Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
Maadili ni kitu cha muhimu sana chadema wasiwadanganyeniWatanzania wameona heri wapinge ushoga kuliko kupinga ugumu wa maisha na kodi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maadili ni kitu cha muhimu sana chadema wasiwadanganyeniWatanzania wameona heri wapinge ushoga kuliko kupinga ugumu wa maisha na kodi
Watanzania wameona heri wapinge ushoga kuliko kupinga ugumu wa maisha na kodi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unafikiii huu sasa, lolUshoga usifananishe na uzinzi,apo hata shetani mwenyewe anakushanga na kuichukua notes
Ukweli mchunguu huu.Hii vita haipiganwi hivyo hapa ni kuzidi kujikubalisha nao. Inabidi tufahamu tunaupinga ushoga wapi, dhidi ya nani na kwa maslahi ya nani?
Inabidi kwanza tujifunze njia zinazotumika kuurasimisha hapa nchini then tuanze na hizo njia.
Kwakuwa hakuna wapenzi wa jinsia moja walioandamana Tanzania basi na sisi tusingeandamana maana ni tunapigana na adui asiyepo uwanja wa vita.
Viongozi wa dini walitakiwa kuhubiri makanisani na misikitini zaidi, kwa wao kuingia bara barani ni jibu kuwa kanisani na misikitini wameshindwa kukemea.
Wazazi nao hivyo hivyo walitakiwa kupinga kwenye familia zao na sio kukimbilia bara barani.
Maandamano ni njia ya mnyonge kutaka jambo lake lisikike sasa kama viongozi wa dini na watu waliohudhuria wamekuwa wanyonge kwenye hili, basi huyu adui ana nguvu sana na ameshatupiga pakubwa.
Wanainamishwaa na kupumuliwa visogoni.Wanaandamana arusha huku watoto wao wapo zanzibar au dar wanabanjuliwa
Akili hawanaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watanzania wameona heri wapinge ushoga kuliko kupinga ugumu wa maisha na kodi
Nani mjinga Kati ya Lissu, wewe, na shangazi ?Inasikitisha sana kuwa na watu wengi wajinga kiasi hichi.
Tabia chafu sana hata wanyama hawaifanyi Kwa bahati mbaya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unafikiii huu sasa, lol
Una uhakikaaa??Tabia chafu sana hata wanyama hawaifanyi Kwa bahati mbaya
Mkuu, maoni yako ni yapi katika kukabiliana na tabia hii chafu?Ukweli mchunguu huu.
Maoni yangu ni haya.Mkuu, maoni yako ni yapi katika kukabiliana na tabia hii chafu?
💯 hakuna beberu,fahari shoga tafuta ulimwengu mzima kama utakuta dume la mnyama linajishongondoaUna uhakikaaa??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ya kuhusu nncocastic upo kwenye maandamano?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nacheka km chiziii khaaaah[emoji817] hakuna beberu,fahari shoga tafuta ulimwengu mzima kama utakuta dume la mnyama linajishongondoa
Mnooooo tenaa sanaaaaunapenda ee
Kwa hiyo wewe mtoto wako wa kiume akigeuzwa mwanamke na kuanza kuliwa utafurahia na kukenua tu eti kwa vile kuna makahaba na wazinzi si ndio?Mngeanza na makahaba na wazinzi km mko serious na maadili.
Km yeye ameamua kuwa hvyo, mie nani nipingeee??Kwa hiyo wewe mtoto wako wa kiume akigeuzwa mwanamke na kuanza kuliwa utafurahia na kukenua tu eti kwa vile kuna makahaba na wazinzi si ndio?
Laana ni kitu cha kufikirika lakini umaskini ni kitu kinachoonekana. Watu wanaweza wakawa maskini sababu za kisera halafu wakasingizia ni laana ya ushogaUshoga husababisha Laana ya Nchi nzima .
Tuliaa