Wananchi mkoani Arusha waandamana kupinga Ushoga

Arusha safi sana. Mfano wa kuigwa. Tuiombe serikali yetu tukufu na sikivu nayo itoe kauli thabiti kukataa ujinga huu wa magharibi!
 
Zipo kwa PC anguu zimejaa kibao,

Siku nikipoteza PC au kuibiwa, cjui ntaweka wapi uso wangu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe unafahamu unalofanya ni machukizo kwako na jamii pia
 
Tumeridhika na utumwa na ufisadi wa CCM ila ushoga tumekuwa wepesi kuu pigia kelele na kuu kataa.

Aisee hili taifa.
Unaongea pumba sana mkuu,sasa kuna uhusiano gani hapo??
 
Wanajua km mie ni papai liliovaa, tena hadi mlaji wa papai hilo wanamfahamu vyedi. Na hakuna reaction yoyote walio ioneshaaa.
Poleeeeeeeeh.
 
Safi wakomae hivo hivo! Watu waliangamizwa kwa ajili ya ushoga hiyo Laana ni mbaya, Malika waliigeuza ardhi juu chini kisha ika yesha mvua ya moramu kutoka motoni emu fikiria hiyo kitu ikoje
 
Acha kulinganisha njaa au umasikini na Ushoga. Ni bora ufe masikini, au ufe na njaa kuliko kuwa shoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…