Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Maisha bhana! Kutoka kuwa Waziri hadi kutimuliwa kama kibaka!Wana Ilemela wameamua ! Wamemfukuza mbunge wao Angelina Mabula katika mkutano wa hadhara, wananchi wamelalamika kwamba kwa miaka karibu kumi hakuna alichofanya.
Mbombo ngafu! Ni dhahiri sasa Jimbo la Ilemela liko wazi.
View attachment 3064272