Na swala la usalama wa taifa kufail mbona tinaliruka!?Siyo suala la yeye kuamua awe raia wa nchi gani, ni suala la katiba ya nchi. Kwamba watu wote waliokuwa wanaishi Tanganyika wakati wa uhuru ni Watanzania pamoja na vizazi vyao. Wale waliohamia baada ya uhuru wanapaswa kuomba uraia. Sasa kuhusu kuongoza nchi kwa ngazi ya Urais katiba inataka awe raia wa kuzaliwa na si vinginevyo.
Mpango amefikia hiyo ngazi ndiyo sababu watu wanahoji na wana hoja ya msingi kikatiba!
Kuhoji ni swala jema ila nadhani lina taratibu. Ukihoji kwa njia hii ..hiyo inakuwa smear campaign. Ukihoji halafu akathibitisha na umesha mjengea image mbaya kwa wananchi inakuwa imesaidia nn!?1. Katiba inataka Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania awe raia halisi wakuzaliwa sio wakuhamia, mkimbizi au wakuja.
2. Kila siku tunajaza madodoso yanayohoji uraia wetu kila mmoja kama mtu binafsi, sio kabila, mkoa au kikundi cha watu.
3. Uraia ni swala la mtu binafsi sio mkoa, kabila AMA kikundi cha watu
4. Kila mmoja awajibika kujitetea, kujieleza nakuthibisha uraia wake wa ainagani
Hivyo basi kujimwambafy kutoa majibu ya mtu mwingine au utetezi pasipo kuitwa mahakamani na mhusika kama witness nikutojitambua.
Utetezi wa uraia wa mtu ni jukumu lake binafsi sio kabila, mkoa au kikundi cha watu.
Askofu kakobe
Kabendera
Askofu Niwemugizi
General Ulimwengu.... tena huyu alienda mpaka vitani Uganda na alishika nyazifa selekarini bado alihojiwa.
Tutambuwe baadhi ya nyadhifa serikalini hususani Urais una masharti Maalum mojawapo ni uraia.
Tatizo huna hata hoja unapayuka kuhusu uraia wa mtu lakini utambui tuna uhamiaji na Nida vyombo vilivyounda kisheria kwa ajili ya kazi hizo. Ukituliza akili utagundua wewe ndio mfuata upepo na basically ni mjinga. Kingine usichokijua watu wa mipakani hawawezi kuchagua mbunge ambae ni mkimbizi kwasababu kule wanajuana.Hiyo ndiyo hoja yako! Bila shaka wewe ni bendera kufuata upepo, vinginevyo ni mpumbavu!
Usalama wa Taifa wana sehemu yao na huenda wanalifanyia kazi na sisi raia tuna sehemu yetu. Mwisho wa siku muafaka utafikiwa.Na swala la usalama wa taifa kufail mbona tinaliruka!?
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mjinga wee hujawahi kusikia kuna watu wamepewa uongozi kumbe ni wahamiaji haramu?Tatizo huna hata hoja unapayuka kuhusu uraia wa mtu lakini utambui tuna uhamiaji na Nida vyombo vilivyounda kisheria kwa ajili ya kazi hizo. Ukituliza akili utagundua wewe ndio mfuata upepo na basically ni mjinga. Kingine usichokijua watu wa mipakani hawawezi kuchagua mbunge ambae ni mkimbizi kwasababu kule wanajuana.
Kama unataka kufuata sheria basi fuata utaratibu na ukatoe ripoti uhamiaji kwamba Mpango ni mkimbizi.Katiba ya nchi inatutaka kumfahamu vizuri zaidi. Kwa nafasi aliyonayo anaweza akawa Rais wa nchi wakati wo wote. Katiba ya nchi inataka Rais wa nchi awe raia wa kuzaliwa full stop.
Kwahiyo walitambulika kupitia Mitandaoni? Au kupitia uchunguzi wa vyombo husika? Hebu ni jibu bwana mwelevu.Mjinga wee hujawahi kusikia kuna watu wamepewa uongozi kumbe ni wahamiaji haramu?
Huu ni umaskini wa akili na lack of exposure unakusumbua. Utakuta wakati Babu yangu anapiginia uhuru Wazee wako walikuwa wanafanyia kazi wahindi.Ndiyo hao hao kule kagera huwa wanaitwa WASH
Yaani unahoji Uraia wa mtu kumbe hauna enough information to question anything.. kisha kupata uthibitisho juu ya uraia wake.. unarudi tena kwa Serikali ikusaidie na majibu ya uthibitisho.!?Usalama wa Taifa wana sehemu yao na huenda wanalifanyia kazi na sisi raia tuna sehemu yetu. Mwisho wa siku muafaka utafikiwa.
Ukiwa ni MUSHUTI kubali tu maana kukasilika ni kujinyanyapaaHuu ni umaskini wa akili na lack of exposure unakusumbua. Utakuta wakati Babu yangu anapiginia uhuru Wazee wako walikuwa wanafanyia kazi wahindi.
MwakeeeeeyeeeeeeHahaa, kigoma mwidiweeee
Kigoma kuchele
Waha wote nawasalimia,, Mwakeye????
Ulakotze umwana watchuuuuuHahaa, kigoma mwidiweeee
Kigoma kuchele
Waha wote nawasalimia,, Mwakeye????
Pole mkuu umeandika kwa uchungu mkubwa, Nami natilia nyama kama wanaona Kigoma ni kero waiache, kwanini wanailazimisha kuwa Tanzania kama hawaitakiNi Upuuzi huo bali ni ujinga na ubaguzi mkubwa. Hivi wadhifa wa kwanza wa umma kupewa huyo Dr, Mpango ni umakamu wa raisi? Mbona hakuhojiwa uraia wake kabla hajawa waziri wa fedha nk!
Mmasai yupo Tz na Kenya, Mkurya yupo Tz na Kenya , Mjaluo halikadhalika yupo Tz na Kenya, Mkisii, mdigo nk wote hao wapo kenya na Tz, Mmakonde, Myao wote wapo Tz na msumbiji, Mnyakyusa yupo Tz na Malawi mbona kote huko hakuna shida za uraia?--- likija suala la Kigoma hapo nuksi inaanza, mimi binafsi nilisumbuliwa kishenzi juu ya uraia wangu kisa tu nilikuwa pamoja na jamaa mwenye uraia wenye utata na pia natoka Kigoma, licha ya kuonyesha vielelezo vyote vinavyoonyesha kwamba mimi ni mtanzania halali na mzaliwa wa Kigoma na kiswahili changu ni bora sana (cha kitanzania) kuliko hata cha hao maafisa wa immigration waliokuwa wakinihoji lakini iligonga mwamba na mimi nakashikilia msimamo wangu kutetea Utanzania wangu!
Kumbe walikuwa wanataka rushwa ili waniachie, nikawaambia sina ela ya kuwapa lakini wasubiri mipango ikikaa vyema nitawapa, wakaniacha ila wakawa wakinifuatilia ili niwape pesa, namimi nikajiandaa kumfuata rafiki yangu mmoja wa takukuru ili niwatie kitanzi, looo wakastuka na hawakunifuata tena, kazi ikawa kwa yule jamaa mwenye uraia tata.
Nilitaka kukueleza shida tunazopata sisi Wana kigoma huko ofisi za immigration. Ni bora kigoma imegwe kutoka Tanzania iwe ni nchi inayojitegemea kama Rwanda au Burundi maana hatutakiwi.
Hata hao Mushuti siwajui lakini wabaguzi nawajua. Na wewe ni mbaguzi.Ukiwa ni MUSHUTI kubali tu maana kukasilika ni kujinyanyapaa
Acha kupoteza muda Waha wanapata tabu sana wanayo haki ya kuonyesha hasira yaoKwani kabla ya kuwa makamu wa Rais hakuwahi kucheza nyimbo za kiha?
Sikuanza Mimi ubaguziHata hao Mushuti siwajui lakini wabaguzi nawajua. Na wewe ni mbaguzi.
Wala hutakuwa wa mwisho.Sikuanza Mimi ubaguzi
Kwanza futa kauli yako, Dr Mpango ahojiwi ni kelele za mitandaoni, kama hizo kelele Zina tija serikali watafanyia kazi, ukiona kimya fahamu, kuwa serikali ina vitu vingi vya msingi vya kufanyaKama huwezi kujua kwa nini anahojiwa sasa basi ni ujinga wako ambao kwa sasa hatuwezi kukusaidia! Rudi shule utaelimika!