Wanajeshi wa Uingereza wanaacha kazi ya jeshi licha ya malipo bora

Wanajeshi wa Uingereza wanaacha kazi ya jeshi licha ya malipo bora

Hivi unafahamu miaka ya nyuma ya mwanzoni wa uhuru wahindi walikuwepo jeshini? Na wengine walistaafu kabisa na vyeo vyao vya juu?

Na machotara wengineo walikuwepo jeshini?
Ukianzia comment niliyotoa na swali nililouliza mwishoni, kisha ukaja swali nililoulizwa na jibu nililotoa hapa uliponukuu utaona majibu ya swali lako hili.

Mimi naelezea kwanini Wahindi siku hizi hawajiungi jeshi, wewe unauliza kama najua zamani walijiunga. Sasa comparison ya kujua nowadays hawajiungi jeshi ningeipataje.
 
Wanajeshi wa Uingereza wanaacha kazi ya jeshi bila sababu za msingi,licha ya mshahara mzuri wanaolipwa,sababu. Ni Nini?

UK soldiers quit in thousands despite Labour's pay rise

Soldiers are quitting the British Armed Forces at an alarming rate, despite a pay rise over the summer, Report informs via The Telegraph. For the first time on record, there are now just two servicemen or women per thousand people in Britain. Some 15,119 left the Armed Forces in the year to October.8 hours ago
Report İnformasiya Agentliyi › other-countries

Soldiers are quitting the Armed Forces at an alarming rate, despite a pay rise over the summer.

For the first time on record, there are now just two servicemen or women per thousand people in Britain.

Some 15,119 left the Armed Forces in the year to October. Of these, 7,778 were counted as “voluntary outflow”, those choosing to leave of their own accord.

*****†**********
December 22, 2024 15:04
UK soldiers quit in thousands despite Labour’s pay rise
UK soldiers quit in thousands despite Labour’s pay rise
Soldiers are quitting the British Armed Forces at an alarming rate, despite a pay rise over the summer, Report informs via The Telegraph.

For the first time on record, there are now just two servicemen or women per thousand people in Britain.

Some 15,119 left the Armed Forces in the year to October. Of these, 7,778 were counted as “voluntary outflow”, those choosing to leave of their own accord.

The forces recruited just over 12,000 personnel in the same period, resulting in a net shrinkage of the military.

Soldiers are leaving despite the Government’s attempt to stem the recruitment crisis with a 6 per cent pay rise.
Sababu kubwa ni kwamba hakuna maisha bora kwa wanajeshi baada ya kuacha jeshi kwani muda wa kukaa jeshini kwa kawaida ni miaka 4 ndo unakuwa discharged.

Sasa utakuta wengi wao wamepigana Afghanistan, Iraq na kwingine lakini baada ya kuwa discharged wanakuwa na shida ya kupata kazi na ndo huangukia kwenye ulevi na wengine wanakuwa na ile hali yaitwa PTSD au post-Traumatic Stress disorder.

Hawa wote wanokumbwa na hali hizi ni wale wa vyeo vya chini khasa wale privates na wengine huishia kuwa madereva wa mabasi na kadhalika.

Pia wengi wao sasa hivi wafanya kitu chaitwa UpSkilling na wapo katika vyuo vikuu wakifanya kozi zinohusiana na masuala ya ulinzi na usalama pamoja na masuala ya aviation.

Na wenzetu wazungu kwa kutambua hali hiyo, vyuo vikuu vingi sasa hivi vyatoa kozi mbalimbali kwa ajili ya ex-army ili kuwapa ujuzi wakiishatoka humo jeshini.

Wakimaliza hapo hufungua makampuni ya ushauri elekezi au kufanya kazi kwenye makampuni na mashirika makubwa duniani kama washauri elekezi ila hawa ni wale wa vyeo vya juu.

Ukitaka kuwatambua angalia makampuni mengi ya risk management na crisis management utawakuta humo.

Na si hao tu hata polisi nao wengi huacha baada ya miaka miwili au mitatu wakilalamika paperwork nyingi ingawa sasa hivi wengi hupewa laptops wazitumie kuandika statements. Hawa polisi huenda kusoma kozi kama policing na cloud management na pia hufanya kazi za ushauri elekezi.

Mimi nazungumzia real situation kwani wengi nimekutana nao katika harakati za hapa na pale duniani, na mkiketi na kuteta huanza kumwaga stories.
 
Kihistoria Waingereza ni waitikiaji wazuri wa wito wa kwenda vitani. Wanaweza enda vita ambayo hawajashambuliwa wala hawajatangaziwa wao.

Mara ya mwisho mwanajeshi wa adui kukanyaga kwenye British isles ni mwaka 1797, miaka 227 iliyopita.
Mara ya mwisho Urusi kuvamiwa na wanajeshi wa adui ni 2024 hii.

Uingereza kila vita huwa inachukuliwa poa. Yani vita ya kwanza ya dunia na ya pili ya dunia yote hakuna adui alitia mguu Uingereza. Wao ni masters of logistics wanatoka uko kwao wanapigania kwako. Kati ya nchi Waingereza wanazichukulia kawaida kijeshi ni Urusi, kihistoria wana sababu.
Kati ya nchi zinachokuliwa kawaida na Uingereza ni Urusi. Are you kidding us?
 
Unaandika maelezo meengi lakini hoja ni mbili ama tatu ..

Nimekuambia hapo Uingereza na Ufaransa walijitia kiherehere kwenda kupambana na Hitler kilichowakuta ilibidi wananchi wapige kasia za mikono hadi Dunkirk kuokoa askari wao.... Tandikwa sana na mjerumani.... Intel ya Soviet iliona hilo mapema sana...
Kwahiyo kwa uelewa wako Western front iliishia Dunkirk mwaka 1940?

Operation Market Garden ya 1944 unaijua ilifanywa na nani na ilikuwa na ukubwa kiasi gani?

D-Day landings unazijua?

Nani alimtoa Hitler Ufaransa, Uholanzi, North Africa, Denmark?

Nani alivunja mabwawa ya umeme, alivunja submarine pens za German u-boats, nani aliweka naval blockade kwa Ujerumani. Nani alilipua Ruhr industrial complexes?
Kiherehere cha US kutoa misaada ni baada ya kuona alichosema Soviet miaka ya nyuma ni sahihi kwamba waungane ni sahihi, naweza kukuambia Soviet walikuwa na intel makini kuliko Uingereza ama US... Soviet hakuomba misaada ni US walipeleka wenyewe kama walivyopeleka Uingereza, France n.k....
Soviets waliomba misaada kwa Marekani. I have evidence, unabisha?

Na hata wasingeomba, kwanini walipokea kama hawakuhitaji? Umaskini na njaa havina baunsa, walikuwa wachovu.

USSR walikuwa na intel makini alafu mwaka 1939 wakashirikiana na Ujerumani kuivamia Poland, mwaka huo 1939 wakaivamiwa Finland. Alafu wakawa isolated na kila jirani, kisha 1942 wakavamiwa na Ujerumani mpaka Marekani ikatoka mbali uko kuja kuokoa jahazi.
Ndivyo ulivyofundishwa intelijensia kali inakuwa hivyo?😂😂
Soviet walipambana man to man, hilo battle la Kursk hakuna raia walijitokeza kusaidia jeshi walipambana wakawazidi wajerumani na wakawafuata hadi kwao.... Soviet askari wake waliuawa wengi kwa sababu hao ndio washindi namba moja wa WW2... Hao ndio walimmaliza mjerumani US, France na Britain wakaja baadae wanajikongoja....
Soviets walipambana sababu walivamiwa. Marekani na Uingereza hazikuvamiwa.
Soviets walipigana kiume, sio kama Britain wanakimbizwa kutoka Poland hadi wanakuja kuokolewa Dunkirk na mitumbwi ya wananchi...

Hakuna sehemu Soviets walizungukwa wakarudi nyuma , walipambana mbele kwa mbele, kila mjerumani akifanya mbinu na kujipanga jamaa wanakuja..
Unaona tofauti ya mwenye akili na mvivu kichwani, Waingereza walifanya evacuation wanajeshi wao wakawa sehemu ya fighting force. Warusi walikuwa wanatoa mhanga jeshi, sometimes bunduki moja kwa wanajeshi wawili.

Matokeo yake Uingereza ilipata casualties kama 500k wakati Urusi 27 million. Mjanja nani hapo?
Ndio maana nikakuambia Hitler alijimaliza alipofahamu Soviets wanakaribia Berlin na si France wala Britain au baba yao US....
Uingereza na Marekani walikuwa busy kuikomboa Ufaransa kisha Uholanzi, kisha kuingia Ujerumani. USSR na Ujerumani zilikuwa zimeiteka Poland pamoja hivyo technically USSR ilikuwa inapakana na Ujerumani.

Sasa kilichofanya USSR wafe kama kuku ni nini kama sio upuuzi.
Soviets roho ya paka, nguvu aliyotumia Germany east kumkabili Soviet ilikuwa ni nyingi mno kiliko aliyotumia kuwakabili west , lakini Soviet wakawa wa kwanza kugonga hodi Berlin ... m@mae...


Kuhusu kupoteza askari wengi nimesema hapo Germany waliongeza nguvu kadri ilivyowezekana mashariki wakipunguza nguvu magharibi lakini haikusaidia...
Wajerumani walikufa 5 million wakipigana fronts mbili, Warusi wakafa 27 million front moja alafu eti Soviets roho ya paka 😭
Unapozungumzia vita Russia ndio viumbe wenye damu za vita hilo hata NATO wanatambua... Hawana useng3 sijui air superiority imefanya nini mara blah blah blah, wenyewe ni mguu kwa mguu unatandikwa hadi unakimbia mwenyewe .... Aliyemmaliza Germany ni Soviet hilo lipo wazi ...
Soviets wanapigana kama vibaka, wanakufa kwa sifa. Hawataki akili bali nguvu tu, sasa ona ulivyo mshamba unawasifia hawana air superiority. Sasa hilo jeshi la superpower au mgambo.
Uingereza, Ujerumani zinapigana kama watu wenye akili timamu.
Soviets sio waoga elewa hilo kwanza, Germany ilidhani ingewatisha kwa kuwaua wengi pale Kursk lakini kila wanapokufa jamaa wengine wanakuja na mzuka wanaanza moja , m@mae... Germans wakaona hawa ni alien ama watu, wakaanza kurudi nyuma wenyewe....
Na Soviets wakafa kama kuku, hata Wajerumani wenyewe waliovamia hawakufa hata 25% ya idadi ya Warusi. Bado huoni nani alikuwa boya vitani?
Britain walikuwa wanakimbia vita, vita ya ujanja ujanja, ndio maana France shoga yake alipigwa akafuatwa hadi kwake Paris huku Britain yupo hoi akitizama shoga yake anaolewa ndoa ya mkeka na mjerumanj na jamaa kaufyata....
Aliyeikomboa Ufaransa nani kama sio Uingereza na Marekani, Urusi iliikomboa nchi gani ukiachana na yenyewe tu?
Wakati Ufaransa inavamiwa, USSR si ilikuwa inalamba viatu vya Ujerumani mwaka huo.
Hitler ujanja wake na nguvu zake ziliishia kwa Soviets...

Ndio maana hadi leo hakuna mpuuzi na NATO yote atajitoa akili mbele yao.
Soviets ndio walivamiwa na Ujerumani.

Inashangaza wewe kutaka Uingereza na Marekani ndio iwapige Soviets. Ni wanajeshi sifuri wa Ujerumani walikanyaga ardhi ya Uingereza. Ni wanajeshi sifuri Wajerumani walikanyaga ardhi ya Marekani. Ni mamia ya maelfu ya Wajerumani waliivamia USSR.

Kitendo cha kuitaka Marekani ipigane na Ujerumani ndio unarudi palepale kudhibitisha kuwa USSR haikuwa na nguvu hizo unazoipa. Vita ya Kagera ila unawalaumu Wakenya kutokufa sana, walivamiwa wao?
 
Kwahiyo kwa uelewa wako Western front iliishia Dunkirk mwaka 1940?

Operation Market Garden ya 1944 unaijua ilifanywa na nani na ilikuwa na ukubwa kiasi gani?

D-Day landings unazijua?

Nani alimtoa Hitler Ufaransa, Uholanzi, North Africa, Denmark?

Nani alivunja mabwawa ya umeme, alivunja submarine pens za German u-boats, nani aliweka naval blockade kwa Ujerumani. Nani alilipua Ruhr industrial complexes?

Soviets waliomba misaada kwa Marekani. I have evidence, unabisha?

Na hata wasingeomba, kwanini walipokea kama hawakuhitaji? Umaskini na njaa havina baunsa, walikuwa wachovu.

USSR walikuwa na intel makini alafu mwaka 1939 wakashirikiana na Ujerumani kuivamia Poland, mwaka huo 1939 wakaivamiwa Finland. Alafu wakawa isolated na kila jirani, kisha 1942 wakavamiwa na Ujerumani mpaka Marekani ikatoka mbali uko kuja kuokoa jahazi.
Ndivyo ulivyofundishwa intelijensia kali inakuwa hivyo?😂😂

Soviets walipambana sababu walivamiwa. Marekani na Uingereza hazikuvamiwa.

Unaona tofauti ya mwenye akili na mvivu kichwani, Waingereza walifanya evacuation wanajeshi wao wakawa sehemu ya fighting force. Warusi walikuwa wanatoa mhanga jeshi, sometimes bunduki moja kwa wanajeshi wawili.

Matokeo yake Uingereza ilipata casualties kama 500k wakati Urusi 27 million. Mjanja nani hapo?

Uingereza na Marekani walikuwa busy kuikomboa Ufaransa kisha Uholanzi, kisha kuingia Ujerumani. USSR na Ujerumani zilikuwa zimeiteka Poland pamoja hivyo technically USSR ilikuwa inapakana na Ujerumani.

Sasa kilichofanya USSR wafe kama kuku ni nini kama sio upuuzi.

Wajerumani walikufa 5 million wakipigana fronts mbili, Warusi wakafa 27 million front moja alafu eti Soviets roho ya paka 😭

Soviets wanapigana kama vibaka, wanakufa kwa sifa. Hawataki akili bali nguvu tu, sasa ona ulivyo mshamba unawasifia hawana air superiority. Sasa hilo jeshi la superpower au mgambo.
Uingereza, Ujerumani zinapigana kama watu wenye akili timamu.

Na Soviets wakafa kama kuku, hata Wajerumani wenyewe waliovamia hawakufa hata 25% ya idadi ya Warusi. Bado huoni nani alikuwa boya vitani?

Aliyeikomboa Ufaransa nani kama sio Uingereza na Marekani, Urusi iliikomboa nchi gani ukiachana na yenyewe tu?
Wakati Ufaransa inavamiwa, USSR si ilikuwa inalamba viatu vya Ujerumani mwaka huo.

Soviets ndio walivamiwa na Ujerumani.

Inashangaza wewe kutaka Uingereza na Marekani ndio iwapige Soviets. Ni wanajeshi sifuri wa Ujerumani walikanyaga ardhi ya Uingereza. Ni wanajeshi sifuri Wajerumani walikanyaga ardhi ya Marekani. Ni mamia ya maelfu ya Wajerumani waliivamia USSR.

Kitendo cha kuitaka Marekani ipigane na Ujerumani ndio unarudi palepale kudhibitisha kuwa USSR haikuwa na nguvu hizo unazoipa. Vita ya Kagera ila unawalaumu Wakenya kutokufa sana, walivamiwa wao?
Mkuu, kuhusu hapo mwisho kwa majeshi ya kisovieti.

Majeshi ya kisovieti (pamoja na vifo vyao vingi) ndo yaloingia mjini Berlin mwezi April 1945 na Adolf Hilter kutafuta kitanzi cha kujinyongea.

Hiyo ilitokea baada ya vita kali iloitwa "Battle of Berlin" iloendeshwa na majeshi ya umoja wa Kisovieti na ndo ilopelekea kutokea kwa kiloitwa "The Fall of Berlin" ambapo serikali ya kinazi ya Karl Donitz ilijisalimisha.

Majeshi ya umoja wa kisovieti yalikuwa yamelenga kuingia Berlin tangia mwezi January 1945 kutokea Kusini na Mashariki mwa mji wa Berlin kuwasaka manazi.

Yaaminika Hitler alijinyonga terehe 30 April 1945 na baadhi ya majeshi yake yakendelea kupigana huku yakikimbia kuelekea upande wa kaskazini magharibi ambako tarehe 8 Mei 1945 yalijisalimisha kwa majeshi ya Ulaya Magharibi au Western Allies.

Kama hufahamu ni kwamba historia ya hizi vita kuu ya kwanza na ya pili imekuwa ikichakachuliwa kidogokidogo ili kupindisha ukweli halisi wa kilichotokea khasa pale vita kuu ya pili ilipoishia, ndo maana Russia tarehe yao huwa ni tarehe 9 Mei na Ulaya Magharibi ni tarehe 8 Mei.

Ila ukweli wabakia kuwa ni majeshi ya Russia (pamoja na idadi kubwa ya vifo vya wanajeshi wake) ndo walotia timu mjini Berlin kuumaliza unazi na kupandisha bendera juu ya Reichtag mwezi Mei mwaka 1945.

Yapo mengi kuna manazi walozaliwa baada ya hawa walojisalimisha na wapo walokimbia barani Ulaya na kusambaa Duniani kote na leo ukisikia kuna wazungu wenye misimamo mikali wasopenda wageni katika nchi zao basi ufahamu kuwa huenda wana vinasaba vya manazi.

Vinasaba vya unazi vikimaanisha kuwa wao ni super race na ndo wenye haki miliki ya Dunia hii.
 
Wanajeshi wa Uingereza wanaacha kazi ya jeshi bila sababu za msingi,licha ya mshahara mzuri wanaolipwa,sababu. Ni Nini?

UK soldiers quit in thousands despite Labour's pay rise

Soldiers are quitting the British Armed Forces at an alarming rate, despite a pay rise over the summer, Report informs via The Telegraph. For the first time on record, there are now just two servicemen or women per thousand people in Britain. Some 15,119 left the Armed Forces in the year to October.8 hours ago
Report İnformasiya Agentliyi › other-countries

Soldiers are quitting the Armed Forces at an alarming rate, despite a pay rise over the summer.

For the first time on record, there are now just two servicemen or women per thousand people in Britain.

Some 15,119 left the Armed Forces in the year to October. Of these, 7,778 were counted as “voluntary outflow”, those choosing to leave of their own accord.

*****†**********
December 22, 2024 15:04
UK soldiers quit in thousands despite Labour’s pay rise
UK soldiers quit in thousands despite Labour’s pay rise
Soldiers are quitting the British Armed Forces at an alarming rate, despite a pay rise over the summer, Report informs via The Telegraph.

For the first time on record, there are now just two servicemen or women per thousand people in Britain.

Some 15,119 left the Armed Forces in the year to October. Of these, 7,778 were counted as “voluntary outflow”, those choosing to leave of their own accord.

The forces recruited just over 12,000 personnel in the same period, resulting in a net shrinkage of the military.

Soldiers are leaving despite the Government’s attempt to stem the recruitment crisis with a 6 per cent pay rise.
Wanawaza watatumwa Iran au Yemen kwa wanaojua kujilipua.
 
Wamenusa shughuli pevu in the near future!
Uingereza inapenda vita, na wanatamani kinuke kule kwa Putin ili ipeleleke askari kibao. Wanajeshi wamestukia kuwa wanataka kupelekwa kwenye vita isiyo na masilahi ya kitaifa, bora kuchomoa sasa hivi.

NB: ni hisia zangu.
 
USA wala Britain hazikutangaziwa vita na Nazi Germany. Elewa mambo kijana.

Nazi Germany ilitangaza vita dhidi ya Poland na Ufaransa, zikafuata nyingine baadae kina Holland na Sweden na Urusi uko. Uingereza ndio ilitangaza vita dhidi ya Ujerumani. Pia baadae miaka kama mitatu US ikatangaza vita dhidi ya Marekani.

UK na US zilipigana na Ujerumani kwa msaada, kuwasaidia wanyonge wasizidiwe. Hakukuwa na sababu ya msingi ya US kuingia vitani, hakukuwa na sababu ya msingi ya Britain kuingia vitani ila tu kupinga Fascism.

Urusi ilistahili ipigane na Ujerumani sababu ilivamiwa, sasa ulitaka isipigane ipiganiwe na nani baba yake au? Soviets walikuwa vibonde waliteswa na kanchi kamoja ka Finland, Ujerumani ikawaona hamna kitu.

Hakuna cha kushukuru Mungu, Mungu hakuwa vitani. Ujerumani ilipigwa na Uingereza. Get your facts right.

Ujerumani ilienda na ndege zaidi ya 2,500 wakati Uingereza merely ilikuwa na ndege 700 ila matumizi ya akili, mipango, training na valor ya Waingereza (ambavyo nyinyi Warusi huwa hamtaki bali kutumia nguvu nyingi na akili kidogo) ndio uliwafanya ku-inflict casualties nyingi kwa Germany Airforce.

Bombers na fighters zilikuwa zinatoka Ujerumani direct hadi Uingereza kwa miezi kadhaa mfurulizo ila zilipigwa. Warusi wana linchi likubwa ndege za Ujerumani zinakuja zinatua njiani kwanza mara Poland mara nchi gani. Na bado Warusi wakapigwa wakachaa hadi wakafa milioni 20.

Ulitaka nani ashirikiane na Soviet Union kule Eastern Front?

Wasovieti walikuwa washamba tu. Wakati Ujerumani inavamiwa Poland mwaka 1939, wao wakaisadia kuvamia Finland kwenye Winter war mwaka huohuo na wakaonekana maboya wamepata casualties nyingi dhidi ya kanchi kadogo.

Mwaka huohuo 1939 Soviets waliivamia Poland wakishirikiana na Ujerumani, wakaigawana nusu. Wakafanya na Katyn massacre kwa kuuwa wafungwa wa kivita 22,000 wa Poland (ni kawaida ya Soviets, they were human scums).

Mwaka huohuo 1939 Soviets na Nazi Germany waliandika mkataba wa kusaidiana kijeshi na kivita. Ulisainiwa na mawaziri wao wa mambo ya nje Molotov-Ribbentrop PactView attachment 3183574
Hawa hapa majangiri Viacheslav Molotov (kushoto) na Joachim von Ribbentrop (kulia) siku wamesaini mkataba wasaidiane kijeshi.

Baadae kutokana na kwamba wachawi hawaaminiani, Ujerumani kwa sababu zilezile ilizoona wengine ni mafala ikagundua Warusi ni mabwege zaidi. Miaka mitatu baadae ikaamua ivamie mabwege.

Sasa unamlaumu nani ambaye angeshirikiana na USSR kule Eastern front. Unashirikiana vipi na fedhuri na mwehu?

USSR walisaidiwa kupunguziwa mzigo wa kupigana Western front ili Ujerumani igawane war resources pande mbili izidiwe. UK na US zingeweza kuwaacha Wajerumani wawapige Wasovieti na nchi yao igeuzwe mashamba ya ngano (ndicho Hitler alitaka baada ya kuona UK ni wagumu alafu kilimo chao hata Morogoro ikiamua kulima inawazidi, alafu USSR washamba tu na linchi lina kila kitu).

Marekani ilitoa msaada huu hapa kwa Urusi, sababu kama Urusi ingetekwa basi Marekani ingewajibika kuikomboa. Warusi kwa training za hovyo na kutojali uhai wakawa wanakufakufa tu vitaniView attachment 3183587
Ni kweli mmarekani alimkodisha vifaa vya kijeshi Ila urusi alipigana akakomboa inchi nyingi ndio akaunda USSR ndio maana walikufa wengi.Hata nchi za magharibi zinakili urusi alitumika Sana na inasemekana Hitler alifanyia makosa kuvamia Urusi
 
kuvamia kisiwa na ardhi tambarare ni sawa?
uingereza haiwezi kuvamiwa kirahisi kwa sababu ni kisiwa, na Urusi kuvamiwa na ukraine ni jambo la kawaida maana Urusi mara zote imekuwa ikivamiwa tokea upande huu wa ardhi ya Ukraine.....

kisiwa cha uingereza hakiwezi kuichukulia poa urusi kwa sababu hawajawahi kupigana......
btw uingereza haina uwezo mkubwa kijeshi, hata ingetokea akapigana na Ukraine atapigwa tena ukraine asingehitaji msaada kama anavyotegemea msaada leo!
Duh!!!! Wacha-mbuzi wengine bhana!!!!
It's comical.
 
Ni kweli mmarekani alimkodisha vifaa vya kijeshi Ila urusi alipigana akakomboa inchi nyingi ndio akaunda USSR ndio maana walikufa wengi.Hata nchi za magharibi zinakili urusi alitumika Sana na inasemekana Hitler alifanyia makosa kuvamia Urusi
Soviet Union ilizikomboa nchi gani vita ya pili ya dunia mkuu?
 
Uingereza hawalipi vizuri wanajeshi hasa sailors. Report yako inasema "malipo yameongezwa" ila haitokaa itokee malipo ya civilian market yawe juu ya malipo ya defence contractors. Kwa nchi nyingine ni hivyo ila kwa Uingereza ni vibaya zaidi.

Mfano ili mtu awe Royal Navy submarine captain anatakiwa awe na akili sana, experience kubwa, uwezo binafsi wa hali ya juu, ana risk kubwa ya kuachishwa kazi, hana option ya kuhama kazi sababu submarines zinamilikiwa na serikali na hawezi hama jeshi kutoka Uingereza kwenda labda Spain. Na bado submarines ni chache na zina kazi ngumu.

Wakati mtu mwenye uwezo mdogo nusu ya submarine captain anaweza ajiriwa na shirika la ndege la Uingereza, British Airways akalipwa mshahara uleule, kazi nyepesi kabisa, uzoefu wa kawaida, options za kuacha kwenda mashirika mengine zipo nyingi, risks za kuachishwa kazi ni chache, kuna uhuru wa kufanya kazi, na ndege zipo nyingi shirika hilo au mashirika mengine. Na kazi ina bonus.

Popote pale mtu mwenye uwezo mkubwa anaweza kupata kazi nzuri kwenye civilian market kuliko jeshini. Ford, Tesla, BYD, Volkwagen wanatengeneza mamilioni ya magari models mpya kila mwaka na kila miaka kama mitano magari yanaharibika wateja wananunua mengine. Wakati mfano kampuni ya Nexter ya Ufaransa tangu iunde Leclerk main battle tank mwaka 1992 mpaka leo haijawahi unda type nyingine na wateja ni nchi kama tatu tu, na vifaru vyote vilivyoundwa tangu mwaka huo bado vipo. Imagine design engineer wa hiyo kampuni ana miaka kadhaa hajawahi lipwa bonus wakati waliopo Volkwagen wanafyatua magari tu.

Boeing B-52 Stratofortless zimeanza kuundwa tangu 1952 na ya mwisho iliundwa 1962 ila mpaka leo zipo zinafanyiwa upgrade tu. Wakati Boeing za abiria zinauzwa maelfu kila mwaka na kila muongo wanatoa products kadhaa mpya kwenye assembly line na kila miaka kama 20 ndege inaacha kutumika. Hivyo kimauzo huwezi tegemea engineer wa military market alipwe sawa na civilian market. Same thing na jeshini.

Hata kwenye software, engineers waliounda NATO Link 16 walimaliza 1970s, Link 22 ni ya 1980s na mpaka leo ndio zinatumika kwenye communications zote za ndege za NATO. Wakati kwenye civilian market consumers huwa wanachoka kitu bila sababu za msingi. Windows 11 na 10 zina tofauti ndogo sana, ila watu wamelipwa kutoa Windows 11. Android versions kila mwaka, iOS kila mwaka. 3G, 4G, 5G na 6G iko njiani.

Hela zinamwagwa kwenye research na kuna malipo, marupurupu, zawadi, recognition na sense of accomplishment. Kwenye soko huru its likely watu wenye uwezo mkubwa wasiende jeshini.
Kenyan Airforce miaka ya 70s ndio ilikuwa inapeleka marubani kusoma bure ili waendeshe ndegevita, matokeo yake wakirudi wanaenda civilian market kuendesha East African Airways, last week Rais wa Nigeria amesaini sheria maofisa wa jeshi lazima watumikie miaka si chini ya 15. Walikuwa na tabia ya kusomeshwa bure wanapata ujuzi unaolipa vizuri mtaani kisha wanafanya kazi miaka michache jeshini na kuacha kazi. Mnahisi kwanini Wahindi waliacha kujiunga na JWTZ?
Tupe darasa mkuu.
 
Ni upofu tu huyo na chuki yake dhidi ya Russia inayomfanya anashindwa kusimamia ukweli.

UK alichakazwa akatulia hakuwa na nguvu yoyote ya kuleta mapinduzu dhidi ya Germany.

France alipigwa ndani ya miezi 6 na Hitler jeshi lake lina pita mitaani raia wanaona jeshi la Nazi likipita mitaani kwa ushindi.

Nguvu kubwa sana Hitler akiipeleka Russia. Na akitaka ajue hili aangalie idadi ya kikosi alichokipeleka Hitler kwa mara ya kwanza Russia.

Alipeleka jeshi kubwa ambalo hakupeleka nchi yoyote tangu aanze mashambulizi yake.
Jamaa mahaba yanampofusha...
 
Hizi zilizojiunga na NATO kama Estonia na zingine
Estonia ilikuwa ni sehemu ya Soviet Union. Ni sawa na useme USSR iliikomboa Russia.

Siijui nchi iliyokombolewa na Soviet Union ila nazijua nchi zilizovamiwa na Soviets kwenye hiyo WW2.
 
Mpaka makamanda wa Germany wakawa wanasema maiti ya warusi iuwe mara 2.

Yaani umepiga risasi kafa iuwe tena maiti, ukipiga mara 1 Mrusi anaweza akafufuka.

Defensive line ya mwisho wanapambana na jeshi la Hitler wanauliwa wanabaki 28. Makamanda wanaomba reinforcement wanaambiwa hakuna nyinyi ndiyo line ya mwisho. Baada ya nyinyi inayofuata ni Moscow.

Warusi walipambana walibaki 6 tu! Wengine wote walikufa. Mpaka leo wamejenga masananu yao kuwaenzi hao askari 6 waliyobaki.

West kwa vile hawawapendi Russia wanabaki kusema ni myth! Ila ingelikuwa wao wangejipamba kwa maneno matamu na mazuri mengi.
Umetisha mkuu kwa hii simulizi...
 
Btw Ukraine ilikuwa sehemu muhimu sana ya jeshi la USSR kwa wapiganaji hasa professionals na teknolojia za kijeshi.

Ndio maana hadi leo Putin anashindwa kuelewa kwa nini Ukraine iwe nje ya Russia na kuambatana na mahasimu wa EU/NATO. Anataka sana kusahihisha hilo kosa la viongozi waliomtangulia.
USSR ilikuwa kubwa hivyo kusema Russia ndio iliipiga Ujerumani ni kauli za pro-Russians kutaka kuikuza. Peke yake ni jeshi la kawaida mbele ya Uingereza au Ujerumani kwenye rekodi za vita zote.

Ukraine somehow sio wepesi kwenye battle na kwenye WW2 akili za USSR ziliamini defensive lines zilizopo Ukraine zitatosha kabisa kumsimamisha adui. Hata kwenye doctrine za Cold War, Ukraine ilikuwa na defensive lines nyingi na concentration kubwa ya jeshi.

Urusi iliwahi pigwa na Japan wakasuruhishwa na Marekani, iliwahi wekewa naval blockade na Uingereza kwenye bahari yake yenyewe.
Poland baada ya WW1 waliipiga Urusi ikiwa yenyewe. Sasa eti nchi ilipigwa na Poland inalinganishwa na mababa wa vita.
Nchi iliyokuwa inapigana na vi-Georgia na Latvia ingeishinda vipi nchi kama Uingereza wakiwa peke yao. Wakati Uingereza ilizoea kupigana na wababe kina Ufaransa, Hispania.

Imperial Russia ilikuwa inaambulia kuwapiga Waturuki na baadae Ottomans ila wazungu wenzake inateseka kasoro Napoleon aliyeshindwa na hali ya hewa.
 
Kwahiyo kwa uelewa wako Western front iliishia Dunkirk mwaka 1940?

Operation Market Garden ya 1944 unaijua ilifanywa na nani na ilikuwa na ukubwa kiasi gani?

D-Day landings unazijua?

Nani alimtoa Hitler Ufaransa, Uholanzi, North Africa, Denmark?

Nani alivunja mabwawa ya umeme, alivunja submarine pens za German u-boats, nani aliweka naval blockade kwa Ujerumani. Nani alilipua Ruhr industrial complexes?
Huelewi nini hapo?, France alivamiwa shoga yake Britain kajipeleka kuokoa jahazi, wakapigwa wote ,askari wakapitia Dunkirk kwa misaada ya mitumbwi ya wananchi wenye huruma 🤣

Nitabaki na jibu moja tu, Soviets ndio walimmaliza Hitler, hata hapo juu umeambiwa lakini bado umekaza fuvu unataka kurefusha mjadala...

PAsipo SOviet kujitoa kiume kupambana ana kwa ana na Germans, West na wao wangekufa tena wengi sana, damu ya wasoviet ndio ikawa pona ya hao west....
Uingereza na Marekani walikuwa busy kuikomboa Ufaransa kisha Uholanzi, kisha kuingia Ujerumani. USSR na Ujerumani zilikuwa zimeiteka Poland pamoja hivyo technically USSR ilikuwa inapakana na Ujerumani.

Sasa kilichofanya USSR wafe kama kuku ni nini kama sio upuuzi.
Britain ilikuwa imemalizwa wamebaki wanachechemea, ndio maana baada ya hitler kuahirisha, hakuw na hofu sana kuichukua Britain, historia inasema hakuwa na wasi wasi kama amepoteza hilo eneo lakini alijua atarudi ndipo akaenda akamalizwa na Soviets...
Wajerumani walikufa 5 million wakipigana fronts mbili, Warusi wakafa 27 million front moja alafu eti Soviets roho ya paka 😭
Germany ilipeleka vifaru elfu kumi na askari milioni 3, halafu wakarusha na ndege , waliingia na hio mbinu yao waliita blitzkrieg..

Halafu kasome historia vyema na uache uongo, askari wa Soviet walikufa inakisiwa kati ya 8 millions hadi 10 Miliions, ukichanganya na vifo vya raia wa Soviet ndipo inafika around 24 Mils, ho askari milioni 27 umetolea wapi?

Soviets wanapigana kama vibaka, wanakufa kwa sifa. Hawataki akili bali nguvu tu, sasa ona ulivyo mshamba unawasifia hawana air superiority. Sasa hilo jeshi la superpower au mgambo.
Uingereza, Ujerumani zinapigana kama watu wenye akili timamu.
Nilishatizama vita kwenye documentary, askari wa USA wanavamia Afghanistan, ni kituko cha karne, nikasema kama jeshini ndio hivi ndio maana na mashoga wanapatikana kwenye majeshi yao, wale jamaa ni walaini sana, kidogo tu wanaita air support, unaona A10 hio inapita kushambulia, Taliban walikuwa wakiwagusa kidogo tu jamaa hao wana radio wanalia hadi machozi wanabubujikwa wanataka air support, ukiangalia umbali walipo na ha Taliban utacheka, karibia km 5, yaani machine guns mtu ana shoot ana shoot miti na ile kuwa fukuza jamaa wasisogee....

Hao vita hawawezi na ni waoga, anayepigana man to man ni Russians tu...
Ukiwaweka Taliban 500 na askari wa US 1000 kwenye uwanja wa mapambano hakuna air support, nakuambia na ninakuhakikishia askari wa US wanamalizwa wote....

Hakuna jeshi la ovyo na vituko kama hao NATO wkiongozwa na US, wana uchumi, wana silaha, wana vifaa lakini vita ni sifuri... Ndio maana unaona Israel inapelekeshwa na kikundi cha Hamas hadi wanatoa mlio....

NATO ni hovyo ..... hakuna cha us3nge wa NAVY SEAL wala ushuzi wa Army Rangers labda kwenye movies, jamaa ni chapati...

Ndio maana hadi sasa NATO wanaogopa na kujitafakari kuingia RUssia, ndio maana unaona askari wa Britain wana left jeshi, ni majitu maoga sana....



Soviets ndio walivamiwa na Ujerumani.

Inashangaza wewe kutaka Uingereza na Marekani ndio iwapige Soviets. Ni wanajeshi sifuri wa Ujerumani walikanyaga ardhi ya Uingereza. Ni wanajeshi sifuri Wajerumani walikanyaga ardhi ya Marekani. Ni mamia ya maelfu ya Wajerumani waliivamia USSR.

Kitendo cha kuitaka Marekani ipigane na Ujerumani ndio unarudi palepale kudhibitisha kuwa USSR haikuwa na nguvu hizo unazoipa. Vita ya Kagera ila unawalaumu Wakenya kutokufa sana, walivamiwa wao?
Alivamia kweli Soviet lakinisi si ndipo ikawa mwisho wake... tandikwa hadi Berlin, akajua Soviets ni walaini walaini...
 
USSR ilikuwa kubwa hivyo kusema Russia ndio iliipiga Ujerumani ni kauli za pro-Russians kutaka kuikuza. Peke yake ni jeshi la kawaida mbele ya Uingereza au Ujerumani kwenye rekodi za vita zote.

Ukraine somehow sio wepesi kwenye battle na kwenye WW2 akili za USSR ziliamini defensive lines zilizopo Ukraine zitatosha kabisa kumsimamisha adui. Hata kwenye doctrine za Cold War, Ukraine ilikuwa na defensive lines nyingi na concentration kubwa ya jeshi.

Urusi iliwahi pigwa na Japan wakasuruhishwa na Marekani, iliwahi wekewa naval blockade na Uingereza kwenye bahari yake yenyewe.
Poland baada ya WW1 waliipiga Urusi ikiwa yenyewe. Sasa eti nchi ilipigwa na Poland inalinganishwa na mababa wa vita.
Nchi iliyokuwa inapigana na vi-Georgia na Latvia ingeishinda vipi nchi kama Uingereza wakiwa peke yao. Wakati Uingereza ilizoea kupigana na wababe kina Ufaransa, Hispania.

Imperial Russia ilikuwa inaambulia kuwapiga Waturuki na baadae Ottomans ila wazungu wenzake inateseka kasoro Napoleon aliyeshindwa na hali ya hewa.
Hio ya Poland, Poland alikuwa ana ji defend, kingine ile vita Russia waliamua yaishe na si kwamba Poland ina uwezo kupambana na Russia, hata hawakuwa na motivation, Poland walipambana ili kuishi... sio hata vita ya kutolea mfano ni upuuzi tu...
 
Kihistoria Waingereza ni waitikiaji wazuri wa wito wa kwenda vitani. Wanaweza enda vita ambayo hawajashambuliwa wala hawajatangaziwa wao.

Mara ya mwisho mwanajeshi wa adui kukanyaga kwenye British isles ni mwaka 1797, miaka 227 iliyopita.
Mara ya mwisho Urusi kuvamiwa na wanajeshi wa adui ni 2024 hii.

Uingereza kila vita huwa inachukuliwa poa. Yani vita ya kwanza ya dunia na ya pili ya dunia yote hakuna adui alitia mguu Uingereza. Wao ni masters of logistics wanatoka uko kwao wanapigania kwako. Kati ya nchi Waingereza wanazichukulia kawaida kijeshi ni Urusi, kihistoria wana sababu.
Kwa technology ya zamani, lakini sasa hivi vyuma vinakufuata uko uko Uingereza. Makombola yanapiga London kama kawaida. Na wakicheza kisiwa kinazamishwa. Mijamaa ya Russia ilikuwa inasema kwa vile UK wana midomo sana na kimbele mbele ni bora kuzamisha hicho kisiwa kwa kombora moja la nguvu litakalosukuma mawimbi ya maji na kuzamisha kisiwa chote. Dunia ya sasa siyo ya zamani kutumia bunduki kulenga adui. Sasa hivi kuna drones, ballistic missiles inapigwa toka bara kwenda bara. Sasa hivi NATO wanaofia makombola ya kisasa ya Russia yanabeba vichwa 12 kila kichwa kinapiga sehemu yake kilipopangiwa, na hakuna kudunguliwa. Hayo yakipigwa mawili tu Uingereza ni majivu kote.
 
Back
Top Bottom