio sasa (Tulipata vijana sita). Hapa ndio vituko vilianza (Sijui walijua wanakuja kufanya interview) tukawachukua wakapelekwa meeting room, tukawapa magazeti haya haya ya Kiswahili sijui Nipashe, Uhuru Mwananchi, Raia Mwena, MwanaSpoti etc. wakaambiwa kwenye hayo magazeti wachambue habari zinazohusu economy (Mfano labda kwenye gazeti wameandika Serikali imezindua daraja la Wami. Watuambie hii kiuchumi ni nini na ina implication gani kwenye Macreconomic).
Pia condition ilikua moja wapo ikiwa habari au concept itajirudia kwa watu watatu hiyo concept au habari inakua deducted kwa watu wote (Haihesabiki). Tukawapa na mtu wa kuwasimamia pia na wifi (Free wifi speed ilipunguzwa, network iwe nzito <ili tuangalie watapoteza muda kwenye network au wata concentrate kwenye task)
Muda Ukaenda ukaisha. Kila mtu aka submit copy ya alichopata. Wakaja kwenye panel ku-present findings zao. Aise Hali ni mbaya mtu masaa karibia 6 magezeti karibu 8 amepata habari 2 za kiuchumi, mwingine 4, mmoja alijitutumia akapata 7.
Mtu unamuuliza sasa wewe imekuje umepata habari mbili tu anaanza mara hoo, mageti langu lilikua na habari za siasa nyingi yaani bla bla tu hamna kitu. Mtu unamuuliza hii habari yaserikali imetoa fedha za kujanga madarasa kwa kutumia force account hii si monetary policy hihii? au sio habari za ki uchumi anaanza kumumunya maneno.
Kitu kilicho nishagaza ni mtu unamwambia tupe twakimu za watoto chini ya miaka 5 kwa sasa hapa nchi. Mtua anaingia google jibu la kwanza au lapili litakalo tokea ndio analitaja.
Nikawa nawaza sasa kama hawa ndio top performer sijui best students hao wengine itakuaje. Imebidi tuchukue tu baadhi sasa tutafanyaje.
Lkn kiujumla baadhi ya wasomi wengi hama kitu.
Kuna kijana alikuja saa nne Karibia na robo nikesema hapa kazi ipo.
Wala usihangaike na hitimisho lake mkuu, ndivyo walivyo hawa.Unawezaje kuhitimisha kuwa wanafunzi wa vyuo wengi wakati mmewapima wanafunzi wa *chuo*kimoja? kwangu hitimisho lako sio sahihi.
Matumizi ya elimu ya chuoni hayaishii kwenye interview peke yake, unaweza kutumia hata kwenye jamii. Kwa mfano hiyo DS uliyotaja, mbona matumizi yake uraiani yako very obvious!Mkuu, mbona kwenye interviews za accountancy hawaulizi maswali ya DS au Entrepreneurship ilhali tulisoma chuoni?
Kama level ya hesabu za kazini itakuwa 12 × 12, chuoni itabidi usome 16 × 16 ili uje ufanye kwa urahisi na ufanisi mkubwa. Kusona course ngumu kunarahisisha kazi. Ni sawa na mtu wa form four anaambiwa afanye mtihani wa form two.Mkuu, wakati mwingine upi ilhali mtu anafanya kazi repetitive miaka nenda rudi? Mimi nilikuwa mhasibu kampuni moja ipo Kyela, nilikuwa ninakusanya pesa, nazipeleka bank, ninaandaa receipts, natoa pesa za matumizi ofisini mwaka mzima kazi ni hizo hizo kitu ambacho graduate wa form six ukimuelekeza anaweza kufanya pia mpaka nikawa ninajiuliza kwanini tulifundishwa mambo magumu kule chuo ilhali huko kazini vitu ni simple sana.
Huyu injinia anajua why itumike 12mm badala ya 10mm kwa sababu amefundishwa!!Yes! Reasoning haihusiani na utendaji kwa maeneo flani! Mfano engineer vs fundi, fundi yeye anajua jinsi/how ya kugonga nyundo wakati engineer anajua "why" fundi anagonga nyundo na agonge ngapi na kwa nini!
Fundi hawezi kukwambia kwanini nangonga nyundo 5 na sio 8!
Mfano mwingine engineer anajua kwanini hapa tuweke nondo za 12mm wakati fundi ambaye ndiye mtendaji/mfungaji hajui kwanini zimewekwa 12mm na sio 10mm au 20mm!
Thats what we call reasoning! Na kwa mtazamo wangu hamna kitu cha muhumi kama reasoning kazini!
Wasomi hawa hawa wavaa vipensi vya jezi za basketball 🏀🤔Aise hali sio poa kabisa.
Sijui sasa hivi huko vyuoni wanawafundisha nini hawa watoto.
Ipo hivi juzi juzi hapo kulikua kunaitajika new staff. Pendekezo lilikuza hawa staff wapya wawe graduate wapya (Walio maliza mwaka huu) au mwaka jana lengo lilikua kuwapata fresh from school ile wawe trained hapa hapa wasije kuharibu kazi.
Tukapeleka pendekezo chuo kimoja kikubwa tu hapa mjini. Tunaomba Top Performer kenye course moja inayohusiana na Mambo ya Economics, Econometrics na Actuary Analysis.
Tukapewa list na namba zao za simu. Baada ya Hapo Vijana wakatafutwa wakapewa maelezo, Ofisi zilipo na siku yakuja kwa maelezo zaidi. moja ya japo waliopewa ni kwamba saa nne kamili wawe tayari wameshafika tayari.
Siku ya tukio sasa (Tulipata vijana sita). Hapa ndio vituko vilianza (Sijui walijua wanakuja kufanya interview) tukawachukua wakapelekwa meeting room, tukawapa magazeti haya haya ya Kiswahili sijui Nipashe, Uhuru Mwananchi, Raia Mwena, MwanaSpoti etc. wakaambiwa kwenye hayo magazeti wachambue habari zinazohusu economy (Mfano labda kwenye gazeti wameandika Serikali imezindua daraja la Wami. Watuambie hii kiuchumi ni nini na ina implication gani kwenye Macreconomic).
Pia condition ilikua moja wapo ikiwa habari au concept itajirudia kwa watu watatu hiyo concept au habari inakua deducted kwa watu wote (Haihesabiki). Tukawapa na mtu wa kuwasimamia pia na wifi (Free wifi speed ilipunguzwa, network iwe nzito <ili tuangalie watapoteza muda kwenye network au wata concentrate kwenye task)
Muda Ukaenda ukaisha. Kila mtu aka submit copy ya alichopata. Wakaja kwenye panel ku-present findings zao. Aise Hali ni mbaya mtu masaa karibia 6 magezeti karibu 8 amepata habari 2 za kiuchumi, mwingine 4, mmoja alijitutumia akapata 7.
Mtu unamuuliza sasa wewe imekuje umepata habari mbili tu anaanza mara hoo, mageti langu lilikua na habari za siasa nyingi yaani bla bla tu hamna kitu. Mtu unamuuliza hii habari yaserikali imetoa fedha za kujanga madarasa kwa kutumia force account hii si monetary policy hihii? au sio habari za ki uchumi anaanza kumumunya maneno.
Kitu kilicho nishagaza ni mtu unamwambia tupe twakimu za watoto chini ya miaka 5 kwa sasa hapa nchi. Mtua anaingia google jibu la kwanza au lapili litakalo tokea ndio analitaja.
Nikawa nawaza sasa kama hawa ndio top performer sijui best students hao wengine itakuaje. Imebidi tuchukue tu baadhi sasa tutafanyaje.
Lkn kiujumla baadhi ya wasomi wengi hama kitu.
Kuna kijana alikuja saa nne Karibia na robo nikesema hapa kazi ipo.