Wananchi tuna haki kufahamu alipo Makamu wa Rais Philip Mpango

Wananchi tuna haki kufahamu alipo Makamu wa Rais Philip Mpango

Info kutoka kwa dada yetu yule!
20231206_210745.jpg
 
Jana, serikali ilisambaza bango mitandaoni kumuonesha Makamu wa Rais atakuwa mgeni rasmi kwenye Mkutano wa TAWIRI unaoanza tarehe 06 Desemba 2023..... sisi tunaochoshwa na tetesi za vifo vya wakubwa tukanyenua mikono juu kumshukuru Mungu kuwa tetesi kuhusu hali ya Mhe. Mpango ni uzushi na upotofu. Lakini aliyefika mkutanoni ni mwakilishi (Mhe. Kairuki) na siyo mgeni mlengwa.
Wanaoficha wamewafanya wananchi ni mbumbumbu wakisahau kuwa habari zinavuja toka ndani kuja nje
 
Na huu ndio ukweli, watu wanamjia juu waziri mkuu utadhani yeye anaongea tuu bila kupewa kauli, ni mara ngapi rais hata awamu zilizopita anamuapisha mtu ambaye sio sahihi, lawama zinaenda kwa rais wakati sio kila mtu anapitishwa na rais
Utakuwa kiongozi tahira Kama utaandaliwa hotuba hata usipitie ulichoandikiwa. Anachokifanya huyo Diblo Dibalaa ni makusudi kwasababu anajua hakuna chakumfamya.

Kama mpango hatakuwepo Kama tetesi zinavyosema .... Nitaingia barabara kuwaomba Wtz tumuombe Mungu awachukue Samia na Majaliwa watakuwa ni mashetani.
 
Serikali ina utaratibu wake wa kufanya mambo yake, nadhani hata ukienda ikulu uatajibiwa hivyo.
Hii tabia ya serekali kusema uongo ilianza kidogo kidogo wakati wa JK baada ya ccm kuanza kupoteza ushawishi kwenye jamii. Alipokuja Magufuli akaja kuhalilisha serekali kusema uongo.

Tabia ya kusema uongo na kuficha ukweli bila sababu za msingi kwenye utawala wa Magufuli ulibackfire kwenye kifo chake. Kwa bahati mbaya mbegu ile ya kufichwa ukweli umerithiwa pia na serekali hii, ndio sasa tunaona hakuna kitu serekali inasema iaminike.

Sababu ya kuficha ukweli hasa wa madhila kwa viongozi, ni kwa sababu ya kuingia madarakani kwa njia za kihayawani, matokeo yake wanaohisi kuporwa haki Yao wanafurahia madhila wanayokutana nao hao viongozi. Hivyo serekali inaficha Ili muhanga na familia yake wasikutane na kejeli ya jamii Hadi kuwapatia msongo wa mawazo.
 
Tulimpoteza Magufuli kwa sababu kuumwa hadi kuzidiwa kulifanywa National Bigly Secret ambapo wananchi hatukujulishwa iwapo anaumwa ama amezidiwa zaidi ya kustuliwa na taarifa ya kifo chake mnamo 17 March 2021.

Rais ni wa Jamhuri na anamilikiwa na wwnanchi wote bila kujali iyikadi, imani wala kabila. Nasema anamilikiwa ni kwa sababu shughuli zake zote zinamhusu kila raia awe mdogo au mkubwa kwa jinsia zote.

Rais anamilikiwa na wananchi ndo maana analindwa na wananchi na kutunzwa na kodi za wananchi. Ingawa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wanadhani wao pekee ndo wenye dhamana ya kumtunza na kumlinda Rais. Wananchi watasali kwa miungu yao, watatambika kwa mahoka wao na kadhalika ilimradi Rais aweze kufikia matarajio na matamanio yao. Wenye Mungu nap watamuombea ili awe salama na aweze kutekeleza majukumu yake vyema.

Inaelekea tukio la marehemu JPM halijatupa funzo lolote. Zimeanza tetesi kupitia wale wale walioeneza uvumi kuhusu hatma ya JPM na sasa wanamtaja Makamu wa Rais. Tetesi hizi zimeendelea kupata mwangwi mkubwa kupitia mitandao ya jamii kuhusu afya na uhai wa Makamu wa Rais.

Serikali, imeelekwa kupuuza uvumi huo kama ilivyopuuza enzi Mwendazake anapigania uhai wake vyumba vya afya. Tuliona viongozi wakubwa akiwemo Waziri Mkuu wakitoa matamko ya kubeza tetesi hizo kwa kuuaminisha Umma kwamba Rais wao anachapakazi yupo gado kabisa.

Jana, serikali ilisambaza bango mitandaoni kumuonesha Makamu wa Rais atakuwa mgeni rasmi kwenye Mkutano wa TAWIRI unaoanza tarehe 06 Desemba 2023..... sisi tunaochoshwa na tetesi za vifo vya wakubwa tukanyenua mikono juu kumshukuru Mungu kuwa tetesi kuhusu hali ya Mhe. Mpango ni uzushi na upotofu. Lakini aliyefika mkutanoni ni mwakilishi (Mhe. Kairuki) na siyo mgeni mlengwa.

Tumepatwa na msiba wa kitaifa kule Hanang kwa kuondokewa na ndugu zetu kutokana na mafuriko makubwa. Tumeona mfariji wa Taifa ambaye ni Rais ameshajitokeza na kuaimama na wananchi wale na hata Waziri Mkuu na viongozi wengine wa Serikali wakifanya juu chini ili kuwanasua waliokwama chini ya tope zito la mlima Hanang. Lakini hatujamsikia popote Makamu wetu wa Rais akitoa pole kama ilivyo kawaida yake kwa matukio aina hii.

Kwa niaba ya Watanzania, naleta ombi kwa serikali ituondoe kizani kuhusu alipo makamu wa Rais. Hizi tetesi zinazoendelea hazina afya kwa Taifa.

Endapo kweli hatunaye na hatukutangaziwa kuumwa kwake ni wazi hatutazuiwa kuwaza kwamba serikalini kuna hila nyingi dhidi ya viongozi wa Kitaifa na hakika tutaamini kwamba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama pamoja na mamlaka zingine zina muunganiko usio na afya kwa Taifa letu.

Naomba tujulishwe

Waziri Kairuki aelezea sababu ya mgeni rasmi kushindwa kufika


View: https://m.youtube.com/watch?v=DqFGi0aBDrQ
 
Utakuwa kiongozi tahira Kama utaandaliwa hotuba hata usipitie ulichoandikiwa. Anachokifanya huyo Diblo Dibalaa ni makusudi kwasababu anajua hakuna chakumfamya.

Kama mpango hatakuwepo Kama tetesi zinavyosema .... Nitaingia barabara kuwaomba Wtz tumuombe Mungu awachukue Samia na Majaliwa watakuwa ni mashetani.
Hujui kitu ww, kaa hapo utulie
 
Tulimpoteza Magufuli kwa sababu kuumwa hadi kuzidiwa kulifanywa National Bigly Secret ambapo wananchi hatukujulishwa iwapo anaumwa ama amezidiwa zaidi ya kustuliwa na taarifa ya kifo chake mnamo 17 March 2021.

Rais ni wa Jamhuri na anamilikiwa na wwnanchi wote bila kujali iyikadi, imani wala kabila. Nasema anamilikiwa ni kwa sababu shughuli zake zote zinamhusu kila raia awe mdogo au mkubwa kwa jinsia zote.

Rais anamilikiwa na wananchi ndo maana analindwa na wananchi na kutunzwa na kodi za wananchi. Ingawa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wanadhani wao pekee ndo wenye dhamana ya kumtunza na kumlinda Rais. Wananchi watasali kwa miungu yao, watatambika kwa mahoka wao na kadhalika ilimradi Rais aweze kufikia matarajio na matamanio yao. Wenye Mungu nap watamuombea ili awe salama na aweze kutekeleza majukumu yake vyema.

Inaelekea tukio la marehemu JPM halijatupa funzo lolote. Zimeanza tetesi kupitia wale wale walioeneza uvumi kuhusu hatma ya JPM na sasa wanamtaja Makamu wa Rais. Tetesi hizi zimeendelea kupata mwangwi mkubwa kupitia mitandao ya jamii kuhusu afya na uhai wa Makamu wa Rais.

Serikali, imeelekwa kupuuza uvumi huo kama ilivyopuuza enzi Mwendazake anapigania uhai wake vyumba vya afya. Tuliona viongozi wakubwa akiwemo Waziri Mkuu wakitoa matamko ya kubeza tetesi hizo kwa kuuaminisha Umma kwamba Rais wao anachapakazi yupo gado kabisa.

Jana, serikali ilisambaza bango mitandaoni kumuonesha Makamu wa Rais atakuwa mgeni rasmi kwenye Mkutano wa TAWIRI unaoanza tarehe 06 Desemba 2023..... sisi tunaochoshwa na tetesi za vifo vya wakubwa tukanyenua mikono juu kumshukuru Mungu kuwa tetesi kuhusu hali ya Mhe. Mpango ni uzushi na upotofu. Lakini aliyefika mkutanoni ni mwakilishi (Mhe. Kairuki) na siyo mgeni mlengwa.

Tumepatwa na msiba wa kitaifa kule Hanang kwa kuondokewa na ndugu zetu kutokana na mafuriko makubwa. Tumeona mfariji wa Taifa ambaye ni Rais ameshajitokeza na kuaimama na wananchi wale na hata Waziri Mkuu na viongozi wengine wa Serikali wakifanya juu chini ili kuwanasua waliokwama chini ya tope zito la mlima Hanang. Lakini hatujamsikia popote Makamu wetu wa Rais akitoa pole kama ilivyo kawaida yake kwa matukio aina hii.

Kwa niaba ya Watanzania, naleta ombi kwa serikali ituondoe kizani kuhusu alipo makamu wa Rais. Hizi tetesi zinazoendelea hazina afya kwa Taifa.

Endapo kweli hatunaye na hatukutangaziwa kuumwa kwake ni wazi hatutazuiwa kuwaza kwamba serikalini kuna hila nyingi dhidi ya viongozi wa Kitaifa na hakika tutaamini kwamba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama pamoja na mamlaka zingine zina muunganiko usio na afya kwa Taifa letu.

Naomba tujulishwe
SAWA...ILA SIO KWA SERIKALI HII YA KIZAZI CHA GIGI MONEY
 
Kuumwa pia kuna utaratibu wake wa kutangaza? Maajabu haya.
Kwamba mkitangaza kuwa fulani anaumwa chadema watachukua nchi?
Au mnaamini viongozi wenu ni malaika hawawezi kuumwa?na ikitokea wameumbwa basi ni AJABU
Hii kuficha Ficha taarifa za kuumwa kiongozi
inaonyesha hata magonjwa wanayopata viongozi huenda ni planned
 
Back
Top Bottom