Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Kama upo humu ww mjeda acha kufosi tafuta wako pesa na soon naenda kukupga kimbola naenda Tanga kununua uchawi ww s unarngia madaraka afu mtu mwenyewe kuruti hana vyeo hauna.
Kabsa yaaNi maan inawezekana maan hata tabia zao hawa zaendana afu wote ni morogoro shenzi zaoInawezekana ni huyu 👇
Wewe Askari Uliyezimikiwa Pikipiki Barabarani Punguza Ubabe
Ujumbe huu ni kwa wewe askari uliyezimikiwa bodaboda yako mchana maeneo ya 88 Gloness Morogoro leo mchana, ulijua kabisa chombo chako hakina mafuta ya kutosha still ukaingia nacho barabarani, kimekatikiwa mafuta ukagandisha nacho barabarani ati hata wenye magari wakupishe, baada ya honi kuzidi...www.jamiiforums.com
Hapa ww umenipa ushauri sahihi kabsa kesho naenda kukutana nae manzi wanguHayajuagi kutongoza hayo, hayako romantic. Mjeda hutanguliza sana pesa, wao ni pesa mbele.
Huyo dem wako ukianza kuona mabadiliko tu mara kanunua hiki mara kile ujue mjeda keshatia tim. Hawaonagi noma kumpa robotatu ya mshahara kila mwezi.
Mbona simple tu kuwapotezea watu wa sampuli hiyo. We uwe unampa mbinu manzi yako na umtoe hofu kua wewe utamlinda. Huo unyonge wako ataliwa kweli.
Jinai haijadiliwi.Kwema niko chaka mji kasoro bahari huku nimepata mwanamke mzuri sana ananipenda tena yuko vzr haswaa ila changamoto ni Hawa jamaa sijui wapoje ningekua na uwezo wa kumroga ningemroga uyu jamaa anamsumbua demu wangu.
Mda mrefu sasa anafkia hatua ya kumtishia maisha kisa yy mjeshi.
Wakuu, naumia roho sana namuona kioenzi changu anakosa furaha kisa mtu mmoja tu.
Kama upo humu ww mjeda acha kufosi tafuta wako pesa na soon naenda kukupga kimbola naenda Tanga kununua uchawi ww s unarngia madaraka afu mtu mwenyewe kuruti hana vyeo hauna.
Hao dawa yao ndogo, nikijua jina lake kamili tu afu nikaenda kikosi anachofanyia kazi, ameisha.Kama una uhakika anamtishia maisha na ushahidi upo niambie nikupe njia sahihi ya kwenda kumuwajibisha huyo jamaa ila cha msingi awe mkeo au mchumba ambaye ni rasmi mpo kwenye mikakati ya ndoa , barua, au utambulisho unajulikana kanisani au kwa wazazi wenu wote.
[emoji23]Mkuu SI uli niambia uko Madagascar [emoji848], na Hauwezi kuishi nchi yenye vumbi Kama hii[emoji23][emoji16] fundi bishoo
Embu mpe ukweli utupe Siri zenu na nyie maana mna mambo ninyi viumbe vya kike sio poa, isiwe mwanetu analialia bure kuleYaani anamsumbuaje??
Sijui nikwambie ukweli?? Au acha nikuache tuu uendelee kufikiria mpenzi wako anasumbuliwa.
Fundi bishoo ichukue hii kutoka kwa Hannah montana, ukibisha utajutaBro hamna mwanamke anayesumbuliwa na mwanaume ni either alishakula pesa za huyo mwanaume au wapo kwenye mahusiano na hapo msumbufu ni wewe.
Si ndio leo,sawa nendaKUkuachia siwezi tena siku ukinikuta niko nae kama kunipga utanipga uniuwe hata uwe na wajeda wenzio demu skuachii tena kesho jpili nakwenda mtaan kwao we njoo tu saa 1 usku ntakua kwao maan nataka sana nkujue uskute kuruti ww
🤣🤣🤣Tayari....tobo tamu bhanaAcha wabebe tu hyo bandari ila kwa huyu msichana navompenda bandari haina maana kwangu nimependa kijana wenu sioni wala sisikii
Nko njian naelekea ap npo msamvu namchukulia mazaga saa 1 kamili nakua nmfika njooSi ndio leo,sawa nenda
Sawa tena tutaonana nko njian naelkea kwao njoo tena nafkia kwao kbsa njoo tupgane uskmblie kuketa wenzioJiandae kuleta mrejesho maana una kiburi dogo nishakuonya kaa mbali na huyo demu
😃kiukweli nipigwe niuliwe hzp hata kuoa nko tyr nmepnda mm kijana🤣🤣🤣Tayari....tobo tamu bhana
KWanini mkuuKwa akili hizi tutaendelea kuburuzwa sana
🤣🤣🤣Balaa😃kiukweli nipigwe niuliwe hzp hata kuoa nko tyr nmepnda mm kijana