Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni ile ya Jack Bauer na Stew?(majina ya kazi )Kwenye movie ya phone booth pia kuna sehemy wameongea kiswahili
Yah, kwenye A Team pale walipokuwa wanakaguliwa passport yule mkaguzi black alipoicheki akamuuliza kwa kiswahili tena fasaha na Jamaa akajibu " Natokea Zanzibar baba yangu ilikuwa anafundisha kule" tena bila hesitation na lafudhi iliyonyooka.A Team kuna sehemu wanaongea kiswahili, sehemu wanakagulia passport, nimesahau maneno exactly ila walitaja somesort of Zanzibar
Nikita kuna sehemu percy aliongea kiswahili, sikumbuki episode ya ngapi exactly
Correct wewe Jamaa umekumbuka exactlyUmetoka Tanzania,my mother is in Tanzania,umezaliwa wapi?
Ndio bwana,baba yangu alikua mwalimu wa kiingereza kule Zanzibar
Mkuu hii movie lazima niitafutekuna movie inaitwa The Human Antipede, ni horror.....kuna mahala yule binti Sarah alitamka "sura yako chachu kama embe za Kibada"
Nilirudisha mara mbili mbili ili kuhakiki.....kwelk kiswahili kimetanuka....tanuuuu.
Movie kama sio ya Van Damme au Anold kuna yule dogo alisema nimepanda gari leoooHata kwenye move ipo sana tu, nakumbuka move moja ya van damme na ---- young. Damme alimwambia ---- ntakutwanga wewe lakin kutokana na lafudhi wengi hawa kuelewa ila kwenye script iko wazi na wameainisha
Quantico Season 2 karibu yote sehemu nyingi wametumia kiswahiliQuantico (tv show) inayorushwa na ABC season 2 wamehesabu kiswahili moja mpka 10
[emoji13] [emoji15] [emoji15] [emoji15]ni kweli hapo amenogesha kijiwe ila kuna track moja inaitwa Troublesome 96 kutoka kwenye albam ya greatest hits late 2pac ametamka neno swahili sijajua alikuwa anamaanisha nini lakin ndo hivo na si unajua baba ake alikuwa mchaga na amekufa miaka mitatu huko arusha. Sisi wabongo tunajiradharau tu ila tuko juu
Hata leo nmeicheck kwenye sony hiyo movie huwa wanadai vipande vingine walicheza KenyaPicha la Loah Mzee Ashanti aliimba "Mimi ni Mkubwa sana" naskia kipande kile walichezea Kenya