Wananchi mkoani Arusha waandamana kupinga Ushoga

Humo humo kati wapo Wala mashoga
 
Mungu alimpa muongozo mwanadamu aishije duniani
unapoukataa ni hasara kwako sio kwake.Ukishamuachaa Mungu unakuwa hauna muongozo wa maisha huwezi jua mema na mabaya.
Unakuwa SAwa na mnyama.
Hao wameshatoka kwenye ubinamu.
 
Kwani unaandamana kwa ajili ya nini. Mashoga wapigwe viboko huko mtaani.
 
Ushoga ulichochewa na hayati Magufuli, alianzisha MAGENGE ya wafiraji kwaajili ya kuwakomoa watesi (mateka) wake wa kisiasa. Mwenyezi Mungu amuweke mahala panapo mstahili huko aliko
 
Ushoga uliasisiwa na hayati Magufuli, alianzisha MAGENGE ya wafiraji kwaajili ya kuwakomoa watesi (mateka) wake wa kisiasa. Mwenyezi Mungu amuweke mahala panapo mstahili huko aliko
Walikuwa wanashangilia watesi wao wakilawitiwa, wanasahau anayelawiti nae ni shoga.
 
Makosa mengi ya jinai hutendeka kwa kujificha au kwa usiri lakini bado serikali huwatafuta na kuwakamata na kuwafikisha mahakamani. Wezi wa pesa za serikali au ufujaji wa kodi ambao hufanywa na wafanyakazi wa TRA wasio waaminifu wakishirikiana na wafanyabiashara wasio waaminifu pia huwa unafanyika kwa siri kubwa sana lakini bado serikali inafuatilia kwa njia mbalimbali mpaka inawatia nguvuni. Hivyo ushoga hauwezi kuhalalishwa eti kwa sababu tu uchunguzi wake ni mgumu ni wajibu wa serikali na wananchi kwa ujumla kupambana na ushetani huo ili kuweza kuukomesha ushetani huo kama ushetani mwingine wowote.
 
Mnaandama kwa ajili ya Nini ? Aya weken mpango kukagua Marinda ya watu nchi nzima na sio kuandamana wakati mkitoka apo mnajificha mwafukuana vinyesi
 
Mnaandama kwa ajili ya Nini ? Aya weken mpango kukagua Marinda ya watu nchi nzima na sio kuandamana wakati mkitoka apo mnajificha mwafukuana vinyesi
Wamesikia kamala Haris anakuja wakatafuta sababu ya chap wakaanza. This is typical hypocrate. Kwanini wasianze na mambo yanayogharimu hata maisha ya watu kila siku?
 
Sasa mkuu wewe unachanganya mambo mawili tofauti kabisa, kufira/na na mapenzi ya kishoga ni vitu viwili tofauti kabisa.

Nakubaliana na wewe kuwa hili kosa la kufira/na lipo na hadi leo watu wanahukumiwa na kufungwa kabisa, ila inabidi kufahamu kuwa hilo kosa la kufira/na sio kosa la ushoga sababu hata mwanamke anaweza kufirwa pia hivyo ilo kosa halifanyi kazi kabisa hapa Mkuu

Haya ni mambo mawili tofauti na ndio maana ukitafuta watu waliohukumiwa kwa kosa la ushoga Tabzania hautawapata kabisa yani hawapo.

Ila waliowahi kufira/na na wanaume au wanawake wapo na hadi leo kesi nyingi zipo Mahakamani. Ila hizo sio kesi za ushoga
 
Mnaandama kwa ajili ya Nini ? Aya weken mpango kukagua Marinda ya watu nchi nzima na sio kuandamana wakati mkitoka apo mnajificha mwafukuana vinyesi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii level ya unafiki wa hawa watu ni konyo
 
Wamesikia kamala Haris anakuja wakatafuta sababu ya chap wakaanza. This is typical hypocrate. Kwanini wasianze na mambo yanayogharimu hata maisha ya watu kila siku?
Hizi kelele za ushoga ni PROPAGANDA MAHUSUSI

Nyuma ya hizi kelele kuna MKONO
 
Mkuu nafikiri hapo ndipo niliposema tatizo ni interpretation tu. Ushoga ni noun na kufira au kufirwa ni kitendo ambacho kimekatazwa na sheria na makosa ya jinai yana deal na vitendo zaidi. Hivyo shoga akikamatwa anafirwa na mfiraji wote wanakosa ni kama mtoa na mpokea rushwa wote wanamakosa kwa mujibu wa sheria. Hakuna kosa la ushoga bali kitendo ndicho kinakatazwa na sheria.
 
Tunaungana pamoja nao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…