Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Data wataweza kuchambua Kama wwalifundishwa chuo, swali ulilowapa lilifaa waandishi wa habari maana wapo waandishi wa michezo, siasa uchumi etcKama magazeti yamewashinda kuchambua, data ndo wataweza?
Wewe nae huna reasoning and cognitive skills
Kaka mimi mimi nilishindwa kabisa. Najua vipo vilivyobarikiwa na smart ila siyo smart sana, haiondoi ulala hoi, nilishindwa kabisa.Kwenye hivyo vilala hoi havikosi vilivyosmart na vilivyobarikiwa
Accounting for lawyers ni kozi inayofundishwa law school of Tanzania lengo ni kumuandaa na hesabu ndogondogo za offiMkuu, labda nikukumbushe jambo moja tu ya kwamba, hakuna interview ya siku moja inayoweza kukupa mfanyakazi bora, na hata CIA wanalijua hilo ndio maana wanafanya screening ya muda mrefu.
Kazi is not all about giving correct answers to few randomly chosen academic questions. Kazini kuna suala zima la kuishi na wafanyakazi wenzio, punctuality, interactions na mambo lukuki.
All in all, wakati ninasoma IAA watu wa computer science walilazimishwa kusomea accountancy semister ya kwanza, what for?
Mifumo yetu ya elimu bado ni hovyo sana.
Mkuu, hesabu ndogo ndogo za ofisini ni simple arithmetics ambazo ni BODMAS, unless otherwise unipe elimuAccounting for lawyers ni kozi inayofundishwa law school of Tanzania lengo ni kumuandaa na hesabu ndogondogo za offi
labda ww uwe hujasoma apa TanzaniaKama magazeti yamewashinda kuchambua, data ndo wataweza?
Wewe nae huna reasoning and cognitive skills
Kwa hiyo unakubali kwamba gpa ndogo sio kipimo cha utendaji mzuri?Watakuwa walikuwa wanakaririshwa huko chuoni
Sasa mkuu kwani ukisoma simba au yanga imejenga uwanja wa mpira hiyo sio habari ya uchumi?Kwa hiyo mkawapa vijana gazeti la MwanaSpoti wachambue habari zinazohusu economy!![emoji848][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yes! Reasoning haihusiani na utendaji kwa maeneo flani! Mfano engineer vs fundi, fundi yeye anajua jinsi/how ya kugonga nyundo wakati engineer anajua "why" fundi anagonga nyundo na agonge ngapi na kwa nini!Mkuu, kwani reasoning sio sehemu ya utendaji? Mtu anaweza kuwa mtendanji mzuri akiwa na poor reasoning?
Ufaulu vs utendaji;Kwa hiyo unakubali kwamba gpa ndogo sio kipimo cha utendaji mzuri?
Hii data umetoa wapi?Kujua vitu hakuhusiani na kua kichwa darasani, reference nzuri ni usaili wa utumishi wa umma...vipanga wengi hupigwa chini
Pumbavu aliyekwambia bungeni wanaenda graduates tuu nani? Angalia Msukuma na kibajaji, angalau wanaongea kuliko hao wasomi hata kama wanaongea pumba.Graduates wengi wamekuwa hamnazo!! Inabidi serikali iingilie kati la sivyo miaka ijayo tutakuwa na bunge la hovyo sana!!
Hao watakuwa uvccm😅😅Mtu unamuuliza sasa wewe imekuje umepata habari mbili tu anaanza mara hoo, mageti langu lilikua na habari za siasa nyingi yaani bla bla tu hamna kitu. Mtu unamuuliza hii habari yaserikali imetoa fedha za kujanga madarasa kwa kutumia force account hii si monetary policy hihii? au sio habari za ki uchumi anaanza kumumunya maneno.
[emoji849][emoji849][emoji849], usitukane sasaPumbavu aliyekwambia bungeni wanaenda graduates tuu nani? Angalia Msukuma na kibajaji, angalau wanaongea kuliko hao wasomi hata kama wanaongea pumba.
Tatizo Connection, simba na yanga.Graduates wengi wamekuwa hamnazo!! Inabidi serikali iingilie kati la sivyo miaka ijayo tutakuwa na bunge la hovyo sana!!
Kweli, akili haiongezwi darasani kinachoongezwa ni maarifa na ujuzi.Akili haiongezwi darasani.