WanaJF wengi wanaandika maoni yao kwa kuangalia “reply” za mwanzoni ? No critical thinking

WanaJF wengi wanaandika maoni yao kwa kuangalia “reply” za mwanzoni ? No critical thinking

Lamomy na RUSTEM PASHA naona mnazidi kumkwaza aliyeanzisha huu Uzi. Hebu nendeni chitchat huko mnatukera mjue, masuala ya KukuKuku,MlimaniCity na SamakiSamaki ya Nini humu ? Mnaonekana malimbukeni na mazuzu tu. 😂😂😂😂
Mkuu niseme mimi tu, tafadhari muache jirani yangu. Mleta mada haitakiwi kuchukulia baadhi ya mambo siriously, watu wengi humu ndani ni fake kuanzia maisha yao mpaka majina wanayotumia na thread zao wengi niza uongo uongo afadhari jirani yangu Lamomy anatumia jina halisi 😅.

Mengini nikama jeshini ,unafanyiwa kitu ambacho Kila mtu anajua unakereka lkn unakua huna chakumfanya mtu, nahilo ndio somo la uvumilivu. Kwahio ukishindwa stahimili watu usio wajua wa humu ndani wa huko mtaani kwako wakikukera itakuaje?. Hii mada ya mleta mada pia haiko siriously, akitaka mambo siriously alete mambo magumu tujadili.
 
Mkuu niseme mimi tu, tafadhari muache jirani yangu. Mleta mada haitakiwi kuchukulia baadhi ya mambo siriously, watu wengi humu ndani ni fake kuanzia maisha yao mpaka majina wanayotumia afadhari jirani yangu Lamomy anatumia jina halisi 😅.

Mengini nikama jeshini ,unafanyiwa kitu ambacho Kila mtu anajua unakereka lkn unakua huna chakumfanya mtu, nahilo ndio somo la uvumilivu. Kwahio ukishindwa stahimili watu usio wajua wa humu ndani wa huko mtaani kwako wakikukera itakuaje?. Hii mada ya mleta mada pia haiko siriously, akitaka mambo siriously alete mambo magumu tujadili.
Mleta mada hayupo siriously lakini yupo seriously. Mmemkera aisee 🤣🤣🤣
 
Watu wanajinasibu kua critical thinkers lakini si kweli, wengi ni bendera kufata upepo,

Kwanini mtu anapoona andiko asilifikirie kisha akaandika kile anachokiona? Badala yake anaandika kutokana na mkumbo wa reply za mwanzo?

Mada pekee utaona watu wanatifautiana regardless ya comments za mwanzoni ni zile za dini, simba na yanga au ccm na chadema. Nadhani hizi zinakua rahisi kwakua tayari zimeshawagawa watu katika makundi.

Mwengine anaweza asitilie manani mada au jambo kwa kuangalia “first replies”

Unaweza kuta hata hii maya hapa itachangiwa kwa kuangalia reply za mwanzoni zimeandika nini.

This is sick culture. Engage your senses.
Kama Uzi ume nigusa sana sina haja ya kusoma reply za watu,
Lakini kama Uzi hauweleweki lazima niangaliwa wana jamvii.
walivyo reply

Then nipime na mie mtazamo wangu kama tumeenda sawa na mie napita humo humo kama hatuja enda sawa ndio nitakuwa kinyume nao.😃
 
Sawa mwalimu wa zamu, Mleta mada hajakereka bado, maisha magumu ndio mwanzo wa stress nakuchukulia Kila jambo Seriously.

Vitu vidogo kama hivyo inatakiwa apotezee.
Mkuu sio suala la kuwa serious au la, Mleta mada kasema watu wengi hawachangii kwa utashi wao,wanaangalia wa kwanza kaenda na mlengo gani nao wanafuata huko huko. Hii sio issue ya kuwa serious au la.
Halafu mchangiaji mwingine akazungumzia watu wanaoingiza chit chat zao kwenye thread kama wewe ufanyavyo thread hii. Hili nalo sio suala la kuwa serious au la, kuna thread zipo kwa ajili ya chit chat na nyingine zinahitaji mijadala kwa mujibu wa mada husika. Chit chat thread ziko nyingi tu.
 
Mkuu sio suala la kuwa serious au la, Mleta mada kasema watu wengi hawachangii kwa utashi wao,wanaangalia wa kwanza kaenda na mlengo gani nao wanafuata huko huko. Hii sio issue ya kuwa serious au la.
Halafu mchangiaji mwingine akazungumzia watu wanaoingiza chit chat zao kwenye thread kama wewe ufanyavyo thread hii. Hili nalo sio suala la kuwa serious au la, kuna thread zipo kwa ajili ya chit chat na nyingine zinahitaji mijadala kwa mujibu wa mada husika. Chit chat thread ziko nyingi tu.
Asipouelewa hapa arudi tena darasani tana primary kabisa. Vijana wengine wamekuwa na mizaha kumbe ndio wanapotea hivyo
 
Asipouelewa hapa arudi tena darasani tana primary kabisa. Vijana wengine wamekuwa na mizaha kumbe ndio wanapotea hivyo
Nimeona ilipotoka ila wewe ukamrekebisha kwamba sio Siriously ni seriously ikiwa wote mmekosea😂😂
Asante kwa marekebisho nyote. Wengine tumesoma shule zakwenda na madumu.
 
Mkuu sio suala la kuwa serious au la, Mleta mada kasema watu wengi hawachangii kwa utashi wao,wanaangalia wa kwanza kaenda na mlengo gani nao wanafuata huko huko. Hii sio issue ya kuwa serious au la.
Halafu mchangiaji mwingine akazungumzia watu wanaoingiza chit chat zao kwenye thread kama wewe ufanyavyo thread hii. Hili nalo sio suala la kuwa serious au la, kuna thread zipo kwa ajili ya chit chat na nyingine zinahitaji mijadala kwa mujibu wa mada husika. Chit chat thread ziko nyingi tu.
Mkuu umesomeka, acha tuendelee na mizaha Moderator akiona tunavunja taratibu atachukua hatua stahiki.
 
Kuna wengine huwa wanataka ku-control narrative. Na mara nyingi hawa ni wale wabobezi wa Propaganda wanaojua saikolojia za watu na jinsi ya kukontroo.

Na upo sahihi, watu wengi huwa wanafuata replies za mwanzoni pasipo kufanya critical analysis pale inapobidi kufanya hivyo.

Vilevile, kama ulivyogusia mada nyingi unazo zizungumzia ni zile za propaganda, yaani ni nyuzi maalum....na ndizo hizo zenye moderator wao kwenye replies za mwanzoni-for narrative and viiewpoint control



Kama ushasikia kuna Kiongozi mmoja aliyesema Jamiiforums haina moderators, ina wahariri-hakukosea.

Moja ya kazi za moderators ni kumsaidia mleta mada.

Hawafanyi hivyo, na mara nyingi, wanajihusisha na kufanya editing tu- Sidhani kama wanafuatilia maudhui kihivyo bali ni nani, 'ID' inayoweza kuwaletea views

Ila sasa hawa wanaoleta hizi nyuzi zinazovutia views ndio Propagandist. Na kama moderators wangekuwa wanafuatilia ipasavyo, mazungumzo au mijadala mingii ingeweza kufanyika pasipo na karaha ama kukera-kama ulivyokerwa.

Mwengine anaweza asitilie manani mada au jambo kwa kuangalia “first replies”

This is sick culture
 
Back
Top Bottom