WanaJF wengi wanaandika maoni yao kwa kuangalia “reply” za mwanzoni ? No critical thinking

WanaJF wengi wanaandika maoni yao kwa kuangalia “reply” za mwanzoni ? No critical thinking

Upo Sahihi, ndio maana unakuta uzi umejaa quotes za comments, sio hoja, Pia kutojiamini/kufuata upepo, mtu anaona mada ina hoja flani ila Ili asitofautiane na Wengi/Fulani anafuata mkondo,

NOTE : Kuna wale wakujitongozesha na kujigonga kwa Opposite Sex ndani ya Uzi wa mtu, Hao ndio Viazi...

As Long you're here.
Wanawake wa JF punguzeni Wizi na ushirikina, Mtu unaiba mpka mkaa??? Kiunoni analihirizi linapumua.
Hii aya ya mwisho mkuu mbona kama ni personal sana, wamekufanyaje?
 
Watu wanajinasibu kua critical thinkers lakini si kweli, wengi ni bendera kufata upepo,

Kwanini mtu anapoona andiko asilifikirie kisha akaandika kile anachokiona? Badala yake anaandika kutokana na mkumbo wa reply za mwanzo?

Mada pekee utaona watu wanatifautiana regardless ya comments za mwanzoni ni zile za dini, simba na yanga au ccm na chadema. Nadhani hizi zinakua rahisi kwakua tayari zimeshawagawa watu katika makundi.

Mwengine anaweza asitilie manani mada au jambo kwa kuangalia “first replies”

Unaweza kuta hata hii maya hapa itachangiwa kwa kuangalia reply za mwanzoni zimeandika nini.

This is sick culture. Engage your senses.
ile ya muhimu zaidi mi naona ni kujadiliana na kukosoana kwa upendo na amani regardless mada ni gani 🐒
 
Upo Sahihi, ndio maana unakuta uzi umejaa quotes za comments, sio hoja, Pia kutojiamini/kufuata upepo, mtu anaona mada ina hoja flani ila Ili asitofautiane na Wengi/Fulani anafuata mkondo,

NOTE : Kuna wale wakujitongozesha na kujigonga kwa Opposite Sex ndani ya Uzi wa mtu, Hao ndio Viazi...

As Long you're here.
Wanawake wa JF punguzeni Wizi na ushirikina, Mtu unaiba mpka mkaa??? Kiunoni analihirizi linapumua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] upo nje ya mada lakini
 
Jirani nasubiri unipange 🤣🤣🤣
Ww mkorofi ujue..!! Mwenye uzi kasema hataki soga kwenye uzi wake
Jirani tatizo kunawatu wanachukulia sana JF siriously, ndio hawa wanakuja na manung'uniko. Mimi JF huwa nashinda humu kupiga soga sana siku za weekend. Siku nyingine naingia mara Moja moja. Sasa ukigeuza humu ndio kijiwe chako lazima ukereke maana Kila mtu na alivyo. But Jiran Leo twende KUKU KUKU, pale jirani na SAMAKI SAMAKI MLIMAN CITY, tukale KUKU.
 
Jirani tatizo kunawatu wanachukulia sana JF siriously, ndio hawa wanakuja na manung'uniko. Mimi JF huwa nashinda humu kupiga soga sana siku za weekend. Siku nyingine naingia mara Moja moja. Sasa ukigeuza humu ndio kijiwe chako lazima ukereke maana Kila mtu na alivyo. But Jiran Leo twende KUKU KUKU, pale jirani na SAMAKI SAMAKI MLIMAN CITY, tukale KUKU.
Jirani mi nalog in nikiwa bar mwenzio ndiomana natype ninachojisikia na sipo kumfanya mwingine ajisikie vile yy anataka kusikia 🤣🤣🤣🤣
Sema kwenye kuku umeua, ulijuaje km napenda kwiyoo 😋😋😋
 
Wengi hawapend kusimama wao wenyewe, so lazima atafute wa kuungana nae, anaogopa kuwa alone anaepingana na uzi 😂😂😂
 
Wakishaanza wale wapenzi wa JF unakuta mara shosti njoo, mara baby soma hapa. Alafu wakaanza reply zisizoisha na emoji hapo najua mada imeisha uchangiaji hamna tena. Ukute ni mada mtu anaumwa anauliza dawa, kenge zinakuja kutongozana humo
Nakwazika sana na izo kenge zinazotongozana ama kutaniana kwenye nyuzi za watu ambazo zinahitaji u serious.
 
Back
Top Bottom