ngome1838
JF-Expert Member
- Feb 20, 2019
- 2,027
- 2,490
Naenda next week huko kuwapa tiba wagonjwa wangu kwa dawa za mizimu ya milima y Koleloyote iyo Kilala na hapo chuoni pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naenda next week huko kuwapa tiba wagonjwa wangu kwa dawa za mizimu ya milima y Koleloyote iyo Kilala na hapo chuoni pia
Anaitwa Jonas Kama sikoseiArusha maeneo ya makumira Kuna Hali mbaya pia tengeru kuna limoja nilisusi limeolewa kabisa,mjini nako vijana ni hovyo sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]PAPAI BIVUUU
Kupinga ushoga. Wewe hili tatizo halikuumizi hata kidogo?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ya kuhusu nn
Papa kuombea Neema kwa maana ya neno ulilotumia (grace) haina tatizo lolote na haina maana ya kuunga mkono ushoga. Tunapowaombea wadhambi neema ya msamaha haimaanishi kuunga mkono dhambi. Ni kuomba Neema ya Mungu iwafikie waweze kuongoka na kuwa watu bora katika maisha.Maandamano hayo yaliongozwa na viongozi wa dini, na wananchi walijitokeza kwa wingi kupinga matendo ya mapenzi ya jinsia moja.
Hali hii imetokana na baada ya vikundi vya kutetea mapenzi ya jinsia moja duniani kuzidisha kasi na msukumo wa kuhalalisha matendo hayo.
Tuliona presha nchi ya Qatar iliyopigwa wakati wa kombe la dunia.
Tukashuhudia vitabu vinavyofundisha mambo hayo vikisambazwa ktk shule za watoto.
Tumeshihudia shule fulani ambayo watoto wanafundishwa kufanyana kinyume cha maumbile.
Huko Kenya mahakama ya juu ikaruhusu uanzishwaji wa NGOs za kutetea ushoga ktk nchi hiyo.
Na kuna baadhi ya madhehebu ya dini duniani yameanza kurasimisha ndoa za jinsia moja na kuna Mengine yamebaki na msimamo uleule wa toka zamani wa kukataa mambo hayo machafu.
Kwa mfano hapa Tanzania Kanisa la Anglican la Tanzania limekataa katakata kukubaliana na kanisa la Anglican la Uingereza kuruhusu ndoa za mashoga. Katika barua ambayo uongozi wa kanisa la Anglican la Tanzania limeliandikia kanisa mama la Anglican la uingereza, Limegoma kabisa kukubaliana na msimamo wa kanisa hilo la Uingereza kuhusu kuruhusu ubarikio wa ndoa hizo.
Kwa bahati mbaya pia, kanisa la Kikatoliki huko Ujerumani limepiga kura kuruhusu ubarikio wa ndoa za Jinsia moja kuanzia mwaka 2026. Hii inafuatia kauli ya Papa ya kuwatakia "Rehema( Grace)" watu wote hata wale wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja.
Hapa chini ni video ya wananchi huko Arusha kuandamana kupinga mambo ya ushoga.
View attachment 2547164
View attachment 2547165
hovyo sana ilo eneo nilipita apo sikuamimi kama niko ArushaNaenda next week huko kuwapa tiba wagonjwa wangu kwa dawa za mizimu ya milima y Kolelo
Wanapatikana bar au lodge gani mkuuhovyo sana ilo eneo nilipita apo sikuamimi kama niko Arusha
Nilikula naitizama Mpira maeneo hayo likanyanyuka na kuanzia kukatika huku likiongea upupu ajabu watu hawakushituka kabisa,mwenyeji mmoja ndio akanielezaAnaitwa Jonas Kama sikosei
Liniumize kwa kipi?? Watu wainamishane na kupumuliana, afu maumivu nisikie mie, inahuu??Kupinga ushoga. Wewe hili tatizo halikuumizi hata kidogo?
Mkuu unataka huduma yao nini?,mbona kama umekuwa interested sanaWanapatikana bar au lodge gani mkuu
Bora utumwa na ufisadi kuliko kufirana mbwa weweTumeridhika na utumwa na ufisadi wa CCM ila ushoga tumekuwa wepesi kuu pigia kelele na kuu kataa.
Aisee hili taifa.
[emoji23] kumbe unaogopa tena..Zipo kwa PC anguu zimejaa kibao,
Siku nikipoteza PC au kuibiwa, cjui ntaweka wapi uso wangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani ni kosa kisheria?Mkuu unataka huduma yao nini?,mbona kama umekuwa interested sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mambo ya faragha why yawe hadharani.lol[emoji23] kumbe unaogopa tena..
Carlos The Jackal punga lingine hiliHuu ni ujinga wa kiwango cha lami.
Hili taifa lina watu wengi sana wajinga.
Ushoga ndio limekuwa jambo la kuwafanya watu waandamane na kuwaweka busy??!
na Kwa Muumba wako piaKwani ni kosa kisheria?