Wanamuziki wa Kimarekani walioweka mistari ya Kiswahili ndani ya nyimbo zao

Wanamuziki wa Kimarekani walioweka mistari ya Kiswahili ndani ya nyimbo zao

rick ross nyimbo siijui
mother f....ck am stuck in swahil
 
halafu hawa makaburu maranyingi wakitengeneza filamu kenya lazima wachomekee swahili..fatilia utagundua movie nying za hawa wazungu wakiigiza kenya.
 
Aliegiza Titanic yupi Kate Winslet,Billy Zane au Leonardo tafafhali nijulishe coz nimekuwa interested!

Ni leornado caprio walikua mombasa nadhanii ,alikua anakimbiaa akaingia kwenye hotel baba mmoja akamwambia Leo (unatafuta nini huku Mutu mubaya)
 
Hii naikumbuka ya akina Angelina Jolie ila nilisahau jina

Walitaja neno serengetii na wanyama wakaonyeshwaa,na kuna sehemu walikua wanauliziaa wakauliza kwa kiswahili na kujibiwa kwa kiswahilo alijibu Angelina jolie
 
aisee kuna movie nyingi za kihindi nimeona wanaongea kiswahil, kiswahili kipo juu

Na ujio wa hawa wadau wakubwa wa muziki hope wataendeleza kiswahili wakirudi marekani
attachment.php

Kutoka kshoto:Chaka zulu(Manager wa ludacris),Terrence J(Mtangazaji wa E! Entertainment mwanzo alikua BET) na David Burner mkali wa hit single kama I got 9mm ft Lil wayne na snoop,producer wa hits single kama Rubber Band Man wa TI,They like me wa Shop Boyz.
 
Hata TI alipohojiwa juu ya ugomvi wake na May money jr aliongea Kiswahili mwishoni HAKUNA MATATA
 
Hivi kwenye "American pie" si kuna sehemu dogo yule alikuwa anaongea na jamaa mweusi anasema ni mwalimu wake wa kiswahili halafu hapo hapo akasema "mambo jambo"
 
ni kweli hapo amenogesha kijiwe ila kuna track moja inaitwa Troublesome 96 kutoka kwenye albam ya greatest hits late 2pac ametamka neno swahili sijajua alikuwa anamaanisha nini lakin ndo hivo na si unajua baba ake alikuwa mchaga na amekufa miaka mitatu huko arusha. Sisi wabongo tunajiradharau tu ila tuko juu

Heee tuhabarishe Amar Shakur alikuwa mchaga?
 
tupac kwenye crazy 1996,nadhani verse ya kwanza alisema screaming ---- U niggaz in Swahili.
PIA kwenye street fame anasema straight conversatin' with my roaddogs kickin' Swahili.
moja ya influences za Pac ilikua godfather wake,mutulu shakur,aliishi Arusha til his death,so Pac aliipenda tz kitambo.

Geronimo Plat?
 
Walitaja neno serengetii na wanyama wakaonyeshwaa,na kuna sehemu walikua wanauliziaa wakauliza kwa kiswahili na kujibiwa kwa kiswahilo alijibu Angelina jolie

hii ni lara croft tomb raider;the cradle of life. nafikiri walikuwa wanatafuta chanzo cha uhai hivyo lile eneo wamecheza kama olduvai.
 
Wale wa Indian movie mtakuwa mnaikumbuka movie ya Vishwatma, kuna sehemu Amrish Poor anaimba" ...ohoo ohoo mimi ni mkubwa sana"
 
Nimemsikia leo DJ John Dilinga kwenye kipindi cha mtaa wa mangoma radio one akizungumzia hii kitu na kumtaja Queen Latifa kwamba amewahi kuchomeka Kiswahili kwenye nyimbo iliyoshirikisha mastaa kibao miaka ya 80s na pia DJ JD alirap hiyo verse.....long time kiswahili kimevuka boda....
Nyimbo inaitwa 'U.N.I.T.Y"
 
Wale wa Indian movie mtakuwa mnaikumbuka movie ya Vishwatma, kuna sehemu Amrish Poor anaimba" ...ohoo ohoo mimi ni mkubwa sana"

Ipo pia alicheza sandeo alikua amelala demu wake akamuasha huku anaimbaa( eeee amka twende tukaogee amka twende tukaogee..... duuu
 
Back
Top Bottom