Wanafunzi wengi waliomaliza vyuo vikuu hawana reasoning and cognitive skills

Wanafunzi wengi waliomaliza vyuo vikuu hawana reasoning and cognitive skills

Aise hali sio poa kabisa.

Sijui sasa hivi huko vyuoni wanawafundisha nini hawa watoto

Ipo hivi juzi juzi hapo kulikua kunaitajika new staff. Pendekezo lilikuza hawa staff wapya wawe graduate wapya (Walio maliza mwaka huu) au mwaka jana lengo lilikua kuwapata fresh from school ile wawe trained hapa hapa wasije kuharibu kazi.

Tuka peleka pendekezo chuo kimoja kikubwa tu hapa mjini. Tunaomba Top Performer kenye course moja inayohusiana na Mambo ya Economics, Econometrics na Actuary Analysis.

Tukapewa list na namba zao za simu. Baadaya Hapo Vijana wakatafutwa wakapewa maelezo, Ofisi zilipo na siku yakuja kwa maelezo zaidi. moja ya japo waliopewa ni kwamba saa nne kamili wawe tayari wameshafika tayari.

Siku ya tukio sasa (Tulipata vijana sita). Hapa ndio vituko vilianza (Sijui walijua wanakuja kufanya interview) tukawachukua wakapelekwa meeting room, tukawapa magazeti haya haya yakiswahili sijui nipashe, uhuru mwananchi, raia mwena, mwana sport etc. wakaambiwa kwenye hayo magazeti wachambue habari zinazohusu economy (Mfano labda kwenye gazeti wameandika Serikali imezindua daraja la Wami. Watuambie hii kiuchumi ni nini na ina implication gani kwenye Macreconomic).

Pia condition ilikua moja wapo ikiwa habari au concept itajirudia kwa watu watatu hiyo concept au habari inakua deducted kwa watu wote (Haihesabiki). Tukawapa na mtu wa kuwasimamia pia na wifi (Free wifi speed ilipunguzwa, network iwe nzito )

Muda Ukaenda ukaisha. Kila mtu aka submit copy ya alichopata. Wakaja kwenye panel ku present findings zao. Aise Hali ni mbaya mtu masaa karibia 6 magezeti karibu 8 amepata habari 2 za kiuchumi, mwingine 4, mmoja alijitutumia akapata 7.

Mtu unamuuliza sasa wewe imekuje umepata habari mbili tu anaanza mara hoo, mageti langu lilikua na habari za siasa nyingi yaani bla bla tu hamna kitu. Mtu unamuuliza hii habari yaserikali imetoa fedha za kujanga madarasa kwa kutumia force account hii si monetary policy hihii?? au sio habari za ki uchumi anaanza kumumunya maneno

Kitu kilicho nishagaza ni mtu unamwambia tupe twakimu za watoto chini ya miaka 5 kwa sasa hapa nchi. Mtua anaingia google jibu la kwanza au lapili litakalo tokea ndio analitaja

Nikawa nawaza sasa kama hawa ndio top performer sijui best students hao wengine itakuaje. Imebidi tuchukue tu baadhi sasa tutafanyaje

Lkn kiujumla baadhi ya wasomi wengi hama kitu

Kuna kijana alikua saa nne Karibia na robo nikesema hapa kazi ipo
Pamoja na kuwa mlikuwa mnahitaji wafanyakazi, hiyo njia mliyotumia kuwapata hao wafanyakazi ni kama utafiti. Sasa lengo mojawapo la utafiti ni kutafuta majibu juu ya mapungufu (gap) yaliyojitokeza na kutoa mapendekezo (recommendation) ya namna ya kurekebisha hali hiyo. Je, unakuja na mapendekezo gani ili kuinusuru elimu yetu ili watoto wetu wapate elimu iliyo bora, na kuwawezesha kumudu soko la ajira ndani na nje ya nchi? Hata mtoto wako au ndugu atanufaika na hili.
 
Kwa kwel kuna baadhi ya kazi hapa dunian kwa uwezo wangu tu ambao huwa najiona nao,nilijiona sitaziweza nikaamua nikawe Mwalimu tu

Akili za kuweka vitu kichwan ninazo ila inshu za kuvifanyia kazi hivyo vitu hapo ndo changamoto ndo maana nikaamua kuingia taaluma nyepesi
Uliona mbali sana mkuu. Kichwa cha mwanafunzi kinajazwa mambo meeengi balaa alafu mwisho wa siku unakuja kufanyia application mambo machache sana.
 
Nyinyi waajiri mnapojadili ubora wa wahitimu miaka hii, jadilini na mazingira yanayotumika kuandaa hao wahitimu idadi na ubora wa facilities ina uwiano sahihi na idadi ya wanafunzi wanaodahiliwa katika mwaka husika?
 
Tuseme uko chuo kwenye hizo course za uchumi walisomea kuchambua habari au makala za kiuchumi kwenye magazeti ?

Waajiri wa hii nchi wamejaa ujinga ujinga mwingi Sana na ukweli ulio wazi ni kwamba wengi Elimu zao niza kuunga unga hivyo kuona kwamba vijana wapya kuwa tishio la nafasi zao
Kwa hiyo mkuu unataka sema mwanauchumi wa 3rd year hawezi kuelezea habari ya kiuchumi iliyopo kwenye gazeti?
 
Kwa hiyo, kila jambo dunia ikitaka na wewe unaenda tu? Western Counties wanataka wanaume waoane na wewe unakubali tu? Mitaala ya first world countries unaileta third world huku ambapo hata kujenga vyoo vya shule vya kutosha imetushinda, are you serious?
Kubari kataa ndio ipo hivyo hutaki anza kuandamana kuelekea Tume ya Vyuo Vikuu ukiwa umebeba bango la kupinga kufundishwa Account kwenye kozi za Computer, utachekwa na ulimwengu mzima maana ili usome Computer kigezo cha Kwanza ujue Hesabu cha pili ujue Kingereza, Hesabu na Account ni mtu na mtuwe, sasa unapingaje kufundishwa Account? Una akili wewe au kwa kua BAM inakuyumbisha unaona Account itakuyumbisha zaidi?
 
Kubari kataa ndio ipo hivyo hutaki anza kuandamana kuelekea Tume ya Vyuo Vikuu ukiwa umebeba bango la kupinga kufundishwa Account kwenye kozi za Computer, utachekwa na ulimwengu mzima maana ili usome Computer kigezo cha Kwanza ujue Hesabu cha pili ujue Kingereza, Hesabu na Account ni mtu na mtuwe, sasa unapingaje kufundishwa Account? Una akili wewe au kwa kua BAM inakuyumbisha unaona Account itakuyumbisha zaidi?
Okay Mr. Genius sina lingine la kusema. Goodbye.
 
Aise hali sio poa kabisa.

Sijui sasa hivi huko vyuoni wanawafundisha nini hawa watoto

Ipo hivi juzi juzi hapo kulikua kunaitajika new staff. Pendekezo lilikuza hawa staff wapya wawe graduate wapya (Walio maliza mwaka huu) au mwaka jana lengo lilikua kuwapata fresh from school ile wawe trained hapa hapa wasije kuharibu kazi.

Tuka peleka pendekezo chuo kimoja kikubwa tu hapa mjini. Tunaomba Top Performer kenye course moja inayohusiana na Mambo ya Economics, Econometrics na Actuary Analysis.

Tukapewa list na namba zao za simu. Baadaya Hapo Vijana wakatafutwa wakapewa maelezo, Ofisi zilipo na siku yakuja kwa maelezo zaidi. moja ya japo waliopewa ni kwamba saa nne kamili wawe tayari wameshafika tayari.

Siku ya tukio sasa (Tulipata vijana sita). Hapa ndio vituko vilianza (Sijui walijua wanakuja kufanya interview) tukawachukua wakapelekwa meeting room, tukawapa magazeti haya haya yakiswahili sijui nipashe, uhuru mwananchi, raia mwena, mwana sport etc. wakaambiwa kwenye hayo magazeti wachambue habari zinazohusu economy (Mfano labda kwenye gazeti wameandika Serikali imezindua daraja la Wami. Watuambie hii kiuchumi ni nini na ina implication gani kwenye Macreconomic).

Pia condition ilikua moja wapo ikiwa habari au concept itajirudia kwa watu watatu hiyo concept au habari inakua deducted kwa watu wote (Haihesabiki). Tukawapa na mtu wa kuwasimamia pia na wifi (Free wifi speed ilipunguzwa, network iwe nzito )

Muda Ukaenda ukaisha. Kila mtu aka submit copy ya alichopata. Wakaja kwenye panel ku present findings zao. Aise Hali ni mbaya mtu masaa karibia 6 magezeti karibu 8 amepata habari 2 za kiuchumi, mwingine 4, mmoja alijitutumia akapata 7.

Mtu unamuuliza sasa wewe imekuje umepata habari mbili tu anaanza mara hoo, mageti langu lilikua na habari za siasa nyingi yaani bla bla tu hamna kitu. Mtu unamuuliza hii habari yaserikali imetoa fedha za kujanga madarasa kwa kutumia force account hii si monetary policy hihii?? au sio habari za ki uchumi anaanza kumumunya maneno

Kitu kilicho nishagaza ni mtu unamwambia tupe twakimu za watoto chini ya miaka 5 kwa sasa hapa nchi. Mtua anaingia google jibu la kwanza au lapili litakalo tokea ndio analitaja

Nikawa nawaza sasa kama hawa ndio top performer sijui best students hao wengine itakuaje. Imebidi tuchukue tu baadhi sasa tutafanyaje

Lkn kiujumla baadhi ya wasomi wengi hama kitu

Kuna kijana alikuja saa nne Karibia na robo nikesema hapa kazi ipo
Kwa uandishi huu, wewe ulikuwa msaili? Je tatizo lilikuwa ni kwa wasailiwa kweli?!
 
Uliona mbali sana mkuu. Kichwa cha mwanafunzi kinajazwa mambo meeengi balaa alafu mwisho wa siku unakuja kufanyia application mambo machache sana.
Kumjaza mambo mengi kichwani lengo ni kuwa ili akija kwenye application iwe rahisi, maana atachagua baadhi ya vile alivyosoma na kuvitumia na vitakavyobaki ni akiba kwa wakati mwingine. Hakuna kitu ambacho mtu anasoma kikakosa matumizi!
 
Mimi ninaaamini Uwezo wa mtu hasa ni ule umetoka nao msingi na secondary.
You are very correct.
Chuoni hakuna muda wa mtu kufundishwa kiingereza,chuoni hakuna muda wa mtu kufundishwa how to reason,chuoni hakuna muda wa kumfundisha mtu how to behave.
So mwisho wa siku bango la chuo linabaki getini unaondoka na kichwa chako.
So ishu sio chuo ishu ni mwanafunzi mwenyewe kujitambua
 
Kumjaza mambo mengi kichwani lengo ni kuwa ili akija kwenye application iwe rahisi, maana atachagua baadhi ya vile alivyosoma na kuvitumia na vitakavyobaki ni akiba kwa wakati mwingine. Hakuna kitu ambacho mtu anasoma kikakosa matumizi!
Mkuu, mbona kwenye interviews za accountancy hawaulizi maswali ya DS au Entrepreneurship ilhali tulisoma chuoni?
 
Mkuu, labda nikukumbushe jambo moja tu ya kwamba, hakuna interview ya siku moja inayoweza kukupa mfanyakazi bora, na hata CIA wanalijua hilo ndio maana wanafanya screening ya muda mrefu.

Kazi is not all about giving correct answers to few randomly chosen academic questions. Kazini kuna suala zima la kuishi na wafanyakazi wenzio, punctuality, interactions na mambo lukuki.

All in all, wakati ninasoma IAA watu wa computer science walilazimishwa kusomea accountancy semister ya kwanza, what for?

Mifumo yetu ya elimu bado ni hovyo sana.
First impression says everything.

Hao CIA wakiwa impressed siku ya kwanza ndo wanazidi kukufuatilia.

Ila wewe siku ya kwanza ukionekana chenga hata upewe mwaka mzima hautabadilika.
 
vitakavyobaki ni akiba kwa wakati mwingine.
Mkuu, wakati mwingine upi ilhali mtu anafanya kazi repetitive miaka nenda rudi? Mimi nilikuwa mhasibu kampuni moja ipo Kyela, nilikuwa ninakusanya pesa, nazipeleka bank, ninaandaa receipts, natoa pesa za matumizi ofisini mwaka mzima kazi ni hizo hizo kitu ambacho graduate wa form six ukimuelekeza anaweza kufanya pia mpaka nikawa ninajiuliza kwanini tulifundishwa mambo magumu kule chuo ilhali huko kazini vitu ni simple sana.
 
Kwa uandishi huu, wewe ulikuwa msaili? Je tatizo lilikuwa ni kwa wasailiwa kweli?!
Nadhani shida ilikua kwa wasailiwa kwa maana kabla ya kwenda kuomba wanafunzi tulipitia mtahala waliokua wanafudishwa hapa chuo. Statistics, Investment, Financial Management, Advance Econometrics, Intermediate Macreconomic yani ki ujumla chuo kime play part yake kwenye kuwapika hawa watu
 
First impression says everything.

Hao CIA wakiwa impressed siku ya kwanza ndo wanazidi kukufuatilia.

Ila wewe siku ya kwanza ukionekana chenga hata upewe mwaka mzima hautabadilika.
Mkuu, first impression kwenye kujibu few random questions? Mkuu, unataka kuniaminisha kwamba aliyefaulu interview ilhali alisoma PCM A level anaweza kuwa na contents nyingi kichwani kumzidi yule aliyefeli interview hiyo hiyo na alisoma ECA?
 
Nadhani shida ilikua kwa wasailiwa kwa maana kabla ya kwenda kuomba wanafunzi tulipitia mtahala waliokua wanafudishwa hapa chuo. Statistics, Investment, Financial Management, Advance Econometrics, Intermediate Macreconomic yani ki ujumla chuo kime play part yake kwenye kuwapika hawa watu
Mkuu, hao walipikwa theoretically na sio practically. Je, hilo zoezi la kusoma magazeti na kuchambua uchumi ulioandikwa humo waliwahi kufanya huko chuoni?
 
Mkuu, hao walipikwa theoretically na sio practically. Je, hilo zoezi la kusoma magazeti na kuchambua uchumi ulioandikwa humo waliwahi kufanya huko chuoni?

Nahisi hapan. Lkn kama mtu una angalia taarifa ya habari, unaskiliza BBC an DW hauwezi kushidwa ha hiyo kazi. Mfano unangalia BBC dira ya dunia unaskia mradi wa reli alafu alafu unakuta mchumi anaulizwa maswali kwa akili ya kawaida unweza kujua hii habari unahusiana na mambo ya uchumi. Sio kila kitu kinafundishwa chuo
 
Nahisi hapan. Lkn kama mtu una angalia taarifa ya habari, unaskiliza BBC an DW hauwezi kushidwa ha hiyo kazi. Mfano unangalia BBC dira ya dunia unaskia mradi wa reli alafu alafu unakuta mchumi anaulizwa maswali kwa akili ya kawaida unweza kujua hii habari unahusiana na mambo ya uchumi. Sio kila kitu kinafundishwa chuo
Sawa mkuu. Kwa hiyo to make a long story short ni kwamba watahiniwa walishindwa "kujiongeza"?
 
Sawa mkuu. Kwa hiyo to make a long story short ni kwamba watahiniwa walishindwa "kujiongeza"?

Hahaha, Naomba ni si conclude ivyo. Hapa yeyenye kuna dogo mmoja yupo SAUT anasoma sheria mwaka wa nne nilimuuliza ukitaka kuwa jaji (judge) inakuaje akasema hajui. Moyoni nikasema huyu akipita law school aniite ng'ombe.

Cha msingi ni kwamba kuwa update kwenye fild uliyopo fatilia habari, jaribu ku relate mambo uliyosoma na mazingira ya kawaida
 
Back
Top Bottom