Wanajeshi acheni ubabe, mapenzi hayafosiwi. Kwa nini ufosi ikiwa mtu hakutaki?

Watanzania ni matako,tunaogopa wanajeshi kuliko Mungu,kufa mara Moja,kuloga ni umama Mzee nenda kamuwashie moto,Mimi siogopi Kifo hasa kama naona naonewa.Ila hakikisha una gang gang maana wakichapikaga wanaitaga wenzao.
 
Kama uyo mwanamke wako anakulalamikia kuhus uyo mjeda kuna aslimia kubwaa uyo demu ameshamlaaa
 
Itakuwa humpendi huyo mwanamke, maana the things mtu aliyependa anaweza kukufanya ukitishia penzi lake, hata shetani anakaa pembeni ajifunze 😂
 
Huyo lazima nimgonge utake usitake! Labda uhame!
 
Itakuwa humpendi huyo mwanamke, maana the things mtu aliyependa anaweza kukufanya ukitishia penzi lake, hata shetani anakaa pembeni ajifunze 😂
Kwamba ameamua kunitishia au...?
 
Yaani unatetea mwanamke na kumlilia daa we jamaa
Wanaume hatugombanii mwanamke maana wapo wengi sana

Je unajua Urusi kuna wanawake milioni 9 zaidi ya wanaume?

Acha niende Moscow
 
si ukute ulimkuta naye, ameshagaramia sana, afu wewe unataka kuchuma. kwa akili ya kawaida hata uwe na cheo gani kama hakuna hasara mwanamke amekuingiza, utamtishiaje? akisema tu sikutaki nenda kwengine, utalazimishaje awe kwako? hapo mwenye shida ni mwanamke wako, mwambie afunguke vizuri, amekula vya watu huyo na hayo aliyomfanyia mjeshi kuna siku atakufanyia na wewe. acheni umalaya. afu, huyo mwanamke angekuwa anakuhitaji kweli, angeshampa makavu mazito na mjeshi wala asingeendelea kumng'ang'ania. hapo huna mwanamke.
 
Aaah!!! Sio kweLi mjeda anampa vtu demu lkn demu anavkataa sema haelewi kabsa huyu mjeshi
Sasa nakushauri wwe aanza process za kupeleka mahari ukweni ili upewe hati miliki ya kumiliki hicho chombo, la sivyo hadi Sasa wwe na mjeshi mnacheza kamari kwa huyo Demu! Na mnaweza kuta wote mkamkosa akaja wakuja na akachukua jumla!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…