Wananchi tuna haki kufahamu alipo Makamu wa Rais Philip Mpango

......Kama Rais wa nchi kubwa kama USA anaumwa na ulimwengu wote unajua kwa nini kwenye nchi za kwetu, binafsi naamini ni mzima anaendelea na shughuli zake kama tulivyotangaziwa
Inaelekea afya za viongozi wa nchi kama zetu ni National Essential Asset. Yaani kuijua ni sawa na kutishia usalama wa nchi husika.

Tunakoelekea ama tulipo sasa siyo kuzuri na salama kama jamii yenye usawa
 
...na kwa kuongeza, anaetoa hizi taarifa ni yule yule alietoa za JPM! Sijui tutamwonaje yakitokea (ingawa hatuombi yatokee) yale ya JPM!? Hakika mimi sitmwelewa, nitahisi km tuna WM muongo haijawahi tokea. Ati yuko nje kwa majukumu...! Yasio na mwisho? Hakuna wapiga picha huko?! Hakna vyombo vy habari huko!?...nk
 

Yupo mzima wala haumwi!
 

Acha kuleta porojo za kipumbavu na za mitaani kwa nia ya kuleta taharuki hapa! Umesikia kwa nani na ni kitu gani umesikia, kiandike hapa! Na Magufuli alifariki wiki moja kabla? Hiyo wiki moja aliyofariki asitangazwe ilikuwa inahusu nini na kwa nini Rais Samia alitangazia kifo hicho akiwa Tanga na siyo Ikulu ya Dodoma? Wacheni kutuletea habari za kuokota za redio mbao hapa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…