Nambie ukweLi tu dadaangu ili nichambue pumba na mucheleee
Fanya hivyo, na kama demu wako ana smart.Meseji hana ila nmemuambia akitumiwa kuanzia sasa azihifadh asizfute kama ushahd kwa badae
Wanakutana wapi mpk anampa hivo vituAaah!!! Sio kweLi mjeda anampa vtu demu lkn demu anavkataa sema haelewi kabsa huyu mjeshi
Hatua ya kwanza, in such a situation, maamuzi hubaki kwa Mwanamke. Yeye ndiye mwenye jukumu la kumuweka mbali, siyo wewe.Basi tuseme mkuu hapo unanishauri nn apo kijana wenu nko over stressed sjawahi penda hv naumia roho san
Daah ukweLi mchungu huuBro hamna mwanamke anayesumbuliwa na mwanaume ni either alishakula pesa za huyo mwanaume au wapo kwenye mahusiano na hapo msumbufu ni wewe.
Dah kweLi mkuu ngja nijarbu kutafta namba ya huyu mjeda nincheki kiuungwana tu niongee nae aiseeHatua ya kwamza, in such a situatiin, maamuzi hubaki kwa Mwanamke. Yeye ndiye mwenye jukumu la kumuweka mbali, siyo wewe.
Kama amefanya jitihada lakini imeshindikana, then face the person kiungwana ili uweze kupata the other side of the story, maana hadi hapo una one side of the story.
Hizo zote ni approaches, baada ya hapo ndiyo action plan hutengenezwa kulingana na taarifa zilizokusanywa.
Sio moro pekee wee ukijichanganya tu utajuaWajeda wa morogoro huku naskia ni watata sana afu wana umoja mkuu naona nkiyavagaa ntakimbia mji mkuu
Amini yaaNi nimejijuta nawachukia sana wajeda aisee kila kitu kofosi tuWajeda kwenye mapenzi wapo week sana kuna ile video sijui ilirecordiwa wap mjeda analazimisha penzi mpaka anambeba mdada juu juu kama guni mrembo anapiga yowe kuomba msaada jamaa limekomaa tu halielewi linawaza kitumbua..hii nchi ina askari wa hovyo sana ani askari hajiamini hata tone...wana mamuzi ya kukurupuka kama ngiri
Daah sio pow kabsa nawaza nimtoroshe twende dsm tu kama haki ynyewe ndo hvSio moro pekee wee ukijichanganya tu utajua
Utamuoa au ndio unachap unapita hiviDaah sio pow kabsa nawaza nimtoroshe twende dsm tu kama haki ynyewe ndo hv
Dah haka nako n kamzozo ila s unajua kunakuwaga na kijumbe wa kufkisha zawadi kwenye mamb kama hayaWanakutana wapi mpk anampa hivo vitu
Nimemtoa bk mwenyewe lengo langu n kumuoa tu hakuna cha ziadaUtamuoa au ndio unachap unapita hivi
Sasa ulikuwa wapi mpka mwqnajeshi anakula?Nimemtoa bk mwenyewe lengo langu n kumuoa tu hakuna cha ziada
Sijajua kama mwanajeshi amewahi kumkula huyu manz ila manzi ananambia hajawah kutembea nae sema ukweli y ndo anauju lknSasa ulikuwa wapi mpka mwqnajeshi anakula?
Hakika!Kwa RAIA wa sampuli hii Waarabu wameshabeba Bandari zetu.
Nilishaishi na hao watu nawaelewa ila walinielewa zaidi, iwe ni uongozi, uanajeshi au iwe ni chochote alicho nacho mtu hicho ni chake kwa maslahi yake na shida zake, lakini kwenye maslahi yangu mimi pia ni mtawala na mlinzi mkuu.Ulimwengu huu mwenye kisu kikali ndio anayekula nyama, tusifarijiane.
Kwema niko chaka mji kasoro bahari huku nimepata mwanamke mzuri sana ananipenda tena yuko vzr haswaa ila changamoto ni Hawa jamaa sijui wapoje ningekua na uwezo wa kumroga ningemroga uyu jamaa anamsumbua demu wangu.
Mda mrefu sasa anafkia hatua ya kumtishia maisha kisa yy mjeshi.
Wakuu, naumia roho sana namuona kioenzi changu anakosa furaha kisa mtu mmoja tu.
Kama upo humu ww mjeda acha kufosi tafuta wako pesa na soon naenda kukupga kimbola naenda Tanga kununua uchawi ww s unarngia madaraka afu mtu mwenyewe kuruti hana vyeo hauna.