WanaJF tunaomuunga mkono Lissu sasa ni muda muafaka wa kumsaidia Lissu ashinde!

WanaJF tunaomuunga mkono Lissu sasa ni muda muafaka wa kumsaidia Lissu ashinde!

Lissu anashinda...na sisi ni watu wa kimfanya atangazwe...

Mimi na wana ukoo wangu wote karibia watu 200 wapo na Tundu Antipas Lissu
 
Sio sahihi kumsupport mgombea ambaye anajiandaa kukimbia nchi mara tu baada ya Uchaguzi.

Lisu ni mtalii amekuja kutuchora tu.

Anachokifanya ni kuwachezea akili watanzania , na kuhakikisha aliyotumwa anatimiza.
 
Mie nimewaza ya kwamba, lissu arekodi speech iliyoshiba akilihutubia taifa na Kisha isambazwe kwa watu kupitia mitandaoni ya kijamii.

Azungumze Mambo ya msingi Sana ambayo yatashawishi watu katika kipindi hiki Cha lala salama.

Katika hiyo speech kuwe na vipande vifupi vya video/picha za watu tofauti tofauti,(mf bodaboda, Mama ntilie, na watu wengine wanaofanya kazi ngumu/tabaka la chini) wakiwa wanatekeleza majukumu yao, halafu Yeye azungumze kwa lugha nyepesi tu serikali yake itawasaidia vipi watu hao.

_Anaweza kuchukua video za mama ntilie labda wanauza chakula katika mazingira magumu labda juani, halafu Yeye akawa anaizungumzia hiyo ishu na namna gani atawasaidia mf bima n.k

_ Kuna video kibao tu mitandaoni za wafanya biashara wakisumbuliwa na polisi au migambo, azichukue nazo azizungumzie katika hotuba hiyo.

Mitandaoni Kuna video nyingi Sana za hapa Tanzania, zikionyesha unyanyasaji was serikali dhidi ya raia wanyonge, azichukua chache na kuzizungumzia Yeye akiwa rais atawasaidia vipi watu wanaopata matatizo Kama hayo.

Hiyo speech ya Yeye kuzungumza na taifa isambaze kwenye magroup ya whatsapp, na pia Yeye akiwa kwenye hi mikutano ya kampeni awe anawasisitiza watu kutumiana hizo video, najua ndani ya muda mfupi tu zitasambaa nchi nzima na zitakua gumzo.
 
Tupo fiti kama mashabiki wa yanga na asernal ya zamani usijali kwa hilo hata akishinda magufuli wote tutakipata pata kuanzia wewe na ukoo wako wote sidhani kama wote wana maisha fresh
Magufuli ni maendeleo na sasa wanaoionea gere Tanzania, matumbo joto.
 
Yaani tuandamane kwa ajili ya mtu anayeishi ubeligiji [emoji3][emoji3]

Tena nishawishi familia yangu kumpigia kura msaliti wa Nchi ! Hata shetani atanicheka

Tena ameshakata tiketi ya kurudi ubeligiji

Familia yake ameificha, mimi nikavunjwe mguu kwa kumpigania mtu aliyeshindwa Uchaguzi anatoa matusi
Huhitaji kuandamana wewe kamoigie kura tu, ukiandamana wakati hujapiga kura ya ushindi itakuwa poyoyo, tutaandamana Baada ya kura za ushindi kuibiwa.
 
Sio sahihi kumsupport mgombea ambaye anajiandaa kukimbia nchi mara tu baada ya Uchaguzi.

Lisu ni mtalii amekuja kutuchora tu.

Anachokifanya ni kuwachezea akili watanzania , na kuhakikisha aliyotumwa anatimiza.
Acha ulaghai, Lissu anaenda kutathminiwa mguu wake na Doctor Wake
 
Hakuna wa kumpigia kura msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu

Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Kuandamana kwa ajili ya msaliti wa Nchi hata shetani atatushangaa
Huhitaji kuandamana wewe kamoigie kura tu,ukiandamana wakati hujapiga kura ya ushindi itakuwa poyoyo,tutaandamana Baada ya kura za ushindi kuibiwa.
 
Ushindikwa JPM hauepukiki kila niliyemwambia ampigie kura JPM ameniambia inyeshe mvua liwake jua kura ni kwa JPM.

Watu wanataka MAENDELEO na watamchagua JPM OCTOBER 28TH ili wapate MAENDELEO.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Hakuna wa kumpigia kura msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu

Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Kuandamana kwa ajili ya msaliti wa Nchi hata shetani atatushangaa
Nyinyi na nani? Chagua Lisu ondoa dikteta uchwara upate maendeleo na haki
 
Ushindikwa JPM hauepukiki kila niliyemwambia ampigie kura JPM ameniambia inyeshe mvua liwake jua kura ni kwa JPM.

Watu wanataka MAENDELEO na watamchagua JPM OCTOBER 28TH ili wapate MAENDELEO.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Kama uliwauliza wale mataahira mnawasomba kwenye malori sawa Ila kwa watu wanaojielewa hawawezi chagua jitu lenye roho mbaya na katili,ofisini kwetu Kuna wanaccm lundo watmchagua TL ikiwemo na wewe
 
Kama uliwauliza wale mataahira mnawasomba kwenye malori sawa Ila kwa watu wanaojielewa hawawezi chagua jitu lenye roho mbaya na katili,ofisini kwetu Kuna wanaccm lundo watmchagua TL ikiwemo na wewe
Mlizoea kufanya kazi kwa mazoea mmenyooshwa mnaleta maneno.

Sasa October 28th hamtaamini mtakachokiona kura kwa JPM zitakuwa za kishindo.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Kumchagua msaliti wa Nchi ni kujitakia laana

Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Chagua haki chagua maendeleo,ondoa katili mla rambirambi keshaingiza nuksi
Wanaccm wenzako watamchagua TL
 
Mlizoea kufanya kazi kwa mazoea mmenyooshwa mnaleta maneno.

Sasa October 28th hamtaamini mtakachokiona kura kwa JPM zitakuwa za kishindo.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Ungana na wanaccm wenzio kumchagua TL akutoe utumwani na kwenye umaskini
 
Uongo ni utamaduni wenu, mmeshindwa sera mmehamia kwenye makampuni ya simu

Wajue mabingwa wa uongo Tanzania 👇👇👇👇👇👇👇


CCM - Lowasa huwezi gombea urais, mwache Jakaya apeperushe bendera ya chama chetu. Lowasa atakua waziri mkuu👍

CHADEMA - Jakaya dhaifu, tunataka rais mwenye maamuzi magumu😍
- Lowasa fisadi tena fisadi papa. Ajiuzuluuuuu aondokeeee hatufaiiiii anauza nchiiii😍😍

CCM - Jakaya anamaliza muda wake, Lowasa anataka kupeperusha bendera lakini hatufai... hata kama wajumbe wamempitisha kwa maslahi mapana ya taifa na kwa vizazi vijavyo tumkate Lowasa tumpe John Pombe Magufuli😁👍

CHADEMA - Lowasa ni kiongozi shupavu sana. Inabidi tumwombe ahamie kwetu, tumpe nafasi agombee urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania. Tena atakuja na mtaji wa watu na pesa. Tutashinda🤔👎

CCM - John Pombe Magufuli ameshinda na ndie rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania😍🍹🍸💃👍

CHADEMA - John Pombe Magufuli hafai, hashauriki, ana maamuzi magumu sanaaaa😆👎

CCM - Tanzania ni tajiri sana,wananchi tuchape kazi.Tujenge mashule, mahospitali, barabara,viwanda👍

CHADEMA - Serikali haijali wananchi. Serikali inajali maendeleo ya vitu na sio watu👎

CCM - Bila kuijenga madarasa watoto wetu watasoma wapi, bila hospitali mtatibiwa na bila bararabara mtapita wapi. Hakuna maendeleo ya vitu bila watu👍

CHADEMA - Tutawasemea kwa Amstadam mnatuonea, tutamwambia hatutaki barabara, wala mahospitali, wala mashule wala viwanda. Sisi tunataka maendeleo ya watu🤣👎👎

WATANZANIA - Nyie CHADEMA msituchezee, mmetuona watoto wadogoooo. Tunasema 5tena kwa John Pombe Magufuli tarehe 28.10.2020. Hakuna wa kumshinda Magufuli😍🇹🇿😍👍👍👍👍

Heri kujiunga DECI kuliko kujiunga chadema
 
Back
Top Bottom