0ozg Tz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 4,155
- 11,168
Kwa kwel kuna baadhi ya kazi hapa dunian kwa uwezo wangu tu ambao huwa najiona nao,nilijiona sitaziweza nikaamua nikawe Mwalimu tu
Akili za kuweka vitu kichwan ninazo ila inshu za kuvifanyia kazi hivyo vitu hapo ndo changamoto ndo maana nikaamua kuingia taaluma nyepesi
Akili za kuweka vitu kichwan ninazo ila inshu za kuvifanyia kazi hivyo vitu hapo ndo changamoto ndo maana nikaamua kuingia taaluma nyepesi