Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaoficha wamewafanya wananchi ni mbumbumbu wakisahau kuwa habari zinavuja toka ndani kuja njeJana, serikali ilisambaza bango mitandaoni kumuonesha Makamu wa Rais atakuwa mgeni rasmi kwenye Mkutano wa TAWIRI unaoanza tarehe 06 Desemba 2023..... sisi tunaochoshwa na tetesi za vifo vya wakubwa tukanyenua mikono juu kumshukuru Mungu kuwa tetesi kuhusu hali ya Mhe. Mpango ni uzushi na upotofu. Lakini aliyefika mkutanoni ni mwakilishi (Mhe. Kairuki) na siyo mgeni mlengwa.
Uyu na akwende ,dada wa taaifa kwa kipiDada wa taifa kamaliza kila kitu
Utakuwa kiongozi tahira Kama utaandaliwa hotuba hata usipitie ulichoandikiwa. Anachokifanya huyo Diblo Dibalaa ni makusudi kwasababu anajua hakuna chakumfamya.Na huu ndio ukweli, watu wanamjia juu waziri mkuu utadhani yeye anaongea tuu bila kupewa kauli, ni mara ngapi rais hata awamu zilizopita anamuapisha mtu ambaye sio sahihi, lawama zinaenda kwa rais wakati sio kila mtu anapitishwa na rais
Hii tabia ya serekali kusema uongo ilianza kidogo kidogo wakati wa JK baada ya ccm kuanza kupoteza ushawishi kwenye jamii. Alipokuja Magufuli akaja kuhalilisha serekali kusema uongo.Serikali ina utaratibu wake wa kufanya mambo yake, nadhani hata ukienda ikulu uatajibiwa hivyo.
Viongozi wetu wote ikifika ni muda wa kuongea na wananchi lazima waandaliwe maelezo. Hua hawajipangii tuache kumlaumu PM
Kwahiyo wanapangiwa kuongea uongo? Kwamba wanatuona sisi ni wajinga kiasi kwamba hatuwezi kujua uongo na ukweli?Viongozi wetu wote ikifika ni muda wa kuongea na wananchi lazima waandaliwe maelezo. Hua hawajipangii tuache kumlaumu PM
Si mtu. Ni kiongozi mkubwa kwenye nchi.Mtu akiwa haonekani tu, zinaanza kusambazwa taarifa zisizo na maana.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Tulimpoteza Magufuli kwa sababu kuumwa hadi kuzidiwa kulifanywa National Bigly Secret ambapo wananchi hatukujulishwa iwapo anaumwa ama amezidiwa zaidi ya kustuliwa na taarifa ya kifo chake mnamo 17 March 2021.
Rais ni wa Jamhuri na anamilikiwa na wwnanchi wote bila kujali iyikadi, imani wala kabila. Nasema anamilikiwa ni kwa sababu shughuli zake zote zinamhusu kila raia awe mdogo au mkubwa kwa jinsia zote.
Rais anamilikiwa na wananchi ndo maana analindwa na wananchi na kutunzwa na kodi za wananchi. Ingawa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wanadhani wao pekee ndo wenye dhamana ya kumtunza na kumlinda Rais. Wananchi watasali kwa miungu yao, watatambika kwa mahoka wao na kadhalika ilimradi Rais aweze kufikia matarajio na matamanio yao. Wenye Mungu nap watamuombea ili awe salama na aweze kutekeleza majukumu yake vyema.
Inaelekea tukio la marehemu JPM halijatupa funzo lolote. Zimeanza tetesi kupitia wale wale walioeneza uvumi kuhusu hatma ya JPM na sasa wanamtaja Makamu wa Rais. Tetesi hizi zimeendelea kupata mwangwi mkubwa kupitia mitandao ya jamii kuhusu afya na uhai wa Makamu wa Rais.
Serikali, imeelekwa kupuuza uvumi huo kama ilivyopuuza enzi Mwendazake anapigania uhai wake vyumba vya afya. Tuliona viongozi wakubwa akiwemo Waziri Mkuu wakitoa matamko ya kubeza tetesi hizo kwa kuuaminisha Umma kwamba Rais wao anachapakazi yupo gado kabisa.
Jana, serikali ilisambaza bango mitandaoni kumuonesha Makamu wa Rais atakuwa mgeni rasmi kwenye Mkutano wa TAWIRI unaoanza tarehe 06 Desemba 2023..... sisi tunaochoshwa na tetesi za vifo vya wakubwa tukanyenua mikono juu kumshukuru Mungu kuwa tetesi kuhusu hali ya Mhe. Mpango ni uzushi na upotofu. Lakini aliyefika mkutanoni ni mwakilishi (Mhe. Kairuki) na siyo mgeni mlengwa.
Tumepatwa na msiba wa kitaifa kule Hanang kwa kuondokewa na ndugu zetu kutokana na mafuriko makubwa. Tumeona mfariji wa Taifa ambaye ni Rais ameshajitokeza na kuaimama na wananchi wale na hata Waziri Mkuu na viongozi wengine wa Serikali wakifanya juu chini ili kuwanasua waliokwama chini ya tope zito la mlima Hanang. Lakini hatujamsikia popote Makamu wetu wa Rais akitoa pole kama ilivyo kawaida yake kwa matukio aina hii.
Kwa niaba ya Watanzania, naleta ombi kwa serikali ituondoe kizani kuhusu alipo makamu wa Rais. Hizi tetesi zinazoendelea hazina afya kwa Taifa.
Endapo kweli hatunaye na hatukutangaziwa kuumwa kwake ni wazi hatutazuiwa kuwaza kwamba serikalini kuna hila nyingi dhidi ya viongozi wa Kitaifa na hakika tutaamini kwamba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama pamoja na mamlaka zingine zina muunganiko usio na afya kwa Taifa letu.
Naomba tujulishwe
Sawa mkuuAcha utoto wakijinga asee! Yaani Kuna mtu anampangia Samia nini Cha kusema?, Acheni utahira huu.
Ndio jinsi ilivyo mkuuKwahiyo wanapangiwa kuongea uongo? Kwamba wanatuona sisi ni wajinga kiasi kwamba hatuwezi kujua uongo na ukweli?
Hujui kitu ww, kaa hapo utulieUtakuwa kiongozi tahira Kama utaandaliwa hotuba hata usipitie ulichoandikiwa. Anachokifanya huyo Diblo Dibalaa ni makusudi kwasababu anajua hakuna chakumfamya.
Kama mpango hatakuwepo Kama tetesi zinavyosema .... Nitaingia barabara kuwaomba Wtz tumuombe Mungu awachukue Samia na Majaliwa watakuwa ni mashetani.
Sasa acha tu tuwape ukweli wao, sisi tuko digital wao Bado wako analogia. Zama za uongo wa kitoto zilishapita. Ukweli utawaweka huru.Ndio jinsi ilivyo mkuu
Hii sio taarifa rasmi we kiazi
SAWA...ILA SIO KWA SERIKALI HII YA KIZAZI CHA GIGI MONEYTulimpoteza Magufuli kwa sababu kuumwa hadi kuzidiwa kulifanywa National Bigly Secret ambapo wananchi hatukujulishwa iwapo anaumwa ama amezidiwa zaidi ya kustuliwa na taarifa ya kifo chake mnamo 17 March 2021.
Rais ni wa Jamhuri na anamilikiwa na wwnanchi wote bila kujali iyikadi, imani wala kabila. Nasema anamilikiwa ni kwa sababu shughuli zake zote zinamhusu kila raia awe mdogo au mkubwa kwa jinsia zote.
Rais anamilikiwa na wananchi ndo maana analindwa na wananchi na kutunzwa na kodi za wananchi. Ingawa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wanadhani wao pekee ndo wenye dhamana ya kumtunza na kumlinda Rais. Wananchi watasali kwa miungu yao, watatambika kwa mahoka wao na kadhalika ilimradi Rais aweze kufikia matarajio na matamanio yao. Wenye Mungu nap watamuombea ili awe salama na aweze kutekeleza majukumu yake vyema.
Inaelekea tukio la marehemu JPM halijatupa funzo lolote. Zimeanza tetesi kupitia wale wale walioeneza uvumi kuhusu hatma ya JPM na sasa wanamtaja Makamu wa Rais. Tetesi hizi zimeendelea kupata mwangwi mkubwa kupitia mitandao ya jamii kuhusu afya na uhai wa Makamu wa Rais.
Serikali, imeelekwa kupuuza uvumi huo kama ilivyopuuza enzi Mwendazake anapigania uhai wake vyumba vya afya. Tuliona viongozi wakubwa akiwemo Waziri Mkuu wakitoa matamko ya kubeza tetesi hizo kwa kuuaminisha Umma kwamba Rais wao anachapakazi yupo gado kabisa.
Jana, serikali ilisambaza bango mitandaoni kumuonesha Makamu wa Rais atakuwa mgeni rasmi kwenye Mkutano wa TAWIRI unaoanza tarehe 06 Desemba 2023..... sisi tunaochoshwa na tetesi za vifo vya wakubwa tukanyenua mikono juu kumshukuru Mungu kuwa tetesi kuhusu hali ya Mhe. Mpango ni uzushi na upotofu. Lakini aliyefika mkutanoni ni mwakilishi (Mhe. Kairuki) na siyo mgeni mlengwa.
Tumepatwa na msiba wa kitaifa kule Hanang kwa kuondokewa na ndugu zetu kutokana na mafuriko makubwa. Tumeona mfariji wa Taifa ambaye ni Rais ameshajitokeza na kuaimama na wananchi wale na hata Waziri Mkuu na viongozi wengine wa Serikali wakifanya juu chini ili kuwanasua waliokwama chini ya tope zito la mlima Hanang. Lakini hatujamsikia popote Makamu wetu wa Rais akitoa pole kama ilivyo kawaida yake kwa matukio aina hii.
Kwa niaba ya Watanzania, naleta ombi kwa serikali ituondoe kizani kuhusu alipo makamu wa Rais. Hizi tetesi zinazoendelea hazina afya kwa Taifa.
Endapo kweli hatunaye na hatukutangaziwa kuumwa kwake ni wazi hatutazuiwa kuwaza kwamba serikalini kuna hila nyingi dhidi ya viongozi wa Kitaifa na hakika tutaamini kwamba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama pamoja na mamlaka zingine zina muunganiko usio na afya kwa Taifa letu.
Naomba tujulishwe
Hii kuficha Ficha taarifa za kuumwa kiongoziKuumwa pia kuna utaratibu wake wa kutangaza? Maajabu haya.
Kwamba mkitangaza kuwa fulani anaumwa chadema watachukua nchi?
Au mnaamini viongozi wenu ni malaika hawawezi kuumwa?na ikitokea wameumbwa basi ni AJABU