Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli ni maendeleo na sasa wanaoionea gere Tanzania, matumbo joto.Tupo fiti kama mashabiki wa yanga na asernal ya zamani usijali kwa hilo hata akishinda magufuli wote tutakipata pata kuanzia wewe na ukoo wako wote sidhani kama wote wana maisha fresh
Huhitaji kuandamana wewe kamoigie kura tu, ukiandamana wakati hujapiga kura ya ushindi itakuwa poyoyo, tutaandamana Baada ya kura za ushindi kuibiwa.Yaani tuandamane kwa ajili ya mtu anayeishi ubeligiji [emoji3][emoji3]
Tena nishawishi familia yangu kumpigia kura msaliti wa Nchi ! Hata shetani atanicheka
Tena ameshakata tiketi ya kurudi ubeligiji
Familia yake ameificha, mimi nikavunjwe mguu kwa kumpigania mtu aliyeshindwa Uchaguzi anatoa matusi
Uongo ni utamaduni wenu, mmeshindwa sera mmehamia kwenye makampuni ya simuHata zinazotaja jina Magufuli haziendi
Mzee wa Makande upo?Vp umeshiba magimbi, lisu ana watu wachache wasio jielewa kama wewe, wengi tunaenda kushamgaa kama tunavyoshangaa misukule
Acha ulaghai, Lissu anaenda kutathminiwa mguu wake na Doctor WakeSio sahihi kumsupport mgombea ambaye anajiandaa kukimbia nchi mara tu baada ya Uchaguzi.
Lisu ni mtalii amekuja kutuchora tu.
Anachokifanya ni kuwachezea akili watanzania , na kuhakikisha aliyotumwa anatimiza.
Sawa mzee wa Vifaru vya IGP.Acha ulaghai, Lissu anaenda kutathminiwa mguu wake na Doctor Wake
Huhitaji kuandamana wewe kamoigie kura tu,ukiandamana wakati hujapiga kura ya ushindi itakuwa poyoyo,tutaandamana Baada ya kura za ushindi kuibiwa.
Nyinyi na nani? Chagua Lisu ondoa dikteta uchwara upate maendeleo na hakiHakuna wa kumpigia kura msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Kuandamana kwa ajili ya msaliti wa Nchi hata shetani atatushangaa
Nyinyi na nani? Chagua Lisu ondoa dikteta uchwara upate maendeleo na haki
Kama uliwauliza wale mataahira mnawasomba kwenye malori sawa Ila kwa watu wanaojielewa hawawezi chagua jitu lenye roho mbaya na katili,ofisini kwetu Kuna wanaccm lundo watmchagua TL ikiwemo na weweUshindikwa JPM hauepukiki kila niliyemwambia ampigie kura JPM ameniambia inyeshe mvua liwake jua kura ni kwa JPM.
Watu wanataka MAENDELEO na watamchagua JPM OCTOBER 28TH ili wapate MAENDELEO.
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Mlizoea kufanya kazi kwa mazoea mmenyooshwa mnaleta maneno.Kama uliwauliza wale mataahira mnawasomba kwenye malori sawa Ila kwa watu wanaojielewa hawawezi chagua jitu lenye roho mbaya na katili,ofisini kwetu Kuna wanaccm lundo watmchagua TL ikiwemo na wewe
Chagua haki chagua maendeleo,ondoa katili mla rambirambi keshaingiza nuksiKumchagua msaliti wa Nchi ni kujitakia laana
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Chagua haki chagua maendeleo,ondoa katili mla rambirambi keshaingiza nuksi
Wanaccm wenzako watamchagua TL
Ungana na wanaccm wenzio kumchagua TL akutoe utumwani na kwenye umaskiniMlizoea kufanya kazi kwa mazoea mmenyooshwa mnaleta maneno.
Sasa October 28th hamtaamini mtakachokiona kura kwa JPM zitakuwa za kishindo.
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Ungana na wanaccm wenzio kumchagua TL akomeshe vibaraka wa wachinaTanzania haiwezi kuongozwa na msaliti wa Nchi Lissu
Pia Tanzania hatutaki ushoga,
Uongo ni utamaduni wenu, mmeshindwa sera mmehamia kwenye makampuni ya simu