Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliegiza Titanic yupi Kate Winslet,Billy Zane au Leonardo tafafhali nijulishe coz nimekuwa interested!
labda dicaprio kwenye inception walipokuwa mombasa.
Hii naikumbuka ya akina Angelina Jolie ila nilisahau jina
hata 2pac kwenye hit em up aLisema dar salam maza ----
aisee kuna movie nyingi za kihindi nimeona wanaongea kiswahil, kiswahili kipo juu
hata movie moja hivi inaitwa deadly play ama maarufu kama komando kipensi jamaa alimkamata jambazi kabla ya kumchoma kisu alimtamkia neno "jitetee "
Ni leornado caprio walikua mombasa nadhanii ,alikua anakimbiaa akaingia kwenye hotel baba mmoja akamwambia Leo (unatafuta nini huku Mutu mubaya)
ni kweli hapo amenogesha kijiwe ila kuna track moja inaitwa Troublesome 96 kutoka kwenye albam ya greatest hits late 2pac ametamka neno swahili sijajua alikuwa anamaanisha nini lakin ndo hivo na si unajua baba ake alikuwa mchaga na amekufa miaka mitatu huko arusha. Sisi wabongo tunajiradharau tu ila tuko juu
tupac kwenye crazy 1996,nadhani verse ya kwanza alisema screaming ---- U niggaz in Swahili.
PIA kwenye street fame anasema straight conversatin' with my roaddogs kickin' Swahili.
moja ya influences za Pac ilikua godfather wake,mutulu shakur,aliishi Arusha til his death,so Pac aliipenda tz kitambo.
itafute mkuu. ila ni muvi ngumu sana kuelewa. niliielewa mpaka nilivyoisoma kwenye wikipedia.Asante mkuu nitaitafuta hii nimeona movie nying za Leonardo DiCaprio lakini hii bado!
Walitaja neno serengetii na wanyama wakaonyeshwaa,na kuna sehemu walikua wanauliziaa wakauliza kwa kiswahili na kujibiwa kwa kiswahilo alijibu Angelina jolie
Nyimbo inaitwa 'U.N.I.T.Y"Nimemsikia leo DJ John Dilinga kwenye kipindi cha mtaa wa mangoma radio one akizungumzia hii kitu na kumtaja Queen Latifa kwamba amewahi kuchomeka Kiswahili kwenye nyimbo iliyoshirikisha mastaa kibao miaka ya 80s na pia DJ JD alirap hiyo verse.....long time kiswahili kimevuka boda....
Wale wa Indian movie mtakuwa mnaikumbuka movie ya Vishwatma, kuna sehemu Amrish Poor anaimba" ...ohoo ohoo mimi ni mkubwa sana"