Wananchi mkoani Arusha waandamana kupinga Ushoga

Wananchi mkoani Arusha waandamana kupinga Ushoga

Arusha maeneo ya makumira Kuna Hali mbaya pia tengeru kuna limoja nilisusi limeolewa kabisa,mjini nako vijana ni hovyo sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tatizo hao mashoga ndio maboss zenu... Wanawapa pesa nyingi sana mnaita mikopo nafuu.... ' no free lunch'...kila mtu apambane na familia yake kukemea ushoga.. hapo road wanauza sura tu
Wameishiwa kazi za kufanya hao wafanya maandamano. Wanapoteza mda wao tyuuh
 
Hii vita haipiganwi hivyo hapa ni kuzidi kujikubalisha nao. Inabidi tufahamu tunaupinga ushoga wapi, dhidi ya nani na kwa maslahi ya nani?

Inabidi kwanza tujifunze njia zinazotumika kuurasimisha hapa nchini then tuanze na hizo njia.

Kwakuwa hakuna wapenzi wa jinsia moja walioandamana Tanzania basi na sisi tusingeandamana maana ni tunapigana na adui asiyepo uwanja wa vita.

Viongozi wa dini walitakiwa kuhubiri makanisani na misikitini zaidi, kwa wao kuingia bara barani ni jibu kuwa kanisani na misikitini wameshindwa kukemea.

Wazazi nao hivyo hivyo walitakiwa kupinga kwenye familia zao na sio kukimbilia bara barani.

Maandamano ni njia ya mnyonge kutaka jambo lake lisikike sasa kama viongozi wa dini na watu waliohudhuria wamekuwa wanyonge kwenye hili, basi huyu adui ana nguvu sana na ameshatupiga pakubwa.
 
Maandamano hayo yaliongozwa na viongozi wa dini, na wananchi walijitokeza kwa wingi kupinga matendo ya mapenzi ya jinsia moja.

Hali hii imetokana na baada ya vikundi vya kutetea mapenzi ya jinsia moja duniani kuzidisha kasi na msukumo wa kuhalalisha matendo hayo.

Tuliona presha nchi ya Qatar iliyopigwa wakati wa kombe la dunia.

Tukashuhudia vitabu vinavyofundisha mambo hayo vikisambazwa ktk shule za watoto.

Tumeshihudia shule fulani ambayo watoto wanafundishwa kufanyana kinyume cha maumbile.

Huko Kenya mahakama ya juu ikaruhusu uanzishwaji wa NGOs za kutetea ushoga ktk nchi hiyo.

Na kuna baadhi ya madhehebu ya dini duniani yameanza kurasimisha ndoa za jinsia moja na kuna Mengine yamebaki na msimamo uleule wa toka zamani wa kukataa mambo hayo machafu.

Kwa mfano hapa Tanzania Kanisa la Anglican la Tanzania limekataa katakata kukubaliana na kanisa la Anglican la Uingereza kuruhusu ndoa za mashoga. Katika barua ambayo uongozi wa kanisa la Anglican la Tanzania limeliandikia kanisa mama la Anglican la uingereza, Limegoma kabisa kukubaliana na msimamo wa kanisa hilo la Uingereza kuhusu kuruhusu ubarikio wa ndoa hizo.

Kwa bahati mbaya pia, kanisa la Kikatoliki huko Ujerumani limepiga kura kuruhusu ubarikio wa ndoa za Jinsia moja kuanzia mwaka 2026. Hii inafuatia kauli ya Papa ya kuwatakia "Rehema( Grace)" watu wote hata wale wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja.

Hapa chini ni video ya wananchi huko Arusha kuandamana kupinga mambo ya ushoga.

View attachment 2547164

View attachment 2547165
🤣🤣
 
Andamaneni pia kudai katiba mpya, tozo lukuki, ukosefu wa ajira, na tume huru ya uchaguzi. Mbona hamjaandamana kupinga umalaya? Mnaruka majivu mnakanyaga moto! Waafrika tujue vipaumbele vyetu la sivyo tutatawaliwa tena na hao hao mashoga!
Maandamano hayo yaliongozwa na viongozi wa dini, na wananchi walijitokeza kwa wingi kupinga matendo ya mapenzi ya jinsia moja.

Hali hii imetokana na baada ya vikundi vya kutetea mapenzi ya jinsia moja duniani kuzidisha kasi na msukumo wa kuhalalisha matendo hayo.

Tuliona presha nchi ya Qatar iliyopigwa wakati wa kombe la dunia.

Tukashuhudia vitabu vinavyofundisha mambo hayo vikisambazwa ktk shule za watoto.

Tumeshihudia shule fulani ambayo watoto wanafundishwa kufanyana kinyume cha maumbile.

Huko Kenya mahakama ya juu ikaruhusu uanzishwaji wa NGOs za kutetea ushoga ktk nchi hiyo.

Na kuna baadhi ya madhehebu ya dini duniani yameanza kurasimisha ndoa za jinsia moja na kuna Mengine yamebaki na msimamo uleule wa toka zamani wa kukataa mambo hayo machafu.

Kwa mfano hapa Tanzania Kanisa la Anglican la Tanzania limekataa katakata kukubaliana na kanisa la Anglican la Uingereza kuruhusu ndoa za mashoga. Katika barua ambayo uongozi wa kanisa la Anglican la Tanzania limeliandikia kanisa mama la Anglican la uingereza, Limegoma kabisa kukubaliana na msimamo wa kanisa hilo la Uingereza kuhusu kuruhusu ubarikio wa ndoa hizo.

Kwa bahati mbaya pia, kanisa la Kikatoliki huko Ujerumani limepiga kura kuruhusu ubarikio wa ndoa za Jinsia moja kuanzia mwaka 2026. Hii inafuatia kauli ya Papa ya kuwatakia "Rehema( Grace)" watu wote hata wale wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja.

Hapa chini ni video ya wananchi huko Arusha kuandamana kupinga mambo ya ushoga.

View attachment 2547164

View attachment 2547165
 
Hii vita haipiganwi hivyo hapa ni kuzidi kujikubalisha nao. Inabidi tufahamu tunaupinga ushoga wapi, dhidi ya nani na kwa maslahi ya nani?

Inabidi kwanza tujifunze njia zinazotumika kuurasimisha hapa nchini then tuanze na hizo njia.

Kwakuwa hakuna wapenzi wa jinsia moja walioandamana Tanzania basi na sisi tusingeandamana maana ni tunapigana na adui asiyepo uwanja wa vita.

Viongozi wa dini walitakiwa kuhubiri makanisani na misikitini zaidi, kwa wao kuingia bara barani ni jibu kuwa kanisani na misikitini wameshindwa kukemea.

Wazazi nao hivyo hivyo walitakiwa kupinga kwenye familia zao na sio kukimbilia bara barani.

Maandamano ni njia ya mnyonge kutaka jambo lake lisikike sasa kama viongozi wa dini na watu waliohudhuria wamekuwa wanyonge kwenye hili, basi huyu adui ana nguvu sana na ameshatupiga pakubwa.
Hapa maana yake watu wanataka itungwe SHERIA kalia kukomesha wanaume kufundishwa ushoga na ubasha.

Hakuna mtu anayezaliwa akiwa shoga au basha. Ni matendo machafu ya kuiga au kufanyiwa Kwa kudanganywa au ni mambo ya mila za hovyo za Wazungu kama zilivyo Mila za kukeketa Wanawake. Ni vitendo vinavyoweza kukomeshwa au kupunguzwa . .Hivyo ni lazima itungwe SHERIA Kali ya kuzuia vittendo hivyo vichafu wasifundishwe watoto Kwa kurubuniwa.

Serikali haiwezi kuwaachia viongozi wa dini kazi ya kupambana na vitendo vya ushoga au usagaji mana Kwa Mujibu wa dini zote hayo ni matendo ambaya adhabu yake ni kuuawa.

Kwa Hali ya kidini mashoga wakikutwa wanafanya vitendo hivyo wanapaswa kuuawa bila huruma.

Afrika inapaswa kukataa hizi Mila potofu za Kizungu kwani ni Mila zinazoharibu kusudi la Mungu kuwaumba wanadamu ili wazaane.

Mtu akifuga majogoo tupu au mitetea tupu hawezi kamwe kuwa na ongezeko la kuku au hata kupata mayai
 
Back
Top Bottom