Wanajeshi wa Israel wapo Gaza mjini kati sasa

Wanajeshi wa Israel wapo Gaza mjini kati sasa

Nakulipia nauli ukaishi Sudan ukakutane na ndugu zako waarabu (Janjaweed)
unaweka habari za janjaweed za zaidi ya miaka 20 nyuma
au janjaweed hao ni hawa wa CCM zanzibar??
 
unaweka habari za janjaweed za zaidi ya miaka 20 nyuma
au janjaweed hao ni hawa wa CCM zanzibar??
Siyo miaka 20 nyuma. Hii ni sasa hivi yaani muda huu unaposoma Comment hii. Kuna vita Sudan
Umesikia neno Janjaaweed ukajua ni miaka 20 nyuma?
Sasa hivi inaitwa RSF na bado inafanya mauaji yale yale muda huu tunaongea.
 
Hilo kundi liende kulipua au kuteka waisraeli,litapatiwa haki yake pia

Haiwahusu hiyo wao wanapigania usalama wa nchi yao.
Usalama wa nchi kuua raia wasiokuwa na hatia?
 
unaweka habari za janjaweed za zaidi ya miaka 20 nyuma
au janjaweed hao ni hawa wa CCM zanzibar??
Nataka nikulipie nauli muda huu uende Sudan ndiyo utajua hii ni habari ya miaka 20 au ya hivi karibuni.
Usiwe na wasiwasi Janjaweed (RSF) ni waarabu wenzako yaani ndugu zako.
 
Nataka nikulipie nauli muda huu uende Sudan ndiyo utajua hii ni habari ya miaka 20 au ya hivi karibuni.
Usiwe na wasiwasi Janjaweed (RSF) ni waarabu wenzako yaani ndugu zako.
Mbona janjaweed ni hadithi Za tokea miaka ya Omar Bashir
 
Mbona janjaweed ni hadithi Za tokea miaka ya Omar Bashir
Nataka nikulipie nauli ukaone kama ni hadithi au la.
Unafikiri Janjaweed hawapo? Sasa hivi wanaitwa RSF na shughuli zake zipo pale pale.
Ni sawa na Zain kuitwa Airtel
 
Nataka nikulipie nauli ukaone kama ni hadithi au la.
Unafikiri Janjaweed hawapo? Sasa hivi wanaitwa RSF na shughuli zake zipo pale pale.
Ni sawa na Zain kuitwa Airtel
Unawaita wewe labda wewe ni mmoja wao unatafuta watu humu JF wakajiunge nao au wamekulipa ?😝😝😝
 
Dhu, ndiyo Gaza ilivyobaki hivyo aisee kweli mwana kulitafuta mwana kulipata
Waarabu huwa wana mtindio wa ubongo.
Marekani ukifikisha miaka 18 unaenda kununua bunduki tena bunduki zinauzwa kama pipi dukani lkn hautasikia wameunda kikundi cha kigaidi kupigana na serikali.
Mwaarabu huwa hajali maendeleo, Libya imekuwa magofu sasa.
 
Waarabu huwa wana mtindio wa ubongo.
Marekani ukifikisha miaka 18 unaenda kununua bunduki tena bunduki zinauzwa kama pipi dukani lkn hautasikia wameunda kikundi cha kigaidi kupigana na serikali.
Mwaarabu huwa hajali maendeleo, Libya imekuwa magofu sasa.
Nani alikdanganya ? Hakuna hivyo vikundi Marekani?
Tafuta video Za FBI files utawatakuta humo
 
Unawaita wewe labda wewe ni mmoja wao unatafuta watu humu JF wakajiunge nao au wamekulipa ?😝😝😝
Ni kweli maana tunapata misaada kutoka kwa mashekh na tunaishi misikitini ili tusijeshitakiwa.
Kuna ubaya kuwepo kwa kundi la kigaidi la kiislamu kueneza utawala wa sharia?
Takbir
 
Nani alikdanganya ? Hakuna hivyo vikundi Marekani?
Tafuta video Za FBI files watakuta humo
Makundi yanayoanzishwa Marekani ni makundi ambayo hayana mlengo wa dini, wao kwa ajili ya kufanya biashara ya madawa ya kulevya na shughuli zingine za kiuhalifu kwa ajili ya kupata hela.
*Makundi yanayoundwa na waislamu ni kueneza dini ya uislamu, kueneza utawala wa sharia na kupinga elimu ya magharibi ndiyo maana kuna Islamic State (IS), Boko Haram, Al Qaeda, Hamas n.k
 
Back
Top Bottom